Duhfaida nyingine unatumika mbele na nyuma
ataliwa tigomtoto wa kiume ageuzwagi
Ishakutokea nini...?Namba 11 nimeipenda
Duh! hatareeeee!Hawana gharama.
Mke wa mtu:
1. Hawezi kuomba kodi ya nyumba maana mume wake ndio analipa.
2. Hawezi kuomba umnunulie gari mume wake atahoji.
3. Hawezi kutaka umnunulie vitu vya garama sijui iphone 6+ au note 5.
4. Hakugandi kama luba,mara text, mara calls sijui ujinga gani.
5. Hawezi kukuuliza maswali ya kijinga jinga kama hivi kweli unanipenda.
6. Hawana usumbufu wa vibomu visivyo na maana.
7.Wanapatikanawanapohitajika na kama kabanwa anatoa reasonable excuses.
8. Hakuulizi utamuoa lini na malalamiko ya kijinga kijinga.
9. Hawana shida kushare mwanaume, yaani hakubani hata kama una mpenzi wako mwingine anakuruhusu uwe nae ili mradi atakapokuhitaji upatikane bila shida.
10. Ukiwa na shida ndogo ndogo anakusaidia kutatua.
11. Ukimpa mimba anamsingizia mume wake
Mbavu zangu mkuuhujaweka na ya 12. kwamba ukifumaniwa na mumewe lazima " utabikiriwa " kwa " kuzibuliwa kikamilifu " njia yako ya haja kubwa na unaweza hata ukatamani usiishi tena duniani. michezo hiyo wenzako tuna miaka hata 15 tumeshaiacha hasa kupitia kwa waliojifanya " magangwe " wa kutembea na wake za watu. kuna mshikaji wangu mmoja hadi sasa hivi kiuno chake kimepinda na hata akitembea napo pia anapinda na huwa hapati taabu sana katika kukata kona anapotembea kwani kwa jinsi " masela " walivyomtengua kiuno mwili wake tu pekee ni kona tosha.
Vijana mnatisha, ila sio siri mke wa mtu mtamu bana asikwambie mtu.Hawana gharama.
Mke wa mtu:
1. Hawezi kuomba kodi ya nyumba maana mume wake ndio analipa.
2. Hawezi kuomba umnunulie gari mume wake atahoji.
3. Hawezi kutaka umnunulie vitu vya garama sijui iphone 6+ au note 5.
4. Hakugandi kama luba,mara text, mara calls sijui ujinga gani.
5. Hawezi kukuuliza maswali ya kijinga jinga kama hivi kweli unanipenda.
6. Hawana usumbufu wa vibomu visivyo na maana.
7.Wanapatikanawanapohitajika na kama kabanwa anatoa reasonable excuses.
8. Hakuulizi utamuoa lini na malalamiko ya kijinga kijinga.
9. Hawana shida kushare mwanaume, yaani hakubani hata kama una mpenzi wako mwingine anakuruhusu uwe nae ili mradi atakapokuhitaji upatikane bila shida.
10. Ukiwa na shida ndogo ndogo anakusaidia kutatua.
11. Ukimpa mimba anamsingizia mume wake
Mungu akusamehe bure mzee wakufunga viatu wakubwaMkuu akili yako kama ya lowasa tu.