Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,101
shukran mkuu kwa soma,Tujifunze
shukran mkuu kwa soma,Tujifunze
KaribuDaah! Wewe kweli ni Transistor, nimepata kitu ambacho awali sikuwanacho!!
Sio mbaya kama waya uliotoa umeme kweny mita ni mkubwa pia uliotoa umeme kweny mainswich kuleta kweny hayo mabanda ya nje unafaa kubeba mzigo huo.. Pia fundi aliefanya hiyo wayaring kama alizikaza waya kweny maungio au connection zake nk.. Kama alivosema jamaa kama nmekosea naweza sahihishwa staki niwalishe matangopori hapaAsante mkuu, nimejifunza kitu, nina main switch ya line 7, line moja nimeitoa nje kwaajili ya mabanda ya uani yako 7???