RwandAir named among World's Safest Airlines

RwandAir named among World's Safest Airlines

Huelewi ninachoeleza. Nyie wanyarwanda jaribuni kutofautisha kati ya mtu na taifa. Kagame na Rwanda. Rwanda inahitaji mfumo au taasisi yenye nguvu au madhubuti Bali si mtu imara.... maana mtu atapita lkn nchi itabaki. Kagame atapita lkn Rwanda itabaki.

Hapa Tanzania kuna Taasisi imara??!! nitajie moja tu, mfumo hujengwa na watu mfumo wa kuwa na hizo Taasisi imara lazima uandaliwe kwa kuonyesha mfano kwanza, kwa rushwa hizi hapa Afrika usitegemee unaweza kujenga Taasisi imara bila kwanza kuwa na kiongozi imara ni vigumu, kwa kipindi cha nyerere kulikua na Taasisi gani imara, yeye alianza kama yeye na wenzie wakaijenga hii nchi kwa jsho na damu, mpaka hapa tulipo hata ile Mhimbiri ni nyerere kama sio yeye leo hii hatuna hosptali kubwa kama ile ndio ujue mtu pia ni mhimu..kwa Afrika bado sana kutegemea mfumo...
 
Hapa Tanzania kuna Taasisi imara??!! nitajie moja tu,

Serikali ni imara.Ndio maana kila baada ya miaka 10 Rais wa Tanzania hata awe mzuri kama Mungu IKIFIKA MIAKA 10 lazima aondoke kupisha mwingine na inaeleweka kwa kila mwananchi.Rwanda vipi Kagame ATAONDOKA Lini?
 
Serikali ni imara.Ndio maana kila baada ya miaka 10 Rais wa Tanzania hata awe mzuri kama Mungu IKIFIKA MIAKA 10 lazima aondoke kupisha mwingine na inaeleweka kwa kila mwananchi.Rwanda vipi Kagame ATAONDOKA Lini?

Kumbe shida yako ni Kagame aondoke, sasa haondoki kajinyonge!!
 
air tz iko kwenye mikakati
anaitwa tiga mnyonge,mnyongeni
...ila imeuawa na wana siasa
daima watawakumbuka capt.uriyo,shirima,mazula n.k....walidharaulika hapa lakini mambo waliyo shaur ndio yameinua mashirika mengi ya ndege afrika.
 
Kumbe shida yako ni Kagame aondoke, sasa haondoki kajinyonge!!

Serikali yoyote ambayo si imara maraisi wake huwa ving`ang`anizi kutoka na hata hulia lia kuongeza mida ya kutawala katika katiba.Huhitaji mtaalamu wa political Science kujua hilo.Serikali ya Rwanda Si iimara ndio maana wengine hata humu Jamii forums wanaogopa Sasa Kagame akiondoka itakuweje?

Ina maana toka ameshika nchi zaidi ya miaka 20 hajajenga mifumo imara endelevu na taasisi imara endelevu na hili nadhani hata yeye linamsumbua kuwa sasa akitoka itakuweje haamini serikali yake mwenyewe wala watu wake mwenyewe alio-wagroom kisiasa kuwa waweza shika uraisi!!!!

A greatest failure for any president in the world is his/her failure to groom and trust his/her successor!!!!

Kagame in grooming his successor HAS SCORED BIGGEST ZERO despite his success in other areas.
 
Vizur twend kwa hoja badala ya matusi

Chama kinamiliki 60perc

20perc ni waziri wa fedha

Unahisi siku wakigombana name presidaa what next
 
Ifike hatua Watanzania tuone maendeleo wanayopata ndg zetu na jirani zetu, tuwape pongezi na tuombe viongozi wetu waige mfano. Ni juzi tu Rwanda walikua kwenye civil war (Genocide) uchumi wao ukaporomoka kwa asilimia kubwa sana, lakini hivi sasa wana uvlchumi unaokua kwa kasi, hii ni kwa sababu wameweza ku identify key areas za resources walizonazo na kuzitumia vizuri. Hivi sasa kuna baadhi ya nchi pato lake kubwa linategemea usafiri wa anga, mfano Ethiopia, Holland, Germany, UAE, Malaysia na nyinginezo, vipi kuhusu Tanzania? Sisi ni nchi pekee East Africa tusiokua na kampuni ya ndege inayoeleweka, Kenya, Rwanda, Uganda, Rwanda na sasa hata Burundi wanaanza kuja kwa kasi. WE NEED TO CHANGE. Pongezi za dhati kwa Rwanda na Raisi wake Paul Kagame. Yeye ni mfano kwetu wengine.



Umenena mkuu.

Mie huwa nabishana sana na watu wanao jidai kuipenda sana Tanzania hata ikiwa kuna madudu ya aina gani.
Mie nawaona hawaitakii mema nchi yangu. Niko tayari kuikosoa inastahili na kuisifia inapostahili.

Miaka karibu 40 imepita, bado hatujaweza kuunda shirika lenye hadhi?? Wenzetu wakifanya, wako wanaojitokeza kuponda..... Kwa kweli hawaitendei haki nchi hii. Na ndio maana viongozi wanathubutu kufanya watakavyo. Wanajuwa wako mamburula hawata sema kitu.
 
We pimbi mashirika ya umma kote duniani yanakaguliwa na CAG na hesabu zake zinakuwa wazi, mfano ATCL, kenya Airways, SAA, ethiopian airlines etc. Rwandair ni mali ya kagame au Rwanda? Kwa nini hakuna statements zozote toka shirika lianzishwe and yet ni mali ya umma?

ni mali ya serikali!!! we kwani unataka nini? siku ukikubali kurudi kwenu hiyo hiyo ndege ndiyo utapanda, tena bure... mi nnashindwa kukuelewa kabisa, hivi wakati unapopanda ndege kwenda kwa mabasha zako France/Belgium kuomba misaada ya shirika lako la habari(anti Tutsi) unaanzaga kuomba financial statement halafu ndio upande? kama ni hasara au faida we unahusika kivipi? siku ukinunua share hata hautasubili kukumbusha wahusika watakufahamisha bila hata kuziomba pumbavu mkubwa
 
hivi kweli in your wildest of dream do you think rwanda gives a f@#k about your petty demands? wewe endelea kuiangalia ikipita hewani and keep on wishing igeuke iwe na nembo ya twiga. sada hivi hao wacongoman mnaowatetea ndo wamejazana hapa kanombe wanarudi makwao...Bila hii ndege sijui wangekuwa wanasafiri na nini

hivi wewe kwa akili yako its perfectly normal kwa kampuni ya umma kutoweka hadharani mahesabu yake? Sisi tunajua habari ya escrow kwa sababu bunge letu na CAG wana access na mahesabu ya Tanesco. Nyie mashirika yenu CAG ni kagame halafu hawajibiki kwa yoyote yule! Makampuni yake yanakopa hovyo RSSB mpaka anaifilisi, kabaki kubadili ma-CEO kila mwaka (4 in the past 4 years!).... Unaonyesha wazi kiwango chako cha kufikiri kipo namna gani.
 
Hao wafanyabiashara binafsi wanarahizishiwa usafiri kwa gharama ya nani? mlipa kodi maskini wa Rwanda? Ndio maana shirika la ndege la RWANDAIR ni lazima kupata mahesabu yake ndio tutajua kama sio SUCKING GIANT ya walipa kodi masikini wa Rwanda au la.

Porojo zingine za sijui IATA au nani kuwa ndege za Rwanda ni ndege bora zilizo salama sijui nini hizo ni poda tu kwenye uso wa ndege na hina kwenye vidole vya ndani ya ndege.Cha muhimu hilo shirika linazalisha faida au ni mlaji tu wa kodi za wananchi maskini wa Rwanda ili kuliendesha?

ila wewe una wivu tu,,, unachoking'ang'ania wewe,, c lengo la mada,, hata ukijua ndo itakuwa nini sasa,, na ukikuta wanafaidika???,, tatizo lako una akili ya kukariri mambo (akili za kibongo na maccm),, mnajua kuwa big things haziwezekani kufanyika,,, la msingi ni kuwapongeza kwanza rwanda,, halaf hayo mengine yatafuata,,, mim ninauhakika serikali yao ilishaliona hilo,,,
 
Kama ni break even analyisis au la usipate shida.Wewe tuwekee tu hizo audited published accounts za Rwandair hapa tokea Rwandair imeanza kama zipo na kama zilishawahi tolewa hadharani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Tutazifanyia kazi wenyewe.

Hizo break even analyisis Tanzania ni somo dogo tu linasomwa na wanafunzi wa sekondari wanaochukua somo la uchumi au hesabu na vyuo vikuu ni topic ndogo tu ya mwaka wa kwanza.Kujua Break even analyisis wala sio kitu cha kuita cha kisomi!!!!!!
kama hakuna raisi huyu aliyepo ni hawara yake wa mama yako ?

Ngonjera tu hizo Ndege zake anazotumia ni kati ya ndege zenye risky sana. Anadanganywa ili kichwa kikuwe kama boga!!!

Wewe vipi? Bila kuitaja Tz huwezi kuipaisha Rwanda? Who cares????

Hizo ndege toka zianze kusafiri angani zilishatengeneza faida au ni u-bishow tu wakati zinakula kodi ya wanyarwanda bure tu kwa kutafuta sifa za kuonekana wana ndege zinazoruka angani?

Mwenye published financial statements za Air RWANDA atuwekee
Haya ndo mawazo ya watanzania..... Tutachomoka kweli hapa tulipo? Tuna wivu wa wagumba.... Kila kukicha tunashindwa na bado tunawakashifu jirani zetu,,,,! Tunalo kweli watanzania!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Sasa wewe unaamini utatoka kwa ku admire wenzio???? Unaacha kufanya yako unashangaa wenzako...
hiyo inaitwa kutojiamini...


Haya ndo mawazo ya watanzania..... Tutachomoka kweli hapa tulipo? Tuna wivu wa wagumba.... Kila kukicha tunashindwa na bado tunawakashifu jirani zetu,,,,! Tunalo kweli watanzania!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Pato letu my azz,hivi wewe malori ya Azam na Riz yamekua yenu?huu umbumbu sijui utawaisha lini...

Na wewe Rwandair isiyochapisha mahesabu yake popote pale ni yenu au ya kagame?
 
Kama hayatuhusu kwa nini habari zenu za Rwandair mumezileta kwenye jukwaa la watanzania la JAMIIFORUMS huko kwenu Rwanda hamkuona forum ya kupeleka?
Ndugu unatuaibisha Watz wenzako. Hili ni Jukwaa la kimataifa.

Tuacheni majungu yasiyo msingi, kama wamefanya vema tuwapongeze na tujifunze. Na walipopungua tuwakosoe kwa wema.
Ligi hazina msaada. Ni upotevu wa muda
 
Serikali yoyote ambayo si imara maraisi wake huwa ving`ang`anizi kutoka na hata hulia lia kuongeza mida ya kutawala katika katiba.Huhitaji mtaalamu wa political Science kujua hilo.Serikali ya Rwanda Si iimara ndio maana wengine hata humu Jamii forums wanaogopa Sasa Kagame akiondoka itakuweje?

Ina maana toka ameshika nchi zaidi ya miaka 20 hajajenga mifumo imara endelevu na taasisi imara endelevu na hili nadhani hata yeye linamsumbua kuwa sasa akitoka itakuweje haamini serikali yake mwenyewe wala watu wake mwenyewe alio-wagroom kisiasa kuwa waweza shika uraisi!!!!

A greatest failure for any president in the world is his/her failure to groom and trust his/her successor!!!!

Kagame in grooming his successor HAS SCORED BIGGEST ZERO despite his success in other areas.

Mkuu ukiongea kitu hiki utatukanwa sana na baadhi ya watu ambao ni fundamentalists au wenye mawazo mafupi. I always say Kagame has done great job, but has Rwanda done a great job? NO, is there even a thing as Rwanda without PK, i read doubt. If Kagame goes today i can assure you the administration will be very loose. The nation is badly divided in ethnic lines, it is only PK who maintains those lines in a secured way....all depends on his personal connections. Without him, it is very hard to see Rwanda as we see it now.

He has not been able to build any strong institution, only few weak men who always kowtow to him.
 
Back
Top Bottom