murutongore
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 2,048
- 634
Hizo ndege toka zianze kusafiri angani zilishatengeneza faida au ni u-bishow tu wakati zinakula kodi ya wanyarwanda bure tu kwa kutafuta sifa za kuonekana wana ndege zinazoruka angani?
Mwenye published financial statements za Air RWANDA atuwekee hapa kabla ya kuvurumishia matusi Air Tanzania.
Akili ndogo...unajua maana ya break-even anaysis? Nyie hampendi kuumiza vichwa vyenu...nenda kajisomee halafu urudi hapa kwenye jukwaa la wasomi.