JustDoItNow
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,967
- 1,513
You said it very well Mkuu Fugwe.....huyu jamaa anajiita eti Mtanzania na pia mwana - CCM...inawezekana ni kama wale akina ntukamazina, serukamba na wengine wa aina hiyo....ambao inaonekana kama ni wapambe wa kigali. Hivi karibuni kuna gazeti la PataHabari liliandika kuwa "Kagame ameunda mtandao wake kwenye bunge la jamhuri huko Dodoma".. wapo watutsi wengi (wanajiita wahangaza, waha nk) wamejipenyeza hadi kwenye Chama Tawala (CCM) kwa kazi ya kutafuta habari na kumpelekea "bwana" wao PaKa huko kigali.....mwisho wao unakaribia. Hivi karibuni kulitokea habari kuwa, "Kuna wanawake wapelelezi wa kitutsi walikamatwa Dodoma".. Sasa huyu ndugu Commanche anavyojidai "Mtanzania" na mwana CCM, wala sioni ajabu....
Hana lolote huyo Commanche. Anachoongea hakina ushaidi. Mwingine akiongea anamuomba ushaidi. Hiyo ni uwezo mdogo wa kufikiri na kuleta ushabiki husiokuwa wa maana. Hata kama ni CCM member. Huyo ni bad element who needs to be kicked out.