nani kanuna!View attachment 70188
...........
AHAHAHAHHAHAAH! Boflo sasa unataka watu wanune sasa unanichonganisha na mchungaji mwenzangu Kaunga si atafanya nikose waumini ibadani halafu huyu mwaJ tupo wote ofisini kwa Madame B ataniwekea zengwe nifukuzwe kazi bana halafu Preta huwa tunakutana sana pale fasi ya mango garden kuyiandaa safari ya lumbumbashi kufata vikwembe na somba sasa akikuya akakuta vile ndyo nimefanya mambo sio bien atakuya kwa mahasila meeeengi,mi huwa namjuanga huyu!
Mbona umeondoa picha yako ya zamani nzuri
umeweka ya kununa
hayo ndiyo maneno...weka ya ku smile
Mwanamke tabasamu bana
Kila nikikupa hi fb unanichunia?
Ha ha ha we kweli BOFLO...
Linaanzia na Y
Bofloooooooooooooooooooo!!!!!!!!
Hii inanikumbusha Hoteli za Ukraine. Ukilala humo, kila ukiwasha TV, unaona watu wako saa fulani. Hadi inatia kinaa......