Mashushushu Walikuwepo Miaka Ya 60,70,80 Na Wakaishia Mwaka Wa 90 Hapo na Tangia Hapo hadi Leo Huna Effective Intelligence Agency Zaidi Tu Ya Kupeana Ajira Za Vimemo, Kujuana na Pasipo na Hata Vetting Kwa Mlengwa na Kikubwa Zaidi Vijana Wenu Wa Siku Hizi Wa TISS Wamejaa Misifa, Ushamba Na Hawana hata Maadili Ya Kikazi. Nimezaliwa Humo, Nimekulia Humo na Napajua Kindaki Ndaki Na Wanapokosea tu Ni ktk Suala Zima La Maadili. Ukiachilia Mbali PSU na Kidogo Watu wa Operation Hawa Ndiyo Wana Fanya Kazi Kwa Ueledi Wao na Nawasifu ila Wale Wa Mtaa Wa MKULIMA Makaburini Kino Clain Alipozikiwa Kanumba Ndiyo Bure Kabisa Na Kazi Yao Ni Kujisifia, Kulewa Hovyo na Kubadilisha Magari Kiufahari na Msiojua Ndiyo ktk Ofisi au Idara Hiyo Hiyo PK Anapata Data Zote Nyeti Za Tz. NAMALIZIA TU Kusema Kama Jeshi La Polisi tu Pekee Wamegundulika Askari Zaidi Ya 200 Waliofoji Credentials Zao Hivi Unadhani Huko TISS, JWTZ na Hata PCCB Uozo Huu Haupo? Je ktk Hali Kama Hii Kuna Usalama Hapo? Tuna Uhakika Gani Hao Wanaoingia Na Vyeti Vya Kughushi Siyo Spies Wa Nchi Adui Zetu? Kunahitajika Reform Ya Hali Ya Juu Sana ktk Majeshi Yetu Ya Ulinzi na Usalama Otherwise Nijuavyo Ni Kwamba Tuko UCHI Mno Mbele Ya Rwanda Na Uganda Kiusalama.