Sababu gani zinapelekea TISS wasilale?

Masamila

JF-Expert Member
Jun 22, 2014
6,411
7,306
Kulikuwa na maneno nikiyasikia kwa muda mrefu kwamba TISS huwa hawalali akaja Rais Magufuli kuyapigilia msumari kuwa kweli TISS hawalali wakati akizindua ujenzi wa makao makuu ya TISS Zanzibar.

Sasa kuna maswali au ningependa kujuzwa ni kwa nini TISS hawalali? Kwa nini wasipeane shift Ili wawe wanalala sababu kulala ni jambo la kibaolojia muhimu mno kama kula n.k halina mbadala.
 
Dah mkuu! Suala la uwelewa tu hapo. Kwani ukisikia taasisi inafanyakazi saa 24 kama vile airport na sehemu zingine ni kwamba staff walewale ndio wanakua hapo kazini 24/7?

Unanikumbisha mtoto wangu alipokua na miaka mitano au sita akisikia fulani anajenga yeye alikua anaelewa huyo mtu ndio anabeba na kupanga tofali, ila sasa kakua na kawa na akili za kikubwa anajiongeza
 
Mkuu na wewe hujajiongeza asee. Kusema kuwa Taasisi fulani hailali hakumaanishi kuwa watumishi wake hawalali.

Maana yake ni kuwa Taasisi ina operate muda wote. Kwamaana kuwa akitoka mtu anaingia mtu, shift zipo. Hakuna binadamu asielala ni kuchelewa kulala tu. Mwenyewe naweza nisilale kwa siku tatu lakini itafikia mda akili inagoma kabisa inabidi ulale.
 
Kulikuwa na maneno nikiyasikia kwa muda mrefu kwamba TISS huwa hawalali akaja Rais Magufuli kuyapigilia msumari kuwa kweli TISS hawalali wakati akizindua ujenzi wa makao makuu ya TISS Zanzibar.

Sasa kuna maswali au ningependa kujuzwa ni kwa nini TISS hawalali? Kwa nini wasipeane shift Ili wawe wanalala sababu kulala ni jambo la kibaolojia muhimu mno kama kula n.k halina mbadala.
Habari maalim
Wasalimie zenji naona umevamia bandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulikuwa na maneno nikiyasikia kwa muda mrefu kwamba TISS huwa hawalali akaja Rais Magufuli kuyapigilia msumari kuwa kweli TISS hawalali wakati akizindua ujenzi wa makao makuu ya TISS Zanzibar.

Sasa kuna maswali au ningependa kujuzwa ni kwa nini TISS hawalali? Kwa nini wasipeane shift Ili wawe wanalala sababu kulala ni jambo la kibaolojia muhimu mno kama kula n.k halina mbadala.
Bichwa kontena Akili kisoda(ina manana Bichwa yako ni mzigo tu kwa mwili wako)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulikuwa na maneno nikiyasikia kwa muda mrefu kwamba TISS huwa hawalali akaja Rais Magufuli kuyapigilia msumari kuwa kweli TISS hawalali wakati akizindua ujenzi wa makao makuu ya TISS Zanzibar.

Sasa kuna maswali au ningependa kujuzwa ni kwa nini TISS hawalali? Kwa nini wasipeane shift Ili wawe wanalala sababu kulala ni jambo la kibaolojia muhimu mno kama kula n.k halina mbadala.
kutokulala ina maana ya kwamba, kwenye duties zao kuna kuwa na shift yaani hupokezana kwa muda fulani..

Ila kuna wale special agents sasa ambao hupewa mission fulani, let us say kama kuna mfanyabiashara yeyote ambapo serikali inahisi anajihusisha na mtandao mbaya wowote basi atakuwa assigned katika mission ambao 24/7 atakuwa akifuatilia mienendo yake pasipo yeye kugundulika yaani hapa anakuwa kwenye sight ya agent masaa 24/7 mfano mlengwa akisafiri yeye pia atasafiri, akiwa kwake basi yeye atangoja nje ya geti lake kuangalia ni wageni wa aina gani wanaingia na kutoka na kutoa taarifa...

Hawa ndio huwa na kazi nzito haswa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa una elimu gani?

Hata wakipeana shift bado tafsiri yake hawalali, wapo kazini.
Kwani polisi na migambo hawapeani shift,mbona hamsemi hawalali? Madaktari na manesi,wanapeana shifti mahospitalini,mbona magu hajasema hawalali?

Hii inaonesha jinsi gani mnavyowagwaja hao tiss.
Mnajua mkiwa dis tu watawageka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kutokulala ina maana ya kwamba, kwenye duties zao kuna kuwa na shift yaani hupokezana kwa muda fulani..

Ila kuna wale special agents sasa ambao hupewa mission fulani, let us say kama kuna mfanyabiashara yeyote ambapo serikali inahisi anajihusisha na mtandao mbaya wowote basi atakuwa assigned katika mission ambao 24/7 atakuwa akifuatilia mienendo yake pasipo yeye kugundulika yaani hapa anakuwa kwenye sight ya agent masaa 24/7 mfano mlengwa akisafiri yeye pia atasafiri, akiwa kwake basi yeye atangoja nje ya geti lake kuangalia ni wageni wa aina gani wanaingia na kutoka na kutoa taarifa...

Hawa ndio huwa na kazi nzito haswa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Polisi wanalala? Askari Magereza wanalala? JWTZ wote huwa wanalala?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikutoe shaka tu, hao ni watu wa kawaida na wanalala fofofo.

( Speaking from experience, kuna sehemu nimefanya nao kazi mwaka mzima )
Hahahahahah

Halafu mkuu najiuliza nakosa jibu hao jamaa hawalali wakiwa majumbani au hizo shift za kutokulala ndio wamemaanisha kulinda ofisi zao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu na wewe hujajiongeza asee. Kusema kuwa Taasisi fulani hailali hakumaanishi kuwa watumishi wake hawalali.

Maana yake ni kuwa Taasisi ina operate muda wote. Kwamaana kuwa akitoka mtu anaingia mtu, shift zipo. Hakuna binadamu asielala ni kuchelewa kulala tu. Mwenyewe naweza nisilale kwa siku tatu lakini itafikia mda akili inagoma kabisa inabidi ulale.
Hivi kupeana shift ndio kunatafsiriwa kutokulala? Mbona hatuwasifii hivyo askari polisi ambao vituo vya polisi huwa na askari wako macho muda wote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Polisi wanalala? Askari Magereza wanalala? JWTZ wote huwa wanalala?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa sasa ndio tunakuja katika mgawanyiko wa majikumu, hili ndio huwapa uzito wana usalama..

Hivyo vyombo vingine utawakuta majukumu yao mengi wanayafanya ndani ya kambi zao tofouti na wana usalama ambapo kila sehemu wapo na mbali zaidi hata kwenye vyombo tajwa hapo juu wamo pia..

Mfano askari magereza atakuwa concetrated na eneo la kambi yao lakni wanausalama utawakuta sokoni, kwenye kumbi za starehe, kwenye vyombo vya usafiri, maofisini kwenye apartments nk..

Hili ndio huwapa uzito wana usalama tofouti na hao wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nauhurumia mwili wako kwa kubeba kichwa kisicho na faida.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna raia hawajui umuhimu wa hawa watu, kila siku taarifa nyingi zinamwaga kwenye ofisi kuu na kisha zinaanza kuchambuliwa moja baada ya nyingine..

Hawa raia wasione nchi imetulia na amani ndani yake kuna wanaume wa shoka wapo kazini masaa 24..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kutokulala ina maana ya kwamba, kwenye duties zao kuna kuwa na shift yaani hupokezana kwa muda fulani..

Ila kuna wale special agents sasa ambao hupewa mission fulani, let us say kama kuna mfanyabiashara yeyote ambapo serikali inahisi anajihusisha na mtandao mbaya wowote basi atakuwa assigned katika mission ambao 24/7 atakuwa akifuatilia mienendo yake pasipo yeye kugundulika yaani hapa anakuwa kwenye sight ya agent masaa 24/7 mfano mlengwa akisafiri yeye pia atasafiri, akiwa kwake basi yeye atangoja nje ya geti lake kuangalia ni wageni wa aina gani wanaingia na kutoka na kutoa taarifa...

Hawa ndio huwa na kazi nzito haswa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asipokuelewa basi Mndengestani atakuwa sahihi kabisa kny komenti #8

God save us
 
Back
Top Bottom