RwandAir named among World's Safest Airlines

RwandAir named among World's Safest Airlines

kIKWETE ASIFIWE KWA KUWATANDIKA M23 waliokuwa wakitumika kuiba madini kongo yaliyotumika kuanzisha RWANDAIR ambayo ilipewa jukumu la kusafirisha madini ya wizi ya kongo kupeleka nchi zingine kuyauza kwa maharamia wanunuzi wa madini na hela zake kuwekwa kwenye akaunti za viongozi wa Rwanda.

Na ndege zinazosafirisha tanzanite kutoka manyara mpaka INDIA, KENYA mpaka wanapata tuzo kama wauzaji wakubwa wa hayo madini ya Tanzanite ni Rwandair
 
Wabongo bana ni wivu sana sa wenzenu Rwanda wanapiga hatua nyie mmebaki kupiga kelele tu, hebu nielezeni Tanzania ina ndege:becky:
 
Wabongo bana ni wivu sana sa wenzenu Rwanda wanapiga hatua nyie mmebaki kupiga kelele tu, hebu nielezeni Tanzania ina ndege:becky:

Idadi ya waTanzania wengi humu JF ni haters, mijadala mingi inayoongelea progress ama something positive kutoka nchi nyingine EA, wanakuja wengi sana ku hate. Stop blocking everyone's shine if you cant shine yourself. I see the disillusion in most of Y'all folks, mmechoka kuitwa sleeping giant, kwa sababu mmekua sleeping giant from the early nineties. Mmechoka kuona wenzenyu wanapiga hatua wakati nyinyi mna marktime kila mara. Acha Rwanda a shine, wamefanya bidii kufika hapa. Nyie uzeni sura tu, hamna jipya.
 
Ifike hatua Watanzania tuone maendeleo wanayopata ndg zetu na jirani zetu, tuwape pongezi na tuombe viongozi wetu waige mfano. Ni juzi tu Rwanda walikua kwenye civil war (Genocide) uchumi wao ukaporomoka kwa asilimia kubwa sana, lakini hivi sasa wana uvlchumi unaokua kwa kasi, hii ni kwa sababu wameweza ku identify key areas za resources walizonazo na kuzitumia vizuri. Hivi sasa kuna baadhi ya nchi pato lake kubwa linategemea usafiri wa anga, mfano Ethiopia, Holland, Germany, UAE, Malaysia na nyinginezo, vipi kuhusu Tanzania? Sisi ni nchi pekee East Africa tusiokua na kampuni ya ndege inayoeleweka, Kenya, Rwanda, Uganda, Rwanda na sasa hata Burundi wanaanza kuja kwa kasi. WE NEED TO CHANGE. Pongezi za dhati kwa Rwanda na Raisi wake Paul Kagame. Yeye ni mfano kwetu wengine.
 
Ifike hatua Watanzania tuone maendeleo wanayopata ndg zetu na jirani zetu, tuwape pongezi na tuombe viongozi wetu waige mfano. Ni juzi tu Rwanda walikua kwenye civil war (Genocide) uchumi wao ukaporomoka kwa asilimia kubwa sana, lakini hivi sasa wana uvlchumi unaokua kwa kasi, hii ni kwa sababu wameweza ku identify key areas za resources walizonazo na kuzitumia vizuri. Hivi sasa kuna baadhi ya nchi pato lake kubwa linategemea usafiri wa anga, mfano Ethiopia, Holland, Germany, UAE, Malaysia na nyinginezo, vipi kuhusu Tanzania? Sisi ni nchi pekee East Africa tusiokua na kampuni ya ndege inayoeleweka, Kenya, Rwanda, Uganda, Rwanda na sasa hata Burundi wanaanza kuja kwa kasi. WE NEED TO CHANGE. Pongezi za dhati kwa Rwanda na Raisi wake Paul Kagame. Yeye ni mfano kwetu wengine.

Pato letu la usafirishaji, kwa ma-lory barabarani ni 20 times la Rwanda air na hawana hilo pato. "Fikiria nje ya box"
 
rwandair has been making loss since ilivyoanzwa ila ni right step in right direction, maana sie hapa bongo tuna abiria kibao lakin tunaleta mashirika ya nje kufanya biashara ya ndege cjui fast jet etc alafu tunashangilia kabisa jiran zetu hawawez kuruhus upuuz wa kuleta wazungu kufanya biashara kama hii inasikitisha hata malawi sasa wana ndege zao cjui sie tumelogwa na nani!!!
 
rwandair has been making loss since ilivyoanzwa ila ni right step in right direction, maana sie hapa bongo tuna abiria kibao lakin tunaleta mashirika ya nje kufanya biashara ya ndege cjui fast jet etc alafu tunashangilia kabisa jiran zetu hawawez kuruhus upuuz wa kuleta wazungu kufanya biashara kama hii inasikitisha hata malawi sasa wana ndege zao cjui sie tumelogwa na nani!!!
dogo hizo ni akili zilizo pitwa na wakati hakuna nchi ikanzisha shirika la ndege bila kula hasara, lazima ufahamu sababu ya kula hasara ni sababu ya kununua ndege mpya. FYI Rwandair will double its fleet in the next five years na kwa speed wanayo kwenda nadhani by 2020 hakuna Airline za east and west africa watawafikia:becky:
 
Ndugu Wapendwa
Labda kabla ya kuongelea oohh atcl ooh rwandair tujiulize nini maana ya word safest airline
Kuanzia hapa tunaanza kuuliza sasa fin statement nk...
Any airline ilioko na IOSA CERTFICATE is among world safest airline in the world

Tujiulize je ATCL INA IOSA CERTFICATE🙂
JIBU NI NDIO.......UNAWEZA KU GOOGLE NA KUPATA HILI

WHAT IS iosa
 
NduguISapendwa
Labda kabla ya kuongelea oohh atcl ooh rwandair tujiulize nini maana ya word safest airline
Kuanzia hapa tunaanza kuuliza sasa fin statement nk...
Any airline ilioko na IOSA CERTFICATE is among world safest airline in the world

Tujiulize je ATCL INA IOSA CERTFICATE🙂
JIBU NI NDIO.......UNAWEZA KU GOOGLE NA KUPATA HILI

WHAT IS
 
Financial statement needed

Nisichoelewa kwa nini watu wako obsessed na Tz kuwa na ndege?
Nchi nyingi za Afrika haya mashirika ni headache...full loss...
Sasa tuwe na ndege for what purpose? Prestige....tuna ela ya kufikia kufanya investment ya matanuzi tu, sijui kusafisha jina?

To hell...as long as nikitaka kusafiri sijawai kosa ndege ...wala sina tatizo Tz kutokuwa na ndege...govt should not do business sababu hawawezi...BA yenyewe imekuwa ina make loss tu ...sisi ndio tutaweza...
 
Iosa
iatal operation safety audit
so kama ni swala la safety atcl is among them longtym'''safety alihusiani na idadi ya ndege za shirika kwa hapo sasa tuanze kujiuliza kwa nini tuna moja wao wanaaam saba

nahisi ni swala la administration na serikali kujipanga ,,...,,,,bado tuweke imani na ndege zetu ipo siku mabadilikoyatakuja
 
Ndugu Wapendwa
Labda kabla ya kuongelea oohh atcl ooh rwandair tujiulize nini maana ya word safest airline
Kuanzia hapa tunaanza kuuliza sasa fin statement nk...
Any airline ilioko na IOSA CERTFICATE is among world safest airline in the world

Tujiulize je ATCL INA IOSA CERTFICATE🙂
JIBU NI NDIO.......UNAWEZA KU GOOGLE NA KUPATA HILI

WHAT IS iosa


ATCL ni mwanachama rasmi wa IATA. Hivyo automatically ni wanachama wa IOSA, haimaanishi wamekuwa audited na kupata cheti cha audit.

Tukisema audited, sio kama accountants, la hasha! Makampuni ya ndege yanakuwa audited kwa mwenendo wa utekelezaji kazi zake idara zote muhimu. Ufundi, Urubani, na hasa upande wa commercial na ticketing. Kampuni ikipasi inapatiwa IOSA AUDITED Certificate..... Hiyo ndio muhimu....

ATCL haina!!

Sijui kama Rwandair inayo Ukiangalia kuwa wana vifaa vipya (new aircraft) na utekelezaji unao eleweka, si ajabu wakawa nayo.
 
Iosa
international org safety association
QUOTE]

Pdidy... Usidanganye watu, acronym ya IOSA maana yake ni:-
IATA Operational Safety Audit.

Kimsingi, inamaanisha shirika linafuata mienendo na utekelezaji shughuli zake kwa vigezo vinavyo wekwa na kusimamiwa na IATA.
( International Air Transport Association)
 
Mkuu naomba niwe kidogo mbali na usemi wako
iosa certificate ina exp na huwa wana renew na katika kurenew all factors ulizosema zinakuwa included wanapojiridhisha wanapewa iosa cert again

kukusaidia tu kwa hili nenda tcaa ulizia kama wanayo ama lah

ni majuzi tu wametoka kuwa audited na wamepewan
 
Iosa
international org safety association
QUOTE]

Pdidy... Usidanganye watu, acronym ya IOSA maana yake ni:-
IATA Operational Safety Audit.

Kimsingi, inamaanisha shirika linafuata mienendo na utekelezaji shughuli zake kwa vigezo vinavyo wekwa na kusimamiwa na IATA.
( International Air Transport Association)


NA ATCL NI MOJAWAPO MKUU
 
Hivi sasa kuna baadhi ya nchi pato lake kubwa linategemea usafiri wa anga, mfano Ethiopia, Holland, Germany, UAE, Malaysia na nyinginezo, vipi kuhusu Tanzania? .

Faida wanazopata mashirika ya ndege ya kimataifa ni connection waliyonayo na makampuni ya watalii yaliyoko katika nchi hizo na mahoteli ya kitalii ya wawekezaji wao yaliyoko kwenye nchi watalii waendeko.Hayo makampuni ya utalii na mahoteli huingia tenda na mashirika ya ndege kusafirisha mamilioni ya watalii toka nchi zao kwenda nchi nyingine kwenye vivutio vya utalii.

Na mara nyingi watalii hasa wa kizungu,kiasia na kiarabu ndege wanazopenda kusafiri nazo ni zile za kwenye nchi zao.Ndizo wanaamini ndio nzuri na pia ni kama sehemu ya uzalendo wao.Ukipeleka za kwako utapanda mwenyewe na watu weusi wenzio.

Sasa kama nchi una vivutio vya kutosha kama Tanzania unachofanya ni kualika mashirika ya ndege toka nchi zenye watalii wengi na wawekezaji wa mahoteli toka nchi hizo walete watu wao.Huna sababu ya kupeleka kindege chako kule.Utaishia kula hasara tu sababu pamoja na kuwa na vivutio lakini ikifika kwenye kupanda ndege kuja kwako ya kwako hata uweke bei rahisi vipi hawapandi watapanda za kwao.

Issue si kuwa na ma-ndege mengi yaliyoandikwa jina lako kwa wino wa dhahabu yanayozurura tu angani yasiyoingiza faida kazi yake ikiwa kula tu hela za walipa kodi.
 
Rwandair is not a listed company you dimwi...onyesha na wewe za hiyo kampuni yako uliyoenda kufunga ofisi kigali ukakosa soko hence your hatred towards rwandese.

We pimbi mashirika ya umma kote duniani yanakaguliwa na CAG na hesabu zake zinakuwa wazi, mfano ATCL, kenya Airways, SAA, ethiopian airlines etc. Rwandair ni mali ya kagame au Rwanda? Kwa nini hakuna statements zozote toka shirika lianzishwe and yet ni mali ya umma?
 
We pimbi mashirika ya umma kote duniani yanakaguliwa na CAG na hesabu zake zinakuwa wazi, mfano ATCL, kenya Airways, SAA, ethiopian airlines etc. Rwandair ni mali ya kagame au Rwanda? Kwa nini hakuna statements zozote toka shirika lianzishwe and yet ni mali ya umma?

Uko sahii mkuu.GOOD GOVERNANCE ni pamoja na hii hoja ya uwazi kwenye mahesabu ya mashirika ya umma likiwemo RWANDAIR.Umma wa wanyarwanda ujue.Na Wabunge wajue RWANDAIR mahesabu yake yakoje? Watu wasilete za kuleta za ohhh RWANDAIR IS THE MOST BEUTIFUL AIRLINE IN AFRICA AND IN THE WORLD SO WHAT!!! Waache porojo watoe Audited financial statements za Toka RWANDAIR ianzishwe.
 
Back
Top Bottom