Nina wasiwasi huyu anaweza kuwa murutongore au Balali.
Mkirua kaka mimi ni ndugu yako tena matanzania halisi, tunatofautina mitazamo tu.
Wakati wengine wanadhani vita ndiyo suluhisho, sisi wengine hatupendi kabisa kusikia neno vita.
Vita si lelemama wala mchezo, vita hupiganwa pale tu kunapokuwa na ulazima na kila njia kuiepusha imeshindikana
Njia sahihi ya kutatua matatizo yawe ya ndani au nje ya nchi ni majadiliano.
Last edited by a moderator: