Tunakula saa ngapi?

Tunakula saa ngapi?

papag

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
1,206
Reaction score
1,817
Kitaiva kweli?
 

Attachments

  • FB_IMG_1784182521514.jpg
    FB_IMG_1784182521514.jpg
    90.9 KB · Views: 1
Kitaiva kweli?
Ndiyo kitaiva kabisa ila sio sasa hivi. Kwani anapika kitu gani broo? Kama ni tembele; litaliwa baada ya robo saa tu. Kuwa mvumilivu kidogo. Kama ni makukuru (mahindi makavu yaliyochemshwa) italiwa baada ya masaa 3-4 uwe na uvumilivu mkubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom