1. Mikataba ya Madini kuendeea kuikumbatia na kuendelea kuingia mikataba ya kifisadi mfano Mantra Uranium, Buzwagi, Buckreef,
2. Richmond, Dowans,Symbion,Songas, na hatma mbovu ya umeme ambao haujulikani utapatikana lini.
3. Mabilioni ya Jairo.
4. Alikuwa Advocate wa RA na kufanyakazi Vodacom Tz akisimamia maslahi ya RA
5. Jimboni kwake amekusahu sana.
6. Si mtaalamu wa wizara kwani yeye ni Advocate aliyetokea mitaa ya Independence na azam.
7. Ameibeba sana Aphatel, Shivacom katika kumiliki vodacom Congo nao ni ufisadi mkubwa.