Rwanda yamkataa Balozi wa Tanzania

Rwanda yamkataa Balozi wa Tanzania

"The fear of public speaking is greater than the death for most people" Watanzania tunakurupuka kwa kutishwa na mambo madogo na wanaowatisha ni wale mliowaamini kama viongozi ili waendelee kuwatala kifikra.
 
Mashushushu Walikuwepo Miaka Ya 60,70,80 Na Wakaishia Mwaka Wa 90 Hapo na Tangia Hapo hadi Leo Huna Effective Intelligence Agency Zaidi Tu Ya Kupeana Ajira Za Vimemo, Kujuana na Pasipo na Hata Vetting Kwa Mlengwa na Kikubwa Zaidi Vijana Wenu Wa Siku Hizi Wa TISS Wamejaa Misifa, Ushamba Na Hawana hata Maadili Ya Kikazi. Nimezaliwa Humo, Nimekulia Humo na Napajua Kindaki Ndaki Na Wanapokosea tu Ni ktk Suala Zima La Maadili. Ukiachilia Mbali PSU na Kidogo Watu wa Operation Hawa Ndiyo Wana Fanya Kazi Kwa Ueledi Wao na Nawasifu ila Wale Wa Mtaa Wa MKULIMA Makaburini Kino Clain Alipozikiwa Kanumba Ndiyo Bure Kabisa Na Kazi Yao Ni Kujisifia, Kulewa Hovyo na Kubadilisha Magari Kiufahari na Msiojua Ndiyo ktk Ofisi au Idara Hiyo Hiyo PK Anapata Data Zote Nyeti Za Tz. NAMALIZIA TU Kusema Kama Jeshi La Polisi tu Pekee Wamegundulika Askari Zaidi Ya 200 Waliofoji Credentials Zao Hivi Unadhani Huko TISS, JWTZ na Hata PCCB Uozo Huu Haupo? Je ktk Hali Kama Hii Kuna Usalama Hapo? Tuna Uhakika Gani Hao Wanaoingia Na Vyeti Vya Kughushi Siyo Spies Wa Nchi Adui Zetu? Kunahitajika Reform Ya Hali Ya Juu Sana ktk Majeshi Yetu Ya Ulinzi na Usalama Otherwise Nijuavyo Ni Kwamba Tuko UCHI Mno Mbele Ya Rwanda Na Uganda Kiusalama.

Wewe kama sio mtanzaania unafanya nini Tanzania? Unajisikia fahari kusifu nchi za watu na kukandia ya kwenu? Wewe ndio wale watu ambao anaweza kumtusi na kumkana baba yake kwasababu ya pesa au mali.
Unajua nimekusoma nimegundua hakuna unalolijua zaidi ya story za mitaani. Kwanza hakuna mtu anataka vita na rwanda wala kufikiri vita. Swala la kukataa balozi ni sheria na ni haki yao rwanda. Kingine nakushauri usiongee kama hujui unachoongea. Usijifanye wewe ndio unajua nje ndani ya usalama wa Tanzania . Africa nzima inatujua tuko vipi na bado naamini hujui lolote kuhusu usalama so naomba ukae kmya. Badala ya kuhubiri chuki,eneza amani kwa watu nchi hizi mbili.otherwise naweza kukuita -------- badala ya mjinga.


The king.
 
Tanzania tuna mashushushu wengi. Si ateuliwe mwengine tu kimyakimya aende akalinde maslahi yetu?

Tena itakua bora sana kama jk ata niteua mimi Chinga One nikawe balozi wa rwanda hope that slim boy kagame atanikubali tu.
 
Last edited by a moderator:
A very poor judgement my brother! A spy who has raised to such a high position should not be a threat to the country. An ambassador, in this case, can't be feared just because his background has a connection with intelligence services. How many ministers and other high ranked officials have such connections being Tanzanians or Rwandese and are openly known by the systems of the two countries. Where on earth you can find an embassy which has no intelligence officers among its staff? This is a poor and uninformed intelligence entity which influenced such a decision. He is an ambassador not informer! Come on guys.

Penye ukweli tuseme tuache ushabiki....! Hivi kweli Kagame na kagenge chake cha wahuni unafikiri kweli angejisikiaje kuona yule mzee yuko pale sebuleni kwake....? Muuza gongo hawezi kumpangisha nyumbani kwake askari.....either biashara itakufa au askari ageuke mnywa piwa. Kweli jamaa anaona trojan horse analetwa sebuleni aache kutapatapa? Ni dhahiri Kagame anajua umakini wa yule mzee na kupelekwa kwake Kigali alijua maana yake ni nini......!
 
Halafu bado mnashauri kuharakishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki inayojumuisha Rwanda. Ningekuwa Rais wa TZ ningefunga ubalozi wa TZ kule Rwanda.
Hamna haja ya kumlipizia kisasi huyu mwehu!..dawa ni kutopeleka Balozi mwingine, abakie Francis akikaimu hiyo nafasi. Wakitaka wao ndio wamrudishe rwanda balozi wao hapa nchini...this man (PaKa) is i.d.i.o.t....
 
Yaani wewe uliona kuna silaha za kutisha mtu pale? Labda kama kuna zingine zilizofichwa lakini kama ni zile tu ni bora tuufyate!!




nakumbuka kagame hakuwepo kwenye sherehe za muungano, alituma mwakilishi, naamini mwakilishi hakumpa boss wake mrejesho wa alichokiona pale uwanjani...i mean maonyesho ya silaha zetu[/QUOTE

Hivi unaziamini products za Mchina?Pole!!!!

Kama unafikiri bidhaa za kichina ni feki simama mbele ya bunduki ya kichina
 
nakumbuka kagame hakuwepo kwenye sherehe za muungano, alituma mwakilishi, naamini mwakilishi hakumpa boss wake mrejesho wa alichokiona pale uwanjani...i mean maonyesho ya silaha zetu

Kwani kulikuwa na nini cha ajabu?. Kuna watu hamfuatilii mambo ya kijeshi. Mulipoona magari makubwa mukadhani ni siraha kali sana! Hatuna chochote bwana! Sisi bado ni watu wa vita ya kusonga mbele kwa miguu tu. Helikopta zenyewe ndo hizo zinaanguka na makamu wa Rais.
 
Cku zote nina wasiwasi na uzalendo wako kama sio uraia wako kabisa,unawezaje kum-praise adui wa nchi yako to that extent? Yaani cjui nisemeje ila in short umenikera sana mimi kama Mzalendo wa nchi hii..! Shame on you...njo nakusubiri

hata kagame ana watu wake jamiiforum wametumwa ili kuwafrustrate watu kwa kauli kama za huyu jamaa mi nishamstukia sio mbongo huyu ila kwa taarifa yako tushakujua
 
Penye ukweli tuseme tuache ushabiki....! Hivi kweli Kagame na kagenge chake cha wahuni unafikiri kweli angejisikiaje kuona yule mzee yuko pale sebuleni kwake....? Muuza gongo hawezi kumpangisha nyumbani kwake askari.....either biashara itakufa au askari ageuke mnywa piwa. Kweli jamaa anaona trojan horse analetwa sebuleni aache kutapatapa? Ni dhahiri Kagame anajua umakini wa yule mzee na kupelekwa kwake Kigali alijua maana yake ni nini......!

....yaani nimecheka sana na hiyo statement.......ingekuwa vizuri sana kama wangemkubali tu.........na wao wamfuatilie....wakusanye taarifa za activities zake (with caution ofcourse)......halafu wamuumbue/wamchukulie hatua za kisheria....na kumrudisha....otherwise kama ni kweli Wa-Rwanda wamesema hivyo...watakuwa wanatapatapa......na basi bado ni wachanga sana......hilo linaitwa kosa la kiufundi kwa Rwanda kwenye ujasusi......

.....ni sawa sawa na wakati ule Nigeria wangemkataa Balozi Sarakikya......si mnakumbuka ile shughuli ya Biafra!.....au Hayati Major Gen Makame Rashid na timu yake kule Malawi........Balozi hawezi kwenda low kiasi kinachohofiwa na nchi husika......
 
Nilishasema na nitaendelea kusema tena; Serikali iwe makini na "waTanzania" wenye asili ya kitutsi ambao wamewahi kushika au wanashikilia nafasi muhimu katika nchi yetu; wapo ambao kwa sasa ni Wabunge katika Bunge la Muungano; wengine walishawahi kuwa Makatibu Wakuu wa baadhi ya Wizara hapa nchini; wengine washawahi kuwa wanajeshi wa vyeo vya juu katika JWTZ...nk. Kwa hiyo ni wakati wa kuwaangalia sana hawa watu; wengine wanajifanya wako karibu sana na Mh Rais wakati huo huo wanamtukana wakiwa majumbani kwao (nimewahi kumsikia Mbunge mmoja wa chama tawala akimtukana Mh Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wake)... Hawa watu ndio wanaotoa habari huko Kigali almost everyday, kwa hiyo si ajabu PaKa anaijua hii nchi nje - ndani!...wake Tanzania, let's not be naive...
 
....yaani nimecheka sana na hiyo statement.......ingekuwa vizuri sana kama wangemkubali tu.........na wao wamfuatilie....wakusanye taarifa za activities zake (with caution ofcourse)......halafu wamuumbue/wamchukulie hatua za kisheria....na kumrudisha....otherwise kama ni kweli Wa-Rwanda wamesema hivyo...watakuwa wanatapatapa......na basi bado ni wachanga sana......hilo linaitwa kosa la kiufundi kwa Rwanda kwenye ujasusi......

.....ni sawa sawa na wakati ule Nigeria wangemkataa Balozi Sarakikya......si mnakumbuka ile shughuli ya Biafra!.....au Hayati Major Gen Makame Rashid na timu yake kule Malawi........Balozi hawezi kwenda low kiasi kinachohofiwa na nchi husika......

Mkuu nimesema awali kuwa kwenye ukweli tuseme......! Huyo mzee wa watu sio mchezo.....usidhani Rwanda wamejibaraguza tu kukataa bali wanajua maana yake. Wale vibaraka wote waliokimbia 'mjengoni' kuwahi madaraka Rwanda wanamtambua Mzee Siwa.......! Naimaini hata JK alijua watamkataa.....ili Mzee atulie nyumbani bali ashughulikie 'file la Rwanda' akiwa hapa hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom