RWANDA'S HUNTED: Inside the plots to kill Rwanda’s dissidents

RWANDA'S HUNTED: Inside the plots to kill Rwanda’s dissidents

huruma kweli kweli! kwa hiyo huyo celeb Mel-B naye ni interahamwe au mhutu? kwa nini awasingizie kuwa wanakaa New york?

1. Assuming kuwa Mel-B wa spice girls naye ni interahamwe/mhutu/FDLR, because i quoted her saying: " "I know his son and daughter becausethey live in New York and they're adorable people. They invited us out there.", Hebu ona hii hapa chini ni akaunti ya ange kagame HERSELF! Sasa hebu angalia location...AIBU EE?

"Ange Kagame at Ange Kagame Schenectady, New York (Albany, New York Area)"

source: http://www.linkedin.com/in/angekagamex

Nasubiria kwa hamu nisikie utasema nini...

2. Hebu nipe nchi moja tu ambayo ilikuwa inapinga serikali ya Habyarimana, au tamko lolote toka nchi yoyote ile kuiponda serikali ya Habyarimana etc, ili tuthibitishe kuwa ufaransa ndio ilikuwa nchi pekee iliyo-msupport Habyarimana. Ukishindwa basi kubali tu kuwa Habyarimana had no problem with ANY COUNTRY. sio kama kagame ambaye sasa ana matatizo na SA, Tanzania, France, DRC etc.

Who cares what Mel B has to say? I repeat what is so strange about Pres Kagame owning a house in America. Mbona watu wengi tu wa modest means wana nyumba America. Ulitaka Ange akiwa America aje kuishi nyumbani kwako? I dont understand your obsession with these kids. For your information I follow Ange on twitter and I know more about her than you think. Both she and her brother are youngsters who just happen to have a President for a father, big deal. Ulitaka waishi maisha gani?

Nitajie nchi moja tu ya magharibi iliyoipinga NP South Africa? Unachoongea hakina mantiki. Eti kama hakuna sanctions and break in ties basi its not a pariah state. Wewe mpaka wazungu waweke vikwazo ndio unachukulia kama litmus test, aibu.
 
Rais wetu kaweka zake hadharani? Watoto wake wanaishi maisha gani? Kijana, kuwa mtoto wa Rais sio dhambi. Na haina maana upande daladala, itakuwa ni upumbavu. Watoto wa hero wako Habyarimana waliishi maisha gani? Wanaishi maisha gani leo hii pia? Manake msilete unafiki.

Dude, kagame ndio mjadala hapa, kagame, not kikwete, ukitaka kikwete then anzisha mjadala wako na utajibiwa vile vile. Au may be you are agreeing kwamba kagame is corrupt after all, na una-argue kwamba isiwe ishu kwa vile kikwete naye ni corrupt?
Swali liko pale pale inakuwaje WATOTO wa kagame ambao hata college hawajamaliza wanamiliki magari ya mamia ya mamilioni? na nimeshakuambia kuwa usiyeyushe kuwa ni ya serikali, haya magari si ya serikali, ni magari yao binafsi, a fleet of them! makazi yao ya kifahari pia ni binafsi sio state accomodation,... Ni kama vile unataka kusema mali za kina uday na Qusay hussein, kina islam gaddafi etc, zilikuwa ni state benefits ambazo wanakuwa entitled kama watoto wa rais! Ukitaka kusema hivyo pia no problem, utakuwa unathibitishia wana JF akili zako zikoje, na jinsi ilivyo raha kuwa mtoto wa rais wa one of the most poorest countries in the world.
Kinachokuumbua ni hiki: sijui kama unakumbuka kuwa kagame alijifanya kubana matumizi na kuondoa magari yote expensive serikalini. Hivyo magari haya mercedes C500 kwa mfano ya zaidi ya mil 200 haiwezekani ndio ikawa gari ambayo mtoto wa Rais huyo huyo anayebana matumizi akawa assigned! halafu since when na ni wapi umeona mtoto wa Rais anapewa gari ya serikali aendeshe mwenyewe? dude....:der:
 
Issue hapa ni huyu mpenda utukufu asionao KAGAME,usitutoe hapo,ikifika zamu ya hao wengine kina Uhuru,M7,KIKWETE na yule nani sijui wa burundi tutawachana live,ndio jf ilivyo,lakini leo tunamuangalia kagame inside out,jamaa kakuuliza tu kama unafahamu pesa za kufanya hizo anasa hao watoto wanazipata wapi hujajibu,uko busy kushut down questioning kwa kutumia ukabila,oooh hamtupendi watutsi n.k. lakini unasahau kwamba wakosoaji wa kagame sio unaodhani wahutu tu bali hata watutsi wenzake tena wasema kiingereza wenzake aliotoka nao uganda,wanamuona mwenzao kalewa madaraka kabadilika,haambiliki.

Rest in paradise mpiganaji wa uhuru wa kweli PATRIC KAREGEYA,Watutsi wenzio wapenda demokrasia na uhuru wanakulilia.



Kim K you need prayer my dear. You are too naive. Ungesoma posts zangu ungeona dhahiri kuwa mimi ni staunch supporter wa Rais Kagame against all those (hutu, tutsi, twa, mixed and other detractors) who wish him ill. Suala si u-hutu au u-tutsi wa adui wa Kagame. I keep telling people that the situation in Rwanda is more complex than the supposed tutsi vs hutu divide. Genocidaires come in all shapes and backgrounds. But then again I dont think you understand what I am talking about. I mean you call Karegeya mpiganaji wa uhuru, ha ha ha. Are you privy to the evils he, Kayumba and their band of hardline tutsi have done and were plotting to do in Rwanda? Trust me had it not been for Pres Kagame Rwanda would have been a bloodbath. His is the voice of reason and moderation that has kept that country together. I read comments from people here supporting Kayumba and Karegeya and I shake my head in utter disappointment. Hamuwajui hawa watu.
 
Last edited by a moderator:
hahahaa. nimekushika pabaya kweli, maana mwanzo umekataa, sasa umekubali. Nikithibitisha kuwa makazi yao ni ya millions of US dollars pia utakataa halafu nikiweka ushahidi utakubali halafu utaleta mada nyingine kama hivi sasa unavyoanza kuingiza marais wengine na mahawara zao....LOL.

Na zile ndege mbili za over $100million dollars pia anaweza ku-afford kupitia mshahara wake sio?

Huwezi kuthibitisha kwa kuwa ni majungu. Pia hizo ndege si za serikali ya Rwanda ni za kukodi kutoka kampuni binafsi. Usikopi habari za kina Nyamwasa na FDLR na Mtikila na kuleta hapa na kuziita facts. Huu ni umbea.
 
Who cares what Mel B has to say? I repeat what is so strange about Pres Kagame owning a house in America. Mbona watu wengi tu wa modest means wana nyumba America. Ulitaka Ange akiwa America aje kuishi nyumbani kwako? I dont understand your obsession with these kids. For your information I follow Ange on twitter and I know more about her than you think. Both she and her brother are youngsters who just happen to have a President for a father, big deal. Ulitaka waishi maisha gani?

Nitajie nchi moja tu ya magharibi iliyoipinga NP South Africa? Unachoongea hakina mantiki. Eti kama hakuna sanctions and break in ties basi its not a pariah state. Wewe mpaka wazungu waweke vikwazo ndio unachukulia kama litmus test, aibu.

1. kwa hiyo unataka kusema Mel B did not stay at the state house?

2. kwa nini nyinyi msomee Rwanda, halafu serikali imlipie Ange na Ivan (tofauti na mshahara wa baba yao, mind you) elimu nje ya nchi "for security reasons"? Angekuwa kagame anawasomesha kwa mshahara wake poa, nobody would say anything, why kupitia fungu maalum la kodi yenu? sio nyinyi mnaosema kila siku kuwa kagame huyo huyo kaleta stability and unity? why then is Rwanda not safe for his own kids?

3. unajitia aibu bure, mataifa ya kiafrika including Tanzania yote yaliitenga SA, isipokuwa labda malawi kama sikosei, hiyo peke yake ilitosha kuifanya SA kuwa pariah state, sio lazima mataifa ya magharibi. Nimeku-challenge wewe ulete taifa MOJA TU whether ulaya, africa, asia...kokote kule lililoitenga Rwanda kutokana na serikali ya Habyarimana, UMESHINDWA! There is no point arguing this further, kama ni hospitali ya vichaa wewe tungesema ni "gone case". Unashindwaje kuelewa hii?
 
Huwezi kuthibitisha kwa kuwa ni majungu. Pia hizo ndege si za serikali ya Rwanda ni za kukodi kutoka kampuni binafsi. Usikopi habari za kina Nyamwasa na FDLR na Mtikila na kuleta hapa na kuziita facts. Huu ni umbea.

1. hata nikithibitisha ni kazi bure tu kwako.
2. Umiliki wa ndege za kagame nimeshaulezea kwenye comments zilizopita, ziko chini ya makampuni hewa ambayo supposedly yanayomilikiwa na RPF, kumbe yanamilikiwa na kagame! ndio maana Rwanda hukodi ndege hizo hizo tu na sio nyingine, na hakuna tenda yoyote iliyotangazwa ambapo kampuni hiyo ilishinda (kinyume na mnavyojifanya mnajua transparency ya matumizi ya fedha za serikali). Na directors wake ni wale wale kina Hatari sekoko (a former personal driver), and other kagame henchmen.
 
1

2. kwa nini nyinyi msomee Rwanda, halafu serikali imlipie Ange na Ivan (tofauti na mshahara wa baba yao, mind you) elimu nje ya nchi "for security reasons"? Angekuwa kagame anawasomesha kwa mshahara wake poa, nobody would say anything, why kupitia fungu maalum la kodi yenu? sio nyinyi mnaosema kila siku kuwa kagame huyo huyo kaleta stability and unity? why then is Rwanda not safe for his own kids?

Je kuna mtoto gani wa kigogo africa asiyesoma nje?
Msiwe tu watu wa kubusu reporter wa kizungu kwa lolote waloandika......Nenda Rwanda uone maendeleo kwa wananchi mboan sijawahi ona hata reporter wa kizungu akimzungumza Dos Santos dictator wa Angola?

Sababu he is their puppet white ass kisser
 
1. kwa hiyo unataka kusema Mel B did not stay at the state house?

2. kwa nini nyinyi msomee Rwanda, halafu serikali imlipie Ange na Ivan (tofauti na mshahara wa baba yao, mind you) elimu nje ya nchi "for security reasons"? Angekuwa kagame anawasomesha kwa mshahara wake poa, nobody would say anything, why kupitia fungu maalum la kodi yenu? sio nyinyi mnaosema kila siku kuwa kagame huyo huyo kaleta stability and unity? why then is Rwanda not safe for his own kids?

3. unajitia aibu bure, mataifa ya kiafrika including Tanzania yote yaliitenga SA, isipokuwa labda malawi kama sikosei, hiyo peke yake ilitosha kuifanya SA kuwa pariah state, sio lazima mataifa ya magharibi. Nimeku-challenge wewe ulete taifa MOJA TU whether ulaya, africa, asia...kokote kule lililoitenga Rwanda kutokana na serikali ya Habyarimana, UMESHINDWA! There is no point arguing this further, kama ni hospitali ya vichaa wewe tungesema ni "gone case". Unashindwaje kuelewa hii?

1. Where Mel B or Mel C or Eminem stayed is trivial, I simply do not give a hoot. Hapa tuongelee mambo mazito yahusuyo nchi na sio urafiki wa watoto wa Kagame na watu wengine. Wana haki ya kuwa marafiki na mtu yeyote watakaye. Its none of our business

2. Nikuulize ni nchi gani watoto wa Rais wanasomeshwa kwa mshahara wa baba yao? Watoto wa Mugabe, Kikwete, Nkurunzinza, Museveni etc wanasomeshwa hawasomeshwi kwa kodi? Hata kama ni hivyo so what? Ulitaka wasome Mapambano? Au Ben Mkapa?

3. Habyarimana was a brute and everyone knows. I do not measure good governance based on international relations. That is just PR bulls.hit. Nimetoa mfano was apartheid South Africa umeshindwa kujibu. Hao wazungu unaowababaikia wote walikuwa na mahusiano na National Party ZA even when most of Africa did not recognize the regime. The gist being; pre 1994 life in Rwanda was to Tutsi and moderate civilized Hutu similar to the plight of the European Jewry in Nazi Europe; one of constant suffering, villification, segregation, persecution and murder. I draw parallels because in both cases people were subjected to discrimination on perceived differences. In the case of Rwanda - superficial ethnicity whereas in European supposed race. Both were man-made and wrong. There is no such thing as the Tutsi tribe or gene and neither is there such a thing as a "Jewish" race. Hakuna kitu kama hii. Ni roho za chuki tu kuwagawa na kuwaua watu. Soma Hutu manifesto and go read mein kampf uone ushetani unaofanana. I don't need to wait for you or some old European country to impose sanctions for me to call out on evil, nah nah.
 
1. hata nikithibitisha ni kazi bure tu kwako.
2. Umiliki wa ndege za kagame nimeshaulezea kwenye comments zilizopita, ziko chini ya makampuni hewa ambayo supposedly yanayomilikiwa na RPF, kumbe yanamilikiwa na kagame! ndio maana Rwanda hukodi ndege hizo hizo tu na sio nyingine, na hakuna tenda yoyote iliyotangazwa ambapo kampuni hiyo ilishinda (kinyume na mnavyojifanya mnajua transparency ya matumizi ya fedha za serikali). Na directors wake ni wale wale kina Hatari sekoko (a former personal driver), and other kagame henchmen.

Mwisho utakuja kusema Rwandair ni ya Kagame, he he he. Wana ndege brand new crewed by Rwandese youngsters. Kigali airport is being expanded to cater to millions of people. Maendeleo ni mengi sana Rwanda. Ila hamtaki kuongelea hayo. Kutwa kumsakama Rais Kagame tu.
 
Je kuna mtoto gani wa kigogo africa asiyesoma nje?
Msiwe tu watu wa kubusu reporter wa kizungu kwa lolote waloandika......Nenda Rwanda uone maendeleo kwa wananchi mboan sijawahi ona hata reporter wa kizungu akimzungumza Dos Santos dictator wa Angola?

Sababu he is their puppet white ass kisser

Fine, i get your point. Kagame is just like Dos santos, and ange is isabel, GOT YOU!
 
Mwisho utakuja kusema Rwandair ni ya Kagame, he he he. Wana ndege brand new crewed by Rwandese youngsters. Kigali airport is being expanded to cater to millions of people. Maendeleo ni mengi sana Rwanda. Ila hamtaki kuongelea hayo. Kutwa kumsakama Rais Kagame tu.

ushahidi wa hizi personal jet za kagame nimeuweka UMESHINDWA kuupinga, unaanzisha hoja nyingine tofauti unayodhani unaweza kunishinda.poa tu no problem..

"RwandAir has been loss-making for a number of years. Detailed accounts do not appear to have been published, with only a few public announcements from senior management or the government giving details of the scale of the operation"

source:http://en.wikipedia.org/wiki/Rwandair

Haya umeona ee? It seems your national airline ina exist only kwa ajili ya kuringishia wabongo na waburundi, tehe tehe...And guess who is paying for this..The rwandan tax payers. Mnalipia misifa ili mseme "look at us we have an airline, and TZ does not..." A big fat glossy loss making company. ahahaha.

Granted, ni jambo la kawaida kuendesha kampuni kwa loss, lakini si kawaida kuendesha kampuni bila kutoa taarifa kwa bunge juu ya mapato na projections za kampuni ya umma, i guess like that report i gave you said, akaunti zote zinasimamiwa na kagame personally kama kawaida, na hawajibiki kwa yoyote hata bunge!


..Haya tuhesabu viwanja basi. Nyie mnavyo vingapi na sisi tunavyo vingapi? ndege ngapi zinakuja Rwanda na ngapi zinakuja TZ....haya twende..
 
1. Where Mel B or Mel C or Eminem stayed is trivial, I simply do not give a hoot. Hapa tuongelee mambo mazito yahusuyo nchi na sio urafiki wa watoto wa Kagame na watu wengine. Wana haki ya kuwa marafiki na mtu yeyote watakaye. Its none of our business

2. Nikuulize ni nchi gani watoto wa Rais wanasomeshwa kwa mshahara wa baba yao? Watoto wa Mugabe, Kikwete, Nkurunzinza, Museveni etc wanasomeshwa hawasomeshwi kwa kodi? Hata kama ni hivyo so what? Ulitaka wasome Mapambano? Au Ben Mkapa?

3. Habyarimana was a brute and everyone knows. I do not measure good governance based on international relations. That is just PR bulls.hit. Nimetoa mfano was apartheid South Africa umeshindwa kujibu. Hao wazungu unaowababaikia wote walikuwa na mahusiano na National Party ZA even when most of Africa did not recognize the regime. The gist being; pre 1994 life in Rwanda was to Tutsi and moderate civilized Hutu similar to the plight of the European Jewry in Nazi Europe; one of constant suffering, villification, segregation, persecution and murder. I draw parallels because in both cases people were subjected to discrimination on perceived differences. In the case of Rwanda - superficial ethnicity whereas in European supposed race. Both were man-made and wrong. There is no such thing as the Tutsi tribe or gene and neither is there such a thing as a "Jewish" race. Hakuna kitu kama hii. Ni roho za chuki tu kuwagawa na kuwaua watu. Soma Hutu manifesto and go read mein kampf uone ushetani unaofanana. I don't need to wait for you or some old European country to impose sanctions for me to call out on evil, nah nah.

1. Mbona unayeyusha, kubali kwanza kuwa madogo wanakaa marekani, New york to be specific! hio ndio pointi ya kuwa-quote these celebrities.

2. Na nchi gani nimekuuliza watoto wa rais wanaendesha benz c500 ya serikali?

3. unaposema everyone knows unamaanisha nani? for the umpteenth time, mention just ONE nation that pointed the littlest finger at habyarimana for his supposed Brutality. Huo mfano wa apartheid, you have shot yourself, nilikugeuzia mwenyewe nikasema kuwa angalau nchi za kiafrika ziliitenga SA, na zingine kama israel na US zikasapoti utawala wa makaburu. Sasa na wewe lete nchi moja tu iliyoitenga Rwanda wakati wa Habyarimana.Nimeshindwa nini hapo? Huo msaada wa kijeshi waliopatiwa na France wangeweza kupatiwa na nchi yoyote ile rafiki including TZ. Ndio maana swali la pili nikikuuliza pia UNASHINDWA kujibu kuwa, unadhani kwa nini France alikuwa anawachukia watutsi, mpaka leo mumsingizie kahusika na genocide against you? what was France's motives? Rwanda haina madini yoyote ya maana, haina chochote kile of value to any western nation. What motives would france have to hate the tutsi so much?
Na kama there is no distinction between tutsis and Hutus, na kuwa mzungu ndio chanzo, then explain "genocide against tutsis":der:!!!!!!!!!
 
How can you discount the genocide against tutsi simply based on the fact that the perpetrators of that heinous crime pegged the whole event on supposed tribal differences? Would you say the same about the holocaust since there is no such thing as a jewish race? would you say that the holocaust never happened simply because there's not a jewish race? this is beyond ludacris.

The French held onto Rwanda and supported the military junta because of France's decades-long desire to maintain its grip(geopolitical) on former colonies and other francophone countries such as Rwanda and Burundi which were under the Belgians but spoke French because the Belgians felt Africans were unworthy of learning Flemish. France saw the Tutsi as a threat because they refused to suck up to the French like Habyarimana and his clique did or as your FDLR friends do up to now. France knew that free-thinking Rwandese (Hutu and Tutsi) would soon suss them out and shed off the French BS. In short, France wanted to keep tabs and were afraid of "losing" yet another Francophone country to English-speaking America. The French influence is no more. There is more to a country than just minerals. There is something called Pride.

Haya go google this and come back again. He he he.
 
As for Rwandair supposed loss-making, you never cease to amaze me. The airliner is only 12 years old. It now has four brand new Boeing 700 and 800 Next Generation and three Bombardier I recall. They go to over 15 destinations. Na ina wadada wazuri wa kinyarwanda wanahudumu kwa smiles na upendo. Je, ATC (twiga mnyonge) ina ndege ngapi? Lini mwaka wa mwisho kujiendesha kwa faida? Precision je inajiendesha kwa faida? Dude, kwenye mazuri ya jirani zetu tuwe tunajifunza na sio kuponda kila kitu kwa kuwa tu hamumpendi kiongozi wa nchi hiyo. u-FDLR ni mzigo sana.
 
ushahidi wa hizi personal jet za kagame nimeuweka UMESHINDWA kuupinga, unaanzisha hoja nyingine tofauti unayodhani unaweza kunishinda.poa tu no problem..

"RwandAir has been loss-making for a number of years. Detailed accounts do not appear to have been published, with only a few public announcements from senior management or the government giving details of the scale of the operation"

source:RwandAir - Wikipedia, the free encyclopedia

Haya umeona ee? It seems your national airline ina exist only kwa ajili ya kuringishia wabongo na waburundi, tehe tehe...And guess who is paying for this..The rwandan tax payers. Mnalipia misifa ili mseme "look at us we have an airline, and TZ does not..." A big fat glossy loss making company. ahahaha.

Granted, ni jambo la kawaida kuendesha kampuni kwa loss, lakini si kawaida kuendesha kampuni bila kutoa taarifa kwa bunge juu ya mapato na projections za kampuni ya umma, i guess like that report i gave you said, akaunti zote zinasimamiwa na kagame personally kama kawaida, na hawajibiki kwa yoyote hata bunge!


..Haya tuhesabu viwanja basi. Nyie mnavyo vingapi na sisi tunavyo vingapi? ndege ngapi zinakuja Rwanda na ngapi zinakuja TZ....haya twende..
Umeshindwa huna idea unachoongea umebaki na propaganda zako za kifala tuu,kanywe viroba usitupotezee muda
 
How can you discount the genocide against tutsi simply based on the fact that the perpetrators of that heinous crime pegged the whole event on supposed tribal differences? Would you say the same about the holocaust since there is no such thing as a jewish race? would you say that the holocaust never happened simply because there's not a jewish race? this is beyond ludacris.

The French held onto Rwanda and supported the military junta because of France's decades-long desire to maintain its grip(geopolitical) on former colonies and other francophone countries such as Rwanda and Burundi which were under the Belgians but spoke French because the Belgians felt Africans were unworthy of learning Flemish. France saw the Tutsi as a threat because they refused to suck up to the French like Habyarimana and his clique did or as your FDLR friends do up to now. France knew that free-thinking Rwandese (Hutu and Tutsi) would soon suss them out and shed off the French BS. In short, France wanted to keep tabs and were afraid of "losing" yet another Francophone country to English-speaking America. The French influence is no more. There is more to a country than just minerals. There is something called Pride.

Haya go google this and come back again. He he he.

google what? this nonsense? Hivi kati ya mhutu na royal tutsi nani ndie aliyekuwa close to the belgians? who sucked up to the belgians? was it not you royal tutsis? so basically it was you the tutsis that introduced the french language, mngetaka kuachana nacho mngeweza since then! Kwa nini watutsi hawakupinga hicho kifaransa wakati huo wakati walivyokuwa wafalme?
Hivyo logically, kama wafaransa kweli wangekuwa wanataka ku-preserve their language (a stupid argument in itself btw), ingekuwa karibu na nyinyi watutsi ambao tayari mna historia of "sucking up" to the white man, aliyewadanganya kuwa you were their some long-lost jewish cousins or some BS!
Burundi imekuwa ikiongozwa na jeshi la watutsi for all these years, na kumekuwa na mauaji ya wahutu kwa muda mrefu, about 4 Hutu presidents if i recall rights have been assasinated by tutsi-extremists, there was a globally acknowledged genocide against hutu in 93, but yet they speak french and still burundi bado ina uhusiano mzuri na the french. Now you my friend Google that!
 
As for Rwandair supposed loss-making, you never cease to amaze me. The airliner is only 12 years old. It now has four brand new Boeing 700 and 800 Next Generation and three Bombardier I recall. They go to over 15 destinations. Na ina wadada wazuri wa kinyarwanda wanahudumu kwa smiles na upendo. Je, ATC (twiga mnyonge) ina ndege ngapi? Lini mwaka wa mwisho kujiendesha kwa faida? Precision je inajiendesha kwa faida? Dude, kwenye mazuri ya jirani zetu tuwe tunajifunza na sio kuponda kila kitu kwa kuwa tu hamumpendi kiongozi wa nchi hiyo. u-FDLR ni mzigo sana.

what is there to suppose? Umezoea kuleta doubt kwenye facts zangu ingawa wewe huna counter-facts, unless una ushahidi kuwa Rwandair imewahi kupata faida, my facts remains factual.
Niliweka dondoo kuwa kuendesha biashara kwa hasara si lazima iwe na maana mbaya, lakini nikaonyesha doubt kuhusu mahesabu ya hii public company. kama kawaida yako unajifanya hii point hujaiona unarukia uzuri wa dada zako. kwa taarifa yako mimi shemeji yako kitambo sana, kuhusu hawa dada zako mimi nawajua kibliblia🙂. wewe jibu kwa nini Rwanda inajifanya haina corruption lakini public corporations kama hizi mahesabu yake hayatolewi hadharani. Who knows Rwandair assets, who knows its debts, who knows anything besides the number of planes and destination routes. sawa ATCL inasuasua lakini kila kitu chake, mahesabu yake, etc, yanajulikana kwa sababu ni shirika la umma. Ya Rwandair yako wapi?
 
Tumeshawazoea nyinyi ma-kagameists, mkijibiwa kwa facts huwa mnajichanganya wenyewe.

MFANO WA KWANZA:

Nilikupa swali:




This was you calling me a liar:


And this was me, complete with a source:


Nondo ikakuchanganya, ukaanza kulia:



MFANO WA PILI:

Nilikupa somo kwa nini ufaransa ilisaidiana na Rwanda:



Kama kawaida ukabisha bila sababu wala msingi:



Mimi nikakupa challenge ndogo tu:



Huyooo ukaanza kujichanganya, hata hujui ulikuwa unabisha nini na umekubali nini:



definition ya pariah state hiyo hapo chini, wewe lete ya kwako basi.
"A pariah state is a nation whose conduct is considered to be out of line with international norms of behavior by either the rest of the international community (such as the United Nations), or by some of its most powerful states. A pariah state may face International isolation, sanctions or even an invasion by nations who find its policies or actions unacceptable. "
source:Pariah state - Wikipedia, the free encyclopedia

Ungekuwa marekani ungeitwa "flip-flopper"🙂

cc:KIM KARDASH lowestein

Definately,he/she is a flip-flopper like Mitt Romney!
 
Rais wetu kaweka zake hadharani? Watoto wake wanaishi maisha gani? Kijana, kuwa mtoto wa Rais sio dhambi. Na haina maana upande daladala, itakuwa ni upumbavu. Watoto wa hero wako Habyarimana waliishi maisha gani? Wanaishi maisha gani leo hii pia? Manake msilete unafiki.

Lakini mzee hebu tusaidie na hili,inakuwaje mtoto au watoto wa rais wa nchi yenye "amani na usalama" wanasindikizwa na walinzi kama rais mwenyewe?mbona watoto wa rais wetu hawatembei wala kusindikizwa na walinzi,y watoto wa rais wa rwanda nchi yenye wanalindwa,huoni kama hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali?
 
Who cares what Mel B has to say? I repeat what is so strange about Pres Kagame owning a house in America. Mbona watu wengi tu wa modest means wana nyumba America. Ulitaka Ange akiwa America aje kuishi nyumbani kwako? I dont understand your obsession with these kids. For your information I follow Ange on twitter and I know more about her than you think. Both she and her brother are youngsters who just happen to have a President for a father, big deal. Ulitaka waishi maisha gani?

Nitajie nchi moja tu ya magharibi iliyoipinga NP South Africa? Unachoongea hakina mantiki. Eti kama hakuna sanctions and break in ties basi its not a pariah state. Wewe mpaka wazungu waweke vikwazo ndio unachukulia kama litmus test, aibu.

mmmmm! mmmmm! taratibu,mbona povu jingi,punguza munkari,ndio dawa inaingia ukisikia maumivu,ndio unapona hivyo,vumilia.Hebu twende taratibu kwanza,sasa umekubaliana na jamaa kwamba hao watoto wa kagame hawaishi kigali bali wanaishi NY au bado unaendelea na msimamo wako kwamba wanaishi kigali,achana na mambo ya kuwafollow on twitter,tumalize hili kwanza,wanaishi kigali ama NY?
 
Back
Top Bottom