RWANDA'S HUNTED: Inside the plots to kill Rwanda’s dissidents

RWANDA'S HUNTED: Inside the plots to kill Rwanda’s dissidents

....what is that "innocent ethnic group" you are talking about? leader of a free country? tukubaliane tu, kama wewe ni "mtanzania" kweli na mwanachama wa CCM, then wewe ni type ya akina ntukamazina, serukamba na wengine..ambao mmejiingiza kwenye Serikali ya JMT na Chama Tawala ili muwe mnampelekea PaKa habari za nchi yetu anazozitaka.. it has been a concern of many people here in JF of the tutsis who hold or have previously held important positions in this country that they are information conduit to the government of kigali....you may be one of them..

Uoga wa bure tu. Kama mnawashuku hao viongozi na mna ushahidi wapelekeni mahakamani manake hizo tuhuma ni za uhaini. Lakini kama hamna ushahidi then shut the f**k up. Mananke kila siku story ni hizo hizo tu.
 
jMali,
1. Strike one! Idadi ya watutsi jeshini sio suala kabisa. Hivi kukiwa na wakurya wengi TDPF ina maana wakurya wanataka kutawala? So I reject your deposit.

2. Strike two! Mobutu was a bogus ineffective dictator who ruined an otherwise potential economic giant in the heart of Africa. to blame Kagame or Tutsis for his downfall is uncalled for. jMali una fikra za ki-genocidaire sana. Nakufananisha na wale wanaopinga uwepo wa Holocaust. They spew the same warped reasoning almost verbatim to what you post here. Yaani ukitoa "jew" na kuweka "Tutsi" na kutoa "Europe" na kuweka "Africa" tunapata statements zako hapa. Aibu!

3. Strike three! The RPA has always been a liberation army to free and protect all Rwandese regardless of ethnicities. There are many Hutus within RPA's ranks. In fact even during the liberation push in the 90's each unit had tutsi and hutus. It's a national force. Mobutu was overthrown due to his incompetence. Wa-Congo walimchoka dhalimu yule. Two, Mobutu had overstayed his use to the West post-Cold War. He was a spent shell. You can't blame Kagame au Kabarebe for Mobutu's ouster. He was overthrown by his own people.

Mobutu was in cahoots with Habyarimana in persecuting Tutsis so there was no love lost between he and Rwanda. Three, FDLR wamejificha DRC na wanalindwa na serikali ya DRC. Rwanda haiwezi kuingia DRC bila ridhaa ya serikali ya DRC. Zimeshafanyika operation za pamoja kati ya FARDC na RDF kwa mafanikio kiasi. Kumbuka FARDC ni ragtag indisciplined army kwa hiyo kazi inakuwa ngumu. America with all its sophisticated weaponry bado wanapigana na wavaa mataulo-kichwani Afghanistan ingawa wana bases ndani ya Afghanistan, cha kukushangaza kuhusu FDLR ni nini? Siku yao inakuja very soon, utaona tu (God Willing).So your argument holds no water.

1. hahaha. wakurya hawakuwahi kuwa wafalme wa tanzania, tofauti na watutsi, so hoja yako haina maana kabisa. watutsi wanahitaji kuwa wengi jeshini ili warudishe "empire". vile vile umeshindwa kutoa mtazamo wako wa hili linawezekanaje kwa watutsi kuwa wengi jeshini Rwanda, burundi, congo DRC, Uganda wakati wao ni minorities katika nchi hizi. Ina maana mapinduzi ya uganda for example, ni watutsi tu ndio walikuwa wanakandamizwa? kwa nini jeshi lisijae makabila mengine kama baganda?

2. sijamsifia mobutu, swala ni kwamba kwa nini baada ya kupindua Rwanda kagame and co, went straight kumpindua mobutu, mambo ya DRC yanamhusu nini Kagame/RPF? si yeye ambaye leo anasema tanzania tuwaachie DRC (read M23) waamue mambo yao wenyewe? hivi inaingia akilini that you spend over 4 years msituni kuvamia Rwanda, halafu immediately after that unachukua jeshi unaingia DRC kumpindua Mobutu? what was kagame's motive for that?
Before you start that BS about "they went after interahamwe/FDLR" remind yourself how many years Rwandese gov has been in DRC since 1994, and how come they failed to capture those FDLR in all those years, but somehow managed to overthrow the entire country!

3. Mobutu was in cahoots with habyarimana, same as kikwete, zuma, france, and the entire UN is in cahoots with FDLR. These are delusional arguments that don't warrant a reply. what about Kabilas (both lawrent and joseph) aren't they in cahoots with FDLR too?
 

Rubi it's all propaganda my friend. I mean these articles and their authors have no respect for Pres Kagame to even belittle his genitalia. Who cares if he wore VIP underwear at secondary school? Who among us growing up in the 80's didn't wear VIP's? Don't fall for this below-the-belt propaganda.
 
1. hahaha. wakurya hawakuwahi kuwa wafalme wa tanzania, tofauti na watutsi, so hoja yako haina maana kabisa. watutsi wanahitaji kuwa wengi jeshini ili warudishe "empire". vile vile umeshindwa kutoa mtazamo wako wa hili linawezekanaje kwa watutsi kuwa wengi jeshini Rwanda, burundi, congo DRC, Uganda wakati wao ni minorities katika nchi hizi. Ina maana mapinduzi ya uganda for example, ni watutsi tu ndio walikuwa wanakandamizwa? kwa nini jeshi lisijae makabila mengine kama baganda?

2. sijamsifia mobutu, swala ni kwamba kwa nini baada ya kupindua Rwanda kagame and co, went straight kumpindua mobutu, mambo ya DRC yanamhusu nini Kagame/RPF? si yeye ambaye leo anasema tanzania tuwaachie DRC (read M23) waamue mambo yao wenyewe? hivi inaingia akilini that you spend over 4 years msituni kuvamia Rwanda, halafu immediately after that unachukua jeshi unaingia DRC kumpindua Mobutu? what was kagame's motive for that?
Before you start that BS about "they went after interahamwe/FDLR" remind yourself how many years Rwandese gov has been in DRC since 1994, and how come they failed to capture those FDLR in all those years, but somehow managed to overthrow the entire country!

3. Mobutu was in cahoots with habyarimana, same as kikwete, zuma, france, and the entire UN is in cahoots with FDLR. These are delusional arguments that don't warrant a reply. what about Kabilas (both lawrent and joseph) aren't they in cahoots with FDLR too?

Kazi ya jeshi ni kama kazi nyingine, ni suala la passion. Kuna makabila na makundi ya watu fulani huvutiwa na kazi au shughuli fulani katika jamii. Hapa kwetu wakurya na wenyeji wengine wa Mara wana historia ya kupenda kazi za polisi, jeshi na magereza. Wachagga, wapemba, wakinga wana historia ya kupenda biashara. Wa-makunduchi wanapenda upolisi kule Unguja. Wamaasai na wamakonde ni walinzi maarufu. Wasambaa ni mafundi cherehani mahiri sana. Watumbatu ni wavuvi wazuri. Wamwera, wamatumbi, wandengereko wanauza urembo na kuosha miguu ya wake za watu kama hawana akili nzuri vile etc. Ni mgawanyo wa kazi tu kutokana na historia ya kundi au kabila fulani. Haina maana makundi au makabila mengine hawafanyi shughuli hizi au zingine.

RPA hawakuipindua serikali ya Rwanda bali waliikomboa Rwanda kutoka kwa serikali dhalimu ya mpito ya Kambanda so get your facts straight. Bagosora na genge lake la wauaji ndio walimpindua Habyarimana kwa kuitungua ndege yake. Ushiriki wa RPA katika baadhi ya maeneo mashariki mwa DRC ilikuwa ni muendelezo wa kuwasaka watuhumiwa wa mauaji wa halaiki. Kumbuka wafaransa walitengeneza buffer zone ili kuwasaidia FAR na interahamwe kukimbia (*** the French). Suala la miaka minne sio kitu kabisa. Congo is huge and a sovereign country. RDF hawawezi kuendesha military operations kienyeji tu au bila ridhaa ya serikali ya Kinshasa. America wako Iraq mwaka wa ngapi huu? with all their military might.

Mobutu was in cahoots with Habyarimana - this is a fact. Kama hutaki basi umeamua tu kuwa stubborn. I dont know of Pres Kikwete's involvement with the FDLR. I doubt that my president would stoop so low. But I do know that "Rev" Mtikila and some elements within our country back the FDLR ts ts ts aibu. As for Zuma, well he's one daft president this continent has ever seen, screw what he thinks.
 
Khaa!...kagame anamtingisha nani akili? Labda wengine lakini sidhani kama anaweza ifanyia Tanzania hivyo. Mwenyewe anaona aibu hata kukanyaga hapa, hata kwenye matukio yanayoihusisha EAC. Sasa nyie mnaocheza ngoma ya kagame si mrudi huko rwanda? kwanini mnajivisha u-Tanzania??
Rushasha nilifikiri ulitunguliwa kumbe bado upo? karibu jamvini,lakini kumbuka wakwanza kua muoga alikua jk sasa sijui hiyo umeitoa wapi,kingine hapa hatuko kuangalia nani ana muogopa nani,bali tunaongelea facts,kawnini jk ana support FDLR?
 
Kazi ya jeshi ni kama kazi nyingine, ni suala la passion. Kuna makabila na makundi ya watu fulani huvutiwa na kazi au shughuli fulani katika jamii. Hapa kwetu wakurya na wenyeji wengine wa Mara wana historia ya kupenda kazi za polisi, jeshi na magereza. Wachagga, wapemba, wakinga wana historia ya kupenda biashara. Wa-makunduchi wanapenda upolisi kule Unguja. Wamaasai na wamakonde ni walinzi maarufu. Wasambaa ni mafundi cherehani mahiri sana. Watumbatu ni wavuvi wazuri. Wamwera, wamatumbi, wandengereko wanauza urembo na kuosha miguu ya wake za watu kama hawana akili nzuri vile etc. Ni mgawanyo wa kazi tu kutokana na historia ya kundi au kabila fulani. Haina maana makundi au makabila mengine hawafanyi shughuli hizi au zingine.

RPA hawakuipindua serikali ya Rwanda bali waliikomboa Rwanda kutoka kwa serikali dhalimu ya mpito ya Kambanda so get your facts straight. Bagosora na genge lake la wauaji ndio walimpindua Habyarimana kwa kuitungua ndege yake. Ushiriki wa RPA katika baadhi ya maeneo mashariki mwa DRC ilikuwa ni muendelezo wa kuwasaka watuhumiwa wa mauaji wa halaiki. Kumbuka wafaransa walitengeneza buffer zone ili kuwasaidia FAR na interahamwe kukimbia (*** the French). Suala la miaka minne sio kitu kabisa. Congo is huge and a sovereign country. RDF hawawezi kuendesha military operations kienyeji tu au bila ridhaa ya serikali ya Kinshasa. America wako Iraq mwaka wa ngapi huu? with all their military might.

Mobutu was in cahoots with Habyarimana - this is a fact. Kama hutaki basi umeamua tu kuwa stubborn. I dont know of Pres Kikwete's involvement with the FDLR. I doubt that my president would stoop so low. But I do know that "Rev" Mtikila and some elements within our country back the FDLR ts ts ts aibu. As for Zuma, well he's one daft president this continent has ever seen, screw what he thinks.
#@Commanche, are you for real?? nyie si ndio mlikuwa hamuishi kumuita Rais wetu Mh Jakaya Mrisho Kikwete kuwa ni muhutu na supporter wa FDRL? Leo unajidai hujui kuwa "I dont know of Pres Kikwete's involvement with the FDRL"!. who is that your president who wouldn't stoop too low? Kagame ama?... RPA walipindua Serikali ya Rwanda kwa msaada wa Mu7 kama mchango wake (Mu7) baada ya akina Kagame kumsaidia kupindua Serikali ya Kampala katika harakati zenu za kutengeneza bahima empire. Kagame (akiwa raia wa Uganda) and some of the tutsi (from TZ, BUrundi, Uganda na kwingineko) waliounda RPA ambayo ilivamia rwanda; kwa ufupi walivamia nchi ya rwanda na kuipindua Serikali baada ya kumuua Rais aliyekuwepo wakati huo, Habyarimana. Hivi na yule wa Burundi naye aliwakosea nini? au kosa lake ni kuwa tu alikuwa mhutu?
 
#@Commanche, are you for real?? nyie si ndio mlikuwa hamuishi kumuita Rais wetu Mh Jakaya Mrisho Kikwete kuwa ni muhutu na supporter wa FDRL? Leo unajidai hujui kuwa "I dont know of Pres Kikwete's involvement with the FDRL"!. who is that your president who wouldn't stoop too low? Kagame ama?... RPA walipindua Serikali ya Rwanda kwa msaada wa Mu7 kama mchango wake (Mu7) baada ya akina Kagame kumsaidia kupindua Serikali ya Kampala katika harakati zenu za kutengeneza bahima empire. Kagame (akiwa raia wa Uganda) and some of the tutsi (from TZ, BUrundi, Uganda na kwingineko) waliounda RPA ambayo ilivamia rwanda; kwa ufupi walivamia nchi ya rwanda na kuipindua Serikali baada ya kumuua Rais aliyekuwepo wakati huo, Habyarimana. Hivi na yule wa Burundi naye aliwakosea nini? au kosa lake ni kuwa tu alikuwa mhutu?

By "nyie" unawaongelea wakina nani? Wapi mimi nimemtuhumu Rais Kikwete kuwa m-Hutu na supporter wa FDLR? No sane leader, man, woman or child would support the FDLR. They are satanic criminals with blood in their hands. Habyarimana's plane was shot down by hardline hutus led by Col Bagosora (mbona liko wazi hili). Tena walitumia two of the twenty french missiles given to FAR by France from a FAR base near the airport. During that time there were only 600 RPA equipped with light arms and confined to that parlie building (without water, electricity) and surrounded by evil FAR, interahamwe militia.
 
Uoga wa bure tu. Kama mnawashuku hao viongozi na mna ushahidi wapelekeni mahakamani manake hizo tuhuma ni za uhaini. Lakini kama hamna ushahidi then shut the f**k up. Mananke kila siku story ni hizo hizo tu.
....lol!.haya sisi n waoga; you don't have the right to tell us what to do!..
 
By "nyie" unawaongelea wakina nani? Wapi mimi nimemtuhumu Rais Kikwete kuwa m-Hutu na supporter wa FDLR? No sane leader, man, woman or child would support the FDLR. They are satanic criminals with blood in their hands. Habyarimana's plane was shot down by hardline hutus led by Col Bagosora (mbona liko wazi hili). Tena walitumia two of the twenty french missiles given to FAR by France from a FAR base near the airport. During that time there were only 600 RPA equipped with light arms and confined to that parlie building (without water, electricity) and surrounded by evil FAR, interahamwe militia.
By "nyie" nawaongela extremist tutsis of your type. Mmemtuhumu sana Rais Kikwete na mke wake kuwa ni wahutu kupitia magazeti yenu ya huko kigali...hili liko wazi haswa, hata watoto wa shule za msingi hapa nchini. Endelea kujidanganya tu kuwa ndege ya Habyarimana na mwenzake wa Burundi ilitunguliwa na hardline hutus. When you call the FDRL satanic criminals with blood in their hands they are of equal to their opponents, the RPA. Wote nyie (FDRL na RPA) ni wauaji na mmejaa damu za binadamu wenzenu mikononi mwenu!...and please JIVUE UTANZANIA, Watanzania sio wapenda vita kama nyie; we have been a peaceful Nation since then; tumewapokea hapa nchini kama wakimbizi kwa sababu ya vita katika nchi zenu leo mmejigeuza Watanzania..Mweeeh! have a good day, and keep praising your "god" PaKa
 
Ndege ya Rais Habyarimana ilitunguliwa kutoka kambi ya FAR kwa mizinga iliyotolewa kwa FAR na France.
mmm! kamanda nilikua naanza kujilazimisha kukuelewa na kukuamini lakini kwa mstari huo mmoja hapo juu umenipoteza tena,Labda nikuulize,unadhani hao FAR walifanya hivyo kwanini?maana it looks like it doesn't make sense kwao wao kumfanyia hivyo Habyarimana,maana kwa mazingira ya rwanda hata ungefanyika uchaguzi wakati ule wahutu wangeshinda tu,RPF wasingeweza kushinda kwa kutegemea kura za kundi lililokua likiwaunga mkono,na mimi nachelea kuyataja hayo makabila yenu,nimetumia neno kundi ili kuepusha fitna!

Swali lingine,hivi yule mama aliemchallenge kagame kwenye uchaguzi uliopita na kutupwa "ndani" kagame alishamuachia?na je yule mama ni mtu kutoka kundi gani,majority au minority?nauliza hivyo cuz hayo makundi yenu yananichanganya but ndio niko katika kujifunza,nimefurahi kukutana na watu mlio deep kwenye siasa za hayo makundi naamini ntafaidika na kujifunza.Kingine yule rais wa kwanza wa Rwanda after genocide ambae alikua mshirika wa Pk na kuhitilafiana baadae,yuko wapi na anafanya nini na alimkosea nini Pk.

Mwisho niseme tu kwa maoni yangu Kagame anaonekana ni muoga,pengine ni kutokana na aliyoyaeleza mchangiaji mmoja hapo nyuma nadhani FEED or something like that.
 
Rushasha nilifikiri ulitunguliwa kumbe bado upo? karibu jamvini,lakini kumbuka wakwanza kua muoga alikua jk sasa sijui hiyo umeitoa wapi,kingine hapa hatuko kuangalia nani ana muogopa nani,bali tunaongelea facts,kawnini jk ana support FDLR?
jk(TANZANIA) ina support FDLR !!!! ? una ushahidi juu ya hili kaka?Hebu tiririka nao basi tuuone na kupima.
 
Kazi ya jeshi ni kama kazi nyingine, ni suala la passion. Kuna makabila na makundi ya watu fulani huvutiwa na kazi au shughuli fulani katika jamii. Hapa kwetu wakurya na wenyeji wengine wa Mara wana historia ya kupenda kazi za polisi, jeshi na magereza. Wachagga, wapemba, wakinga wana historia ya kupenda biashara. Wa-makunduchi wanapenda upolisi kule Unguja. Wamaasai na wamakonde ni walinzi maarufu. Wasambaa ni mafundi cherehani mahiri sana. Watumbatu ni wavuvi wazuri. Wamwera, wamatumbi, wandengereko wanauza urembo na kuosha miguu ya wake za watu kama hawana akili nzuri vile etc. Ni mgawanyo wa kazi tu kutokana na historia ya kundi au kabila fulani. Haina maana makundi au makabila mengine hawafanyi shughuli hizi au zingine.

RPA hawakuipindua serikali ya Rwanda bali waliikomboa Rwanda kutoka kwa serikali dhalimu ya mpito ya Kambanda so get your facts straight. Bagosora na genge lake la wauaji ndio walimpindua Habyarimana kwa kuitungua ndege yake. Ushiriki wa RPA katika baadhi ya maeneo mashariki mwa DRC ilikuwa ni muendelezo wa kuwasaka watuhumiwa wa mauaji wa halaiki. Kumbuka wafaransa walitengeneza buffer zone ili kuwasaidia FAR na interahamwe kukimbia (*** the French). Suala la miaka minne sio kitu kabisa. Congo is huge and a sovereign country. RDF hawawezi kuendesha military operations kienyeji tu au bila ridhaa ya serikali ya Kinshasa. America wako Iraq mwaka wa ngapi huu? with all their military might.

Mobutu was in cahoots with Habyarimana - this is a fact. Kama hutaki basi umeamua tu kuwa stubborn. I dont know of Pres Kikwete's involvement with the FDLR. I doubt that my president would stoop so low. But I do know that "Rev" Mtikila and some elements within our country back the FDLR ts ts ts aibu. As for Zuma, well he's one daft president this continent has ever seen, screw what he thinks.
Rubbish, unaandika kiufasaha lakini no points. All what you are trying to do is be in the tutsi extremist side........LOL.
 
Rushasha nilifikiri ulitunguliwa kumbe bado upo? karibu jamvini,lakini kumbuka wakwanza kua muoga alikua jk sasa sijui hiyo umeitoa wapi,kingine hapa hatuko kuangalia nani ana muogopa nani,bali tunaongelea facts,kawnini jk ana support FDLR?
......So, mlituma watu kunitungua kama mlivyomtungua Prof Jwani Mwaikasu??....endeleeni na juhudi zenu ila hamtafanikiwa you blood thirsty creatures...
 
mmm! kamanda nilikua naanza kujilazimisha kukuelewa na kukuamini lakini kwa mstari huo mmoja hapo juu umenipoteza tena,Labda nikuulize,unadhani hao FAR walifanya hivyo kwanini?maana it looks like it doesn't make sense kwao wao kumfanyia hivyo Habyarimana,maana kwa mazingira ya rwanda hata ungefanyika uchaguzi wakati ule wahutu wangeshinda tu,RPF wasingeweza kushinda kwa kutegemea kura za kundi lililokua likiwaunga mkono,na mimi nachelea kuyataja hayo makabila yenu,nimetumia neno kundi ili kuepusha fitna!

Swali lingine,hivi yule mama aliemchallenge kagame kwenye uchaguzi uliopita na kutupwa "ndani" kagame alishamuachia?na je yule mama ni mtu kutoka kundi gani,majority au minority?nauliza hivyo cuz hayo makundi yenu yananichanganya but ndio niko katika kujifunza,nimefurahi kukutana na watu mlio deep kwenye siasa za hayo makundi naamini ntafaidika na kujifunza.Kingine yule rais wa kwanza wa Rwanda after genocide ambae alikua mshirika wa Pk na kuhitilafiana baadae,yuko wapi na anafanya nini na alimkosea nini Pk.

Mwisho niseme tu kwa maoni yangu Kagame anaonekana ni muoga,pengine ni kutokana na aliyoyaeleza mchangiaji mmoja hapo nyuma nadhani FEED or something like that.

Kim K naomba nirudie kwa mara nyingine tena; mimi ni m-Tanzania. Back to the lecture at hand; kulikuwa na inner circle ya Habyarimana ikiongozwa na mke wake akishirikiana na Col Bagosora na wa-hutu wengine wenye mrengo mkali ambao hawakupendezwa na makubaliano ya Arusha. Makubaliano haya yangepelekea serikali ya mpito yenye kuhusisha RPF na makundi mengine ya wanyanyaswaji nchini Rwanda. Hili genge la kina Bagosora likaamua kwa makusudi kutungua ndege ile wakijua dhahiri kuwa kwa kufanya hivyo kutakuwa na machafuko. Watu wengi wasichokijua ni kuwa kampeni ya chuki haikuanza Aprili 1994. Ilianza kitambo kwa kutumia maofisa wa serikali, vyombo vya redio, magazeti (Kangura) na njia nyingine kuhamasisha watu waue watutsi na wahutu moderates.

Yakaagizwa mapanga kutoka Uchina kwa ajili ya kazi hiyo. The downing of Habyarimana's plane was just the culmination of years of hateful indoctrination and preparation for the genocide against the Tutsi. FAR and the regime in power saw the RPF's inclusion in government as a threat to their power aggrandizing and saw Habyarimana as a traitor to the extremist Hutu cause. The RPF had no reason to kill Habyarimana because the RPA was already winning the war; I mean as the disciplined forces were venturing southward towards Kigali victory was certain. In towns and villages they met little resistance except for a few place where the presidential guard put up a fight, but even they eventually capitulated under the prowess of RPA liberation fighters. Kwa ufupi Habyarimana knew he had no choice but to negotiate for he was losing badly on the war front.

Victoire Ingabire yupo gerezani akitumikia kifungo kwa makosa mbali mbali likiwemo la kufanya mzaha na mauaji ya kimbari na kushirikiana na waasi wa FDLR ambao ni masalia ya FAR na interahamwe. Yule mama ni mkorofi sana, ameishi magharibi kwa miaka 17 (not a problem), kwanza wala hakuwapo wakati wa genocide against the tutsi. Akaomba passport akapewa kama raia. Siku anarudi tu Rwanda, katoka airport na kwenda moja kwa moja kwenye kumbukumbu ya mauaji ya kimbari na kutoa risala inayobeza idadi ya watu waliouawa (oh hutus this tutsi that blah blah blah). Kana kwamba haitoshi akaendeleza choko choko zake pamoja na kuonywa mara kadhaa. Sasa mtu kama huyu hawezi kuruhusiwa kugombea urais kwa kuwa ni mchochezi na ni mwanamakundi wa mrengo mkali ambaye siasa zake zimejikita kwenye kuwagawa wanyarwanda kwa mistari ya makundi na visasi. She is a revisionist, divisionist, genocide-denier. Mtu kama yule hafai!

Former President Pasteur Bizimungu is in Kigali just chilling. He was convicted on corruption charges, incitement and abuse of office but was pardoned unconditionally by President Kagame.
Rais Kagame si muoga rather the man is a realist. Any disciplinarian takes pre-emptive measures and sticks to his word. Si mbabaishaji kama wanasiasa wengine. Natumai nimekuelewesha ndugu yangu.
 
......So, mlituma watu kunitungua kama mlivyomtungua Prof Jwani Mwaikasu??....endeleeni na juhudi zenu ila hamtafanikiwa you blood thirsty creatures...

Hawana maana hao akina mukamasimba. Tz tukiamua kuwavuruga unafikiri hapo Rwanda kuna nchi? Kagame ni kama Mti ulioota kwenye udongo mdogo ulio juu ya mwamba. upepo ukija unaung'oa kwa dakika
 
Kim K naomba nirudie kwa mara nyingine tena; mimi ni m-Tanzania. Back to the lecture at hand; kulikuwa na inner circle ya Habyarimana ikiongozwa na mke wake akishirikiana na Col Bagosora na wa-hutu wengine wenye mrengo mkali ambao hawakupendezwa na makubaliano ya Arusha. Makubaliano haya yangepelekea serikali ya mpito yenye kuhusisha RPF na makundi mengine ya wanyanyaswaji nchini Rwanda. Hili genge la kina Bagosora likaamua kwa makusudi kutungua ndege ile wakijua dhahiri kuwa kwa kufanya hivyo kutakuwa na machafuko. Watu wengi wasichokijua ni kuwa kampeni ya chuki haikuanza Aprili 1994. Ilianza kitambo kwa kutumia maofisa wa serikali, vyombo vya redio, magazeti (Kangura) na njia nyingine kuhamasisha watu waue watutsi na wahutu moderates.

Yakaagizwa mapanga kutoka Uchina kwa ajili ya kazi hiyo. The downing of Habyarimana's plane was just the culmination of years of hateful indoctrination and preparation for the genocide against the Tutsi. FAR and the regime in power saw the RPF's inclusion in government as a threat to their power aggrandizing and saw Habyarimana as a traitor to the extremist Hutu cause. The RPF had no reason to kill Habyarimana because the RPA was already winning the war; I mean as the disciplined forces were venturing southward towards Kigali victory was certain. In towns and villages they met little resistance except for a few place where the presidential guard put up a fight, but even they eventually capitulated under the prowess of RPA liberation fighters. Kwa ufupi Habyarimana knew he had no choice but to negotiate for he was losing badly on the war front.

Victoire Ingabire yupo gerezani akitumikia kifungo kwa makosa mbali mbali likiwemo la kufanya mzaha na mauaji ya kimbari na kushirikiana na waasi wa FDLR ambao ni masalia ya FAR na interahamwe. Yule mama ni mkorofi sana, ameishi magharibi kwa miaka 17 (not a problem), kwanza wala hakuwapo wakati wa genocide against the tutsi. Akaomba passport akapewa kama raia. Siku anarudi tu Rwanda, katoka airport na kwenda moja kwa moja kwenye kumbukumbu ya mauaji ya kimbari na kutoa risala inayobeza idadi ya watu waliouawa (oh hutus this tutsi that blah blah blah). Kana kwamba haitoshi akaendeleza choko choko zake pamoja na kuonywa mara kadhaa. Sasa mtu kama huyu hawezi kuruhusiwa kugombea urais kwa kuwa ni mchochezi na ni mwanamakundi wa mrengo mkali ambaye siasa zake zimejikita kwenye kuwagawa wanyarwanda kwa mistari ya makundi na visasi. She is a revisionist, divisionist, genocide-denier. Mtu kama yule hafai!

Former President Pasteur Bizimungu is in Kigali just chilling. He was convicted on corruption charges, incitement and abuse of office but was pardoned unconditionally by President Kagame.
Rais Kagame si muoga rather the man is a realist. Any disciplinarian takes pre-emptive measures and sticks to his word. Si mbabaishaji kama wanasiasa wengine. Natumai nimekuelewesha ndugu yangu.
1. Wewe SIO MTANZANIA; na kama ni Mtanzania mtakuwa tu mapandikizi ya PaKa wenu kama walivyo baadhi ya wabunge ambao ni watutsi
2. Hiyo theory yenu kuwa Habyarimana aliuliwa na wahutu wenzake does not hold water...it got lots of holes in it,,,
3. What mke wa Habyarimana was doing has been dublicated by "Madamme" Jeanet Kagame......she is like the government engine kama alivyokuwa anafanya mke wa Habyarimana
4. Kama alivyokuwa anafanya Habyarimana, inner circle ya PaKa ni tutsis only
5. There is nothing like "genocide against tutsis", there is genocide against Rwandans...
6. Huyo Victoire alichokuwa anaongea ni sahihi, it is true that, sio watutsi peke yake waliokufa wakati wa genocide, walikufa wahutu wengi tu pia; na hata baada ya genocide mkawafuatilia hadi DRC walikokimbilia wale raia wa kihutu ambao hawakushiriki katika unyama wa mauaji uliofanywa na FDRL na RPA.
7. Kwamba walikufa watutsi takribani one million is doubtful coz by then idadi ya watutsi ilikuwa ndogo sana rwanda; na the fact that they are only 15% of the population, inawezekana kabisa during the genocide against Rwandans, walikuwa wachache zaidi ya hao; so kusema walikufa one million kidogo inaleta shida...HAKUNA ANAYEPENDA MAUAJI!
8. OMBI: Naomba usijiite Mtanzania, unless otherwise upo kwenye hilo group nililozungumzia kwenye Number 1 above..
 
1. Wewe SIO MTANZANIA; na kama ni Mtanzania mtakuwa tu mapandikizi ya PaKa wenu kama walivyo baadhi ya wabunge ambao ni watutsi
2. Hiyo theory yenu kuwa Habyarimana aliuliwa na wahutu wenzake does not hold water...it got lots of holes in it,,,
3. What mke wa Habyarimana was doing has been dublicated by "Madamme" Jeanet Kagame......she is like the government engine kama alivyokuwa anafanya mke wa Habyarimana
4. Kama alivyokuwa anafanya Habyarimana, inner circle ya PaKa ni tutsis only
5. There is nothing like "genocide against tutsis", there is genocide against Rwandans...
6. Huyo Victoire alichokuwa anaongea ni sahihi, it is true that, sio watutsi peke yake waliokufa wakati wa genocide, walikufa wahutu wengi tu pia; na hata baada ya genocide mkawafuatilia hadi DRC walikokimbilia wale raia wa kihutu ambao hawakushiriki katika unyama wa mauaji uliofanywa na FDRL na RPA.
7. Kwamba walikufa watutsi takribani one million is doubtful coz by then idadi ya watutsi ilikuwa ndogo sana rwanda; na the fact that they are only 15% of the population, inawezekana kabisa during the genocide against Rwandans, walikuwa wachache zaidi ya hao; so kusema walikufa one million kidogo inaleta shida...HAKUNA ANAYEPENDA MAUAJI!
8. OMBI: Naomba usijiite Mtanzania, unless otherwise upo kwenye hilo group nililozungumzia kwenye Number 1 above..

Rushasha,
1. Mimi ni m-Tanzania. Sijui umetumia mantiki gani kutengua haki yangu ya uraia wa Tanzania. Aidha, mimi si pandikizi na wala sifahamiani na Rais Kagame au mtu yeyote kwenye utawala wake. Nasimamia kweli hapa ili wenzi wangu kama wewe msipotoke na propaganda za wauaji na wapambe wao.
2. Habyarimana's plane was shot down by french s.a.m's from the FAR base near the airport
3. Huwezi mlinganisha Mrs Habyarimana na Mama Kagame. Ni giza na nuru respectively. The former was an evil nosy brutal divisionist whereas the latter is a loving, motherly, unifying, altruistic, nurturing lady
4. Pres Kagame's inner circle is multi-ethnic...Hutus, Tutsis, Twas etc
5. There is the genocide against Tutsi. Genocide by definition is ethnocentric. And during that genocide tutsis were the intended target.
6.Hakuna anayebisha kuwa kuna moderate Hutus waliuawa lakini majority waliouawa ni Tutsis. Walioenda DRC wengi walikuwa ni wanajeshi wa FAR na wanamgambo wa interahamwe ambao waliruhusiwa na kulinda na wanajeshi wa France. Kumbuka footages za wanajeshi wale wakiwa na silaha nzito wakikimbilia DRC baada ya kutandikwa kwenye uwanja wa vita. Mkimbizi gani anakimbia na vifaru, rpgs na bunduki? Mbona maelfu wasio na hatia walirudi nyumbani na wanajenga nchi yao kwa amani tu.
7. There were between 800,000 and 1,000,000 Tutsi senselessly butchered. Sasa hizo sensa unazosema sijui ndio za Habyarimana's regime (which we all know persecuted Tutsi) or the UN(a useless debating club that sat helplessly on the sidelines and let people be massacred for months)
8. Ombi lako limekataliwa. Huna mamlaka ya kunipangia uraia wangu. U-Tanzania wangu nimepewa na Mungu, hakuna mwanadamu mwenye uwezo wa kuingilia hili. Mimi ni m-Tanzania.
7.
 
Rushasha,
1. Mimi ni m-Tanzania. Sijui umetumia mantiki gani kutengua haki yangu ya uraia wa Tanzania. Aidha, mimi si pandikizi na wala sifahamiani na Rais Kagame au mtu yeyote kwenye utawala wake. Nasimamia kweli hapa ili wenzi wangu kama wewe msipotoke na propaganda za wauaji na wapambe wao.
2. Habyarimana's plane was shot down by french s.a.m's from the FAR base near the airport
3. Huwezi mlinganisha Mrs Habyarimana na Mama Kagame. Ni giza na nuru respectively. The former was an evil nosy brutal divisionist whereas the latter is a loving, motherly, unifying, altruistic, nurturing lady
4. Pres Kagame's inner circle is multi-ethnic...Hutus, Tutsis, Twas etc
5. There is the genocide against Tutsi. Genocide by definition is ethnocentric. And during that genocide tutsis were the intended target.
6.Hakuna anayebisha kuwa kuna moderate Hutus waliuawa lakini majority waliouawa ni Tutsis. Walioenda DRC wengi walikuwa ni wanajeshi wa FAR na wanamgambo wa interahamwe ambao waliruhusiwa na kulinda na wanajeshi wa France. Kumbuka footages za wanajeshi wale wakiwa na silaha nzito wakikimbilia DRC baada ya kutandikwa kwenye uwanja wa vita. Mkimbizi gani anakimbia na vifaru, rpgs na bunduki? Mbona maelfu wasio na hatia walirudi nyumbani na wanajenga nchi yao kwa amani tu.
7. There were between 800,000 and 1,000,000 Tutsi senselessly butchered. Sasa hizo sensa unazosema sijui ndio za Habyarimana's regime (which we all know persecuted Tutsi) or the UN(a useless debating club that sat helplessly on the sidelines and let people be massacred for months)
8. Ombi lako limekataliwa. Huna mamlaka ya kunipangia uraia wangu. U-Tanzania wangu nimepewa na Mungu, hakuna mwanadamu mwenye uwezo wa kuingilia hili. Mimi ni m-Tanzania.
7.

Wewe ni mnyamulenge. Unajitetea sana ili ukubalike kama mtanzania. Te te te te......... Tabia zako na maongezi yako hayafanani na watoto wa nyerere kabisa. Mweneji wa mkoa gani? mi mwenyeji wasingida
 
Wewe ni mnyamulenge. Unajitetea sana ili ukubalike kama mtanzania. Te te te te......... Tabia zako na maongezi yako hayafanani na watoto wa nyerere kabisa. Mweneji wa mkoa gani? mi mwenyeji wasingida

Wa-Tanzania wote tu-wamoja kwa hiyo sioni mantiki kutaja mkoa au mikoa waliyotoka wazazi wa kwangu. It would only foster tribalism which is senseless in my opinion.
 
Back
Top Bottom