Rwanda yamkataa Balozi wa Tanzania

Rwanda yamkataa Balozi wa Tanzania

....yaani nimecheka sana na hiyo statement.......ingekuwa vizuri sana kama wangemkubali tu.........na wao wamfuatilie....wakusanye taarifa za activities zake (with caution ofcourse)......halafu wamuumbue/wamchukulie hatua za kisheria....na kumrudisha....otherwise kama ni kweli Wa-Rwanda wamesema hivyo...watakuwa wanatapatapa......na basi bado ni wachanga sana......hilo linaitwa kosa la kiufundi kwa Rwanda kwenye ujasusi......

.....ni sawa sawa na wakati ule Nigeria wangemkataa Balozi Sarakikya......si mnakumbuka ile shughuli ya Biafra!.....au Hayati Major Gen Makame Rashid na timu yake kule Malawi........Balozi hawezi kwenda low kiasi kinachohofiwa na nchi husika......

nigeria kamwe huwezi kuifananisha na rwanda ya kagame sasa ni sawa naa mfa maji!
 
duh hayo makombora mawili yaliyopo chini hapo yakitua si htari tupu

watusi kwa kujitekenya na kucheka wenyewe hamjambo! MWANAUME NI VITENDO NA watanzania kwa hili sisi ni mfano wa kuigwa katika ukanda huu, afrika na dunia nzima!
 
Rwanda haijakataa ubalozi na Tanzania, imemkataa mtu binafsi kwa ajili ya sababu walizozitoa na ina uhuru wa kufanya hivyo. Tatizo lenu Wabongo ni kulalamikia kila jambo hata la kimsingi.
CC: kadoda11 Geza Ulole Bulldog

kumkataa balozi eti kwa sbb ya kuhisi ni jasusi, huo uoga tu. Kwani hao staffs wengine wanauhakika gani sio majasusi au huyo mwingine atakeletwa wanauhakika gani hatokuwa jasusi! Mbona kawaida sana duniani kwa wanadiplomasia kuwa majasusi!
 
Last edited by a moderator:
tatizo cc watz ni wazembe sana hasa prezd wetu anachekacheka tu

kweli watanzania ni wazembe na tunajichekesha sana ndiyo maana tukaweza kuwatoa rwanda millitary wing ya m 23 kule goma kwa kichapo cha mbwa mwizi sokoni
 
tatizo cc watz ni wazembe sana hasa prezd wetu anachekacheka tu

huyo huyo huku anacheka anaetua mtu ambae huyo asiyecheka anaogopa! How do u make of it? MAHORO
 
Last edited by a moderator:
Wanajishtukia tu hao, walifikiria Kikwete laini kumbe ndivyo sivyo.Walitaka kusambaza propaganda zao humu ndani walishindwa mpaka wakataka kuingiza CDM ikawa hola zaidi ya WaTz wote tukawa pamoja.Rwanda hawapo pamoja na hilo bwana PaKa analielewa hilo maana anaijua Tz kupitia vita vyao msituni akiwa chini ya Mzee Museveni huko Uganda.Lazima ajiandae kisaikolojia maana kuna wahutu ambao wengi wao wanaishi kiuwogawoga baada ya wenzao wengi kuwekwa gerezani kwa makosa ya kubambikiziwa.
 
Akili zako nyingi na za kiusalama. Kama ningekuwa nahusika na ku-recruit wa-TISS, hakika ningeku-pm nikupe kazi mara moja.

Nashukuru Mkuu na Usijali...........................Tupo Pamoja!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
huyo huyo huku anacheka anaetua mtu ambae huyo asiyecheka anaogopa! How do u make of it? MAHORO

HAOGOPI ANAMVUTIA KASI TU, WEWE UTAONA TU,

  • A%20S%20angel.gif

 
Very true!.....something need to be done......tena haraka....ni hatari sana kukuta umetekwa bila kujijua.......vimemo vinatumaliza sana........

Ubarikiwe Sana Mkuu Kwa Kunielewa.
 
Zile siraha zote kwa sasa hakuna kiwanda hata kimoja kinacho unda, Uganda wana Ndege bora kabisa kutuzidi


uganda wana hii SU-30 kutoka Urusi,
Nyie mwazungumzia silaha huku ndugu zenu wakiteseka na ujinga, maradhi na umaskini. Shauri yenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom