Rwanda inarusha Satelaiti ya Kijeshi. Je, Tuko Salama?

Kagame kama vile Mobutu na Wahuni Wengine Nature too will take control one day!! Atoishi Milele.Ipo Siku Rwanda itaamka na kukuta Mungu ameshafanya yake na Kazi ya Kalima haiingiliwi atakalo Mola....
Kwahio ameshindikana kung'olewa mpk wasubiri afe sio?
 
Hizi Technologies ni kama additional Stuffs wakati wa maankuli yaani kama pilipili, chumvi au chachandu azitomsaidia kuleta faida ya maana nchini kwake.Awezi mzidi Tanzania kwa lolote kwani Akuna kunachoingia Rwanda kwa bahari bila kupitia TZ
Ulidanganywa na Nani?Dude la C-130 siku hizi ndio linatumika kubebea zana zao, wanatumia la mshirika wao Jeshi la Qatar.Hata kupeleka vifaa vya kijeshi Mozambique kutokea Rwanda walitumia dude Hilo Hilo.Bandarini labda wapitishe zana za kawaida tu ambazo nchi zote tu zinajulikana kua nazo.
 
Viongozi wetu wangefanya kila jitihada kuyafanya haya wanayoyafanya Rwanda maana usalama wetu utakuwa mashakani hawa jirani zetu wakiwa na hii teknolojia
Hao Rwanda wanahatarisha usalama wetu, tuwafanyie kama Urusi alichofanya kwa Ukraine
 
"Umoja" upi mjomba?

Viongozi wetu wanatakiwa kuacha kuwaza mambo madogo kama kuzuia wapinzani wasifanye shughuli zao za kisiasa kinyume cha sheria.

Badala yake wajikite kwenye kuendeleza taifa letu kiteknolojia, wajue namna ya kufanya counter attack za hizo attempt za huyo jamaa.

Hatuwezi kukaa tu tumelala halafu tunamuona jirani "much know" anafanya mambo yake, huku sisi tunajiliwaza na nyimbo zetu za "Umoja"

Ninaamini, hiyo rocket moja wapo ya kazi yake ni kuangalia usalama wa Rwanda dhidi ya majirani zake, itatuchungulia hiyo.
Kagame ni Putin wa Africa ni mtu hatari sn
 
Rwanda to launch satellite constellation by end of 2023

Rwanda will join the list of African countries that have successfully orbited satellites, including Algeria, Ethiopia, Kenya, Zimbabwe, South Africa, Morocco, Egypt, Ghana and Nigeria.


Rwandan Minister of ICT and Innovations Paula Ingabire has announced that the country will be conducting a beta launch for the Cinnamon-217 and Cinnamon-937 satellite constellation.

In October 2021, Rwanda Space Agency filed a request to acquire these satellites, but the Minister noted that the number had increased to seven satellites. According to her, the full satellite launch should be by the end of 2023.

Rwanda is in talks with a number of countries to assist in the development of its space capabilities, in the hopes of securing accords that will support the countrys Information and Communication Technology (ICT) objectives.

The countrys space ambitions have attracted interest from countries such as Japan, Israel, and the United Arab Emirates, the Minister of ICT and Innovations told The New Times.

The proposed mid to long-term partnerships with these countries, she said, range from the use of geospatial data to the design and manufacturing of satellites. For example, Rwanda and Israel signed an agreement in 2020, effectively laying the grounds for pursuing this cooperation.

In 2019, Rwanda and Japan teamed up to build the first cube satellite (RwaSat-1), which was launched from Japans Tanegashima Space Centre and deployed to the Low Earth Orbit (LEO) from the International Space Station.

Under the partnership with Japan, Ingabire disclosed that 20 Rwandans are currently undergoing training in designing and producing minisatellites.

Rwanda recently approved the law establishing its space agency as the Chamber of Deputies voted. The Chamber of Deputies is the lower house of Rwandas national legislature.
Rwanda hata wajibaraguze kivipi na mbwembwe zao hawatufikii hata nusu,hata Kenya walishasalimu amri kwetu.
 
"Umoja" upi mjomba?

Viongozi wetu wanatakiwa kuacha kuwaza mambo madogo kama kuzuia wapinzani wasifanye shughuli zao za kisiasa kinyume cha sheria.

Badala yake wajikite kwenye kuendeleza taifa letu kiteknolojia, wajue namna ya kufanya counter attack za hizo attempt za huyo jamaa.

Hatuwezi kukaa tu tumelala halafu tunamuona jirani "much know" anafanya mambo yake, huku sisi tunajiliwaza na nyimbo zetu za "Umoja"

Ninaamini, hiyo rocket moja wapo ya kazi yake ni kuangalia usalama wa Rwanda dhidi ya majirani zake, itatuchungulia hiyo.
Hamna kitu,kumbuka sisi siyo CONGO.
 
Hiyo satelaiti inapeleleza hadi chumbani kwako. Msibeze maendeleo hayo. Akitaka kukupiga au kumega sehemu ya nchi anakuwa amejua weakess zako anakufanya atakacho.

Huwezi kuendelea kwa kumchukia tajiri bali utaendelea kwa juhudi alizopitia yeye.

Tanzania ijikite kupata wataalam ili kwenda na wakati.

Itafika wakati Bahima empire itafufuliwa tu

Unafanya kazi kwenye idara zao za usalama?

Naona umekariri tu kwa ajili ya mawasiliano, kuna satellite kwa ajili ya ku "spy" mfano Kennan & Bigbird.

Ni wapi wamesemea satellite ya RW ni military satellite?

FYI, ni nchi chache sana zenye military satellites, majority of them are just for communication purposes only. "As of December 2018 there are 320 known military or dual-use satellites in the sky, half of which are owned by the US, followed by Russia, China and India (13)." Hapo bado hujaona UK, Japan, SA, Italy, Canada nk.

"Communications satellites are used for television, telephone, radio, internet, and other applications. As of 1 January 2021, there are 2,224 communications satellites in Earth orbit."

Mmekaririshwa ujinga mkisikia satellite tu mnadhani ni mambo ya jeshi na usalama. Majority of the satellites are merely minara ya mawasiliano tu eti zinaona mbaka chumbani 🤣 🤣 na sisi tuache kujenga SGR na barabara ili tuone chumbani kwa Rwanda? Kati ya SGR na Satellite kipi gharama zaidi?

Kenya ina satellites zaidi ya moja ila kila siku inapigwa Somalia na kushambuliwa na magaidi, satellite zimewasaidia nini? Kama zinaona hadi chumbani mbona hawaoni mbinu za magaidi from West Gate mall to Garissa attack nk?

Ni vyema kuwekeza kwenye utaalam ila satellite sio kipaumbele. I'd rather have maji safi na salama kila kona, barababara nzuri, SGR, umeme wa uhakika kuliko kufuja pesa kuwa na satellite. Bongo ingefanya hivyo nyie ndo mngekua wa kwanza kuponda kwamba ni maendeleo ya vitu na sio watu ila since ni Rwanda tayari mmeloa it's called inferiority complex.
 
"Umoja" upi mjomba?

Viongozi wetu wanatakiwa kuacha kuwaza mambo madogo kama kuzuia wapinzani wasifanye shughuli zao za kisiasa kinyume cha sheria.

Badala yake wajikite kwenye kuendeleza taifa letu kiteknolojia, wajue namna ya kufanya counter attack za hizo attempt za huyo jamaa.

Hatuwezi kukaa tu tumelala halafu tunamuona jirani "much know" anafanya mambo yake, huku sisi tunajiliwaza na nyimbo zetu za "Umoja"

Ninaamini, hiyo rocket moja wapo ya kazi yake ni kuangalia usalama wa Rwanda dhidi ya majirani zake, itatuchungulia hiyo.
Sasa kama Kenya wanazo , kwanini tumuogope Rwanda? Labda kwa sababu Rwanda na Kenya wanazo, tufanye urafiki nao watatupa ujirani mwema.
 
Labda Kagame anataka kulishambulia Jeshi la Uhamiaji pale Kurasini itabidi tuwashauri wafunge Setellite Jammers.
 
Back
Top Bottom