Rwanda bought TL-50 air defense missiles from China

Rwanda bought TL-50 air defense missiles from China

Kwani TYPE 63A Tanks zinapatikana nchi gani nyingine ya EA au East and Central Africa zaidi ya Tanzania pekee mkuu? Mbona sikuonagi ukisifia Tanzania hata kidogo mkuu?



Hahaha!! Tanzania mbona nimeisifia siku nyingi tu, kuna siku niliona huu mzigo wenu hapa chini nikabaki kimya



32.jpg
 
Wanaosema Rwanda ka nchi kadogo mmeifikiria Denmark, Norway, Sweden na nyinginezo.

Anachotafuta Rwanda ni kulinda anga yake hapo. Swala ni je nchi za EA kama yetu tunazo ndege za kivita (fighter jets) kupenya anga ya Rwanda bila kutunguliwa?
Hivi kwani tunahitaji ndege za kupenya anga la Rwanda ili iweje? Rwanda kama nchi haina tatizo, tatizo ni Kagame kama kikwete alivyo tatizo kwa Tz. Tofauti ni kuwa kikwete ni fisadi na kalea ufisadi na kuendekeza ushikaji wakati kagame ni dikteta na muuaji, viongozi wanapokuwa matatizo tunasubiri waondoke madarakani au wafe unless wanatuletea shida za moja kwa moja kama Idd Amin. Hapo sioni sababu ya Tz kutafuta ndege za kupenya anga la Rwanda na hata kama tunazo sio kwaajili ya Rwanda kuna vitisho vinavyohitaji ndege za kisasa kama vile kitisho cha misri juu ya mto nile.
 
Buda in here again, kwa iyo lawmaina wewe umechambua comment ya huyo hapo na wengine wa JF, uka confirm wanachukiwa na majamaa wa huku, la hasha bro! Wanaoichukia Rwanda ni wao wenyewe, husomi habari kutoka Congo Uk France Belgium Tz, anavyotuhumiwa na wakimbizi from Rwanda, au unadhani wanadanganya. No one's hating them toka huu upande, presdaa alifanya kuwapatanisha tu kiroho safi, najua we unaiponda sana Tz upo kishabiki na unawaza alifanya makosa kuwakimbiza, so we enemies, no man! It was protocol and it'll be protocol ikitokea tena pande yeyote, he ain't there to please nobody except his masters. Kwa iyo we kaa ukijua kwamba, kama idol wako bwana Kagame ataamua kulitumia, atalielekezea Congo huko walikojificha ndugu zake, atawahit! Albeit that sounds good from you, Nyang'au with swag.

Hahaha!! nothing personal man, mimi hii issue ya Wabongo na Warwanda huwa sina historia vizuri ilianza kivipi maana mimi huona povu na hasira pande zote mbili. Kagame ndio alikosea kumtukana JK, na kwa kweli hata mimi ukamtukana rais wangu, haitajalisha nipo kwenye upinzani au la, lazima tuungane dhidi yako. Hivyo naelewa kiasi hasira za Wabongo kwa hili.

Sasa tatizo ni kuwa kuna jamaa waliotoroka Rwanda kile kipindi cha vita na wamechukulia hii fursa, wanaponda kwa fujo, ila wanajiita "Watanzania", yaani huwa sipati picha jinsi unaweza ponda nchi ya watu ukitokwa na povu kiasi cha hawa jamaa. Unakuta yuko mtandaoni anaponda kila taarifa kuhusu Rwanda, tena neno kwa neno. Huwezi wapata kwenye mijadala inayohusu Tanzania, maana hata ukifuatilia Mtanzania wa kweli utampata kwenye zile hoja za siasa na mengine ya nchi halafu mara moja moja unamkuta anaongelea kuhusu taarifa za kimataifa, ila hawa bwana yao ni Rwanda usiku na mchana.

Halafu hilo la kusema mimi napenda kuponda Tanzania, bwana wacha wee hayo huwa ni mambo ya watani wa jadi, huwa tunabishana nani jembe kati yetu na Wabongo. Utawakuta Wabongo kule kwenye forums za Kikenya wanapelekana na sisi neno kwa neno, ila huwa ni mijadala ya kupiga beer muda upite.
 
kama hilo la utanzania wangu kwako ni questionable tuache tu kujadiliana sio ishu. After all you should know kwamba najadiliana na wewe through this lawmaina ID of yours out of courtesy kwa sababu angalau kuna vijihoja huwa unatoa, but i have already proved kuwa wewe ni the same person behind zile ID zingine ambazo huwa unajitoa fahamu na kutukana hovyo. So please kama huwezi kujadiliana na mimi kwa sababu you think uraia wangu una utata or whatever just say so and i won't reply to you. vinginevyo jenga HOJA!

Hoja gani unayotaka wewe? Yani wewe uchochee ubaguzi halafu wengine wajenge hoja? Yaani huyo mkenya angejuwa ubaya wako hata asingeongeza kujadiliana na wewe, na ninakuhakikishia kama haukuuwa Rwanda basi wazazi wako walikurepresent.
We utawatia wazimu bure! Watuachie sisi "special force" ambao tunajuwa ninamna gani ya kudili na wauaji, naona unajigamba sana utanzania, kama washakupa uraia kaa ukijuwa kwamba kunawaliokutangulia kuupata na wakauacha na kurudi kwao kusaidia nchi, najuwa vyema kinachokufanya usirudi kwenu! Unaweza ukawa haujauwa lakini wazazi wanakuharibia kama wale ndugu zako akina Rene' Mugenzi ambaye ambaye naye nimuathilika wa wazazi wake ila nasikia baba yake yuko mbioni kupandishwa pipa kuelekea Kigali na wewe tunakuhesabia siku tu. Na wale wanaotaka civil conversation pls mtusamehe kwa maana hii ideology ya kinaJmali imetucost na itatucost kwa mda mrefu sana, na sisi wenyewe ndio tutawatibu, kumbuka Dunia iliwashindwa
 
Kwa chuki wanazomwagiwa Warwanda, ni muhimu kujitayarisha kwa chochote wakati wowote na kwa vyovyote vile, a small country but potent. I can't fathom they are now in possession of an equipment not found anywhere else in EA... hongera Kagame.

Hata idd amin wakati anapigana vita na Tanzania alikuwa na silaha advanced sana kuzidi Tz lakini uliza kilichompata!!!
 
Ni vigumu kujadili na wewe wakati unatumia "sisi Watanzania", hujahitimu hiyo title, hivyo ukiwa tayari kujadili na mimi geuza na kutumia ipasavyo, wacha kung'eng'ania nchi ya watu.
Tanzania nchi ya amani , kila mtu anakaribishwa, na ukiomba uraia utapewa tu.
No big deal.
Tatizo ni ukituudhi.

Strength kubwa ya utanzania ni umoja wake in times of peril.
On te contrary Rwandas weakest point ni ukabila na uhasama kati ya makabila, wale wanaoitwa interhamwe ndiyo can opener kwa nchi ya Rwanda.
Kwetu sisi ni heri wabaki Congo maana they can come into very good use when the time comes.
Kwa watu hao Kagame inabidi atafute a nuclear bomb kuwaangamiza.
 
View attachment 200716
A photo of the TL-50 system shown at the Africa Aerospace Defense Exhibition in South Africa earlier this year.

China North Industries Corporation based in Beijing has successfully exported its TL-50 or Sky Dragon 50 air defense missiles to Rwanda, according to Kanwa Defense Review, a Chinese-language military magazine based in Canada.

Rwanda is the first and currently the only nation in Africa to use the TL-50. Designed based on China's PL-12 air-to-air missile, the TL-50 can attack targets between 20 and 30 kilometers from the ground with an attacking range of 50 kilometers. Kanwa said it is now the most advanced air defense missile in East Africa, though Rwanda has purchased only a very limited number of the missiles.

With the ability to track 144 targets, the TL-50 can launch 12 missiles to intercept 12 incoming targets simultaneously. A photo of the system was shown at the Africa Aerospace Defense Exhibition this year which shows a single missile launcher with four launch tubes. Rwanda must have at least four TL-50 launchers as this is the system's lowest operational unit, Kanwa said.

The missile also has fire and forget capability, Kanwa said. However, the TL-50 has not entered service in China, as the PLA has selected the HQ-16 as its current standard air defense missile.

Source:wantchinatimes

Rwanda bought TL-50 air defense missiles from China: Kanwa|Politics|News|WantChinaTimes.com
Mkuu wacha waje, watatukuta tupo ngangari!
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    76.8 KB · Views: 154
Tanzania nchi ya amani , kila mtu anakaribishwa, na ukiomba uraia utapewa tu.
No big deal.
Tatizo ni ukituudhi.

Strength kubwa ya utanzania ni umoja wake in times of peril.
On te contrary Rwandas weakest point ni ukabila na uhasama kati ya makabila, wale wanaoitwa interhamwe ndiyo can opener kwa nchi ya Rwanda.
Kwetu sisi ni heri wabaki Congo maana they can come into very good use when the time comes.
Kwa watu hao Kagame inabidi atafute a nuclear bomb kuwaangamiza.

Wewe kweli wakuja(Jnali) huo umoja unaouonglea kweli uliwahi kuwepo kipindi kile, nakumbuka kipindi kile hakuna aliye kuwa anamzidi mwenzake, hata shule tulipokuwa tukitumwa mchango wa madawati basi tunaenda moja kwa moja ikulu mpaka ndani kwa mchonga anatujazia vifomu vyetu anawaambia wafanyakazi wake na walinzi wote, tunatoka pale fomu zishajaa na pesa tunarudisha shule, sasa kama wewe uniamini basi jaribu leo ukagonge ikulu kwa profeseri ndio utjauwa nasema nini! Hakuna anayemwamini mwenzake tena, kipindi kile kilikuwa cha lumba lakini la wote siku hizi kuna matabaka kibao, siku hizi ukienda hata hospitali hakuna hata panadol lakini wajanja wao wanawahi India, Ulaya _ Marekani, sasa huo umoja ni wa namna gani?
Huku kwetu Rwanda model yetu nitofauti kidogo kwa maana tuligundua umaskini na elimu duni ndio tatizo maana kuna watu wamekiri kuuwa lakini mpaka leo hawajuwi kitu gani kilichowafanya wauwe, wengine waliuwa kusudi walithi mali za waathilika ndio maana tumekomalia maendeleo kiasi kwamba siku wanyarwanda wote watakuwa na kazi na msosi wakutosha mezani basi hao kina Jmali hatawafanye nini! Ni hii model ndio mwisho wa yote, kwa sababu ukiangalia hata ulaya wana tofauti kibao lakini kwa sababu mtu anajuwa afanye au asifanye kazi msosi na matibabu atayapata.
 
Kama madictator wote wangekuwa kama kagame, tungekuwa mbali sana. Of all things that we can talk about Rwanda, watanzania wengi tungependa kuwa na Rais mwenye uwezo wa kupambana na mafisadi kama Kagame. Murutongore unajua kabisa kuwa Kagame is Tanzanian president Tanzania never had.

Lacuna next year tunajaribu tena...i hope watabakia Tembo wa kujireproduce na kuja kufikia walau laki 1.5.
By the time JK anaondoka watakuwa wamebaki tempo elfu 55 down from zaidi ya laki 1,7

Mkuu, sio Tanzania tu bali nchi zote za kiafrika. Hili kila mtu anaelewa na ana uchungu na nchi yake atalikubali. Ni wale "watanzani" wachache wenye chuki binafsi wanaotaka kuingilia mlango wa nyuma ndio wataponda weee lakini hawatuumizi kichwa.
 
Kama madictator wote wangekuwa kama kagame, tungekuwa mbali sana. Of all things that we can talk about Rwanda, watanzania wengi tungependa kuwa na Rais mwenye uwezo wa kupambana na mafisadi kama Kagame. Murutongore unajua kabisa kuwa Kagame is Tanzanian president Tanzania never had.

Lacuna next year tunajaribu tena...i hope watabakia Tembo wa kujireproduce na kuja kufikia walau laki 1.5.
By the time JK anaondoka watakuwa wamebaki tempo elfu 55 down from zaidi ya laki 1,7

umeongea vyema sana mkuu. Kagame ni kiongozi imara sana kama Tz tungekuwa na kiongoz kama huyu basi tungekuwa tishio kiuchumi na kijeshi. Rwanda wanasumbua pamoja na kuwa na raslimali kidogo lakn bado watata..
Long live kagame
 
Mkuu, mchina ni rafiki yetu wa muda mrefu sana. Tangu enzi za mao. Ukiona kawapa hao jamaa hiyo ndude husiogope kabisa. Anajua haiwezi kuwa tatizo kwetu. Alishasema hawezi kuona tunaingia vitani akaacha kutusaidia

Nyinyi watanzania munaota mbegu zakusaidiwa tu kila wakati...china itatusaidia, haiezi tuwacha pekeetu kivita, unajua international politics..they talk coz they want to secure contracts from you people,,heri kung'ang'ana kununua mwenyewe kuliko kuwa mtumwa wa anayekusaidia..lets learn from history, how did African colonization hapen. wazungu walikuja na kutumbaza na silaha tuuwane wenyewe kwa wenyewe huku akitubebea silaha...divide and rule is working for both Tz $ Rwanda mchina akiwa beneficiary..while your very busy boasting who is superior mchina yuko busy benefiting from your resources
 
Nyinyi watanzania munaota mbegu zakusaidiwa tu kila wakati...china itatusaidia, haiezi tuwacha pekeetu kivita, unajua international politics..they talk coz they want to secure contracts from you people,,heri kung'ang'ana kununua mwenyewe kuliko kuwa mtumwa wa anayekusaidia..lets learn from history, how did African colonization hapen. wazungu walikuja na kutumbaza na silaha tuuwane wenyewe kwa wenyewe huku akitubebea silaha...divide and rule is working for both Tz $ Rwanda mchina akiwa beneficiary..while your very busy boasting who is superior mchina yuko busy benefiting from your resources

Kama huelewi history nyamaza kimya. Sisi na mchina tunashirikiana kwa mengi. They help us, and we help them. Inaonekana kichwa chako cha moto.
 
Wewe kweli wakuja(Jnali) huo umoja unaouonglea kweli uliwahi kuwepo kipindi kile, nakumbuka kipindi kile hakuna aliye kuwa anamzidi mwenzake, hata shule tulipokuwa tukitumwa mchango wa madawati basi tunaenda moja kwa moja ikulu mpaka ndani kwa mchonga anatujazia vifomu vyetu anawaambia wafanyakazi wake na walinzi wote, tunatoka pale fomu zishajaa na pesa tunarudisha shule, sasa kama wewe uniamini basi jaribu leo ukagonge ikulu kwa profeseri ndio utjauwa nasema nini! Hakuna anayemwamini mwenzake tena, kipindi kile kilikuwa cha lumba lakini la wote siku hizi kuna matabaka kibao, siku hizi ukienda hata hospitali hakuna hata panadol lakini wajanja wao wanawahi India, Ulaya _ Marekani, sasa huo umoja ni wa namna gani?
Huku kwetu Rwanda model yetu nitofauti kidogo kwa maana tuligundua umaskini na elimu duni ndio tatizo maana kuna watu wamekiri kuuwa lakini mpaka leo hawajuwi kitu gani kilichowafanya wauwe, wengine waliuwa kusudi walithi mali za waathilika ndio maana tumekomalia maendeleo kiasi kwamba siku wanyarwanda wote watakuwa na kazi na msosi wakutosha mezani basi hao kina Jmali hatawafanye nini! Ni hii model ndio mwisho wa yote, kwa sababu ukiangalia hata ulaya wana tofauti kibao lakini kwa sababu mtu anajuwa afanye au asifanye kazi msosi na matibabu atayapata.

wewe kamchambawima1 kawongo sana wewe... umeshawahi fika ulaya kusini.... umewona tuwatu tunavyopigika.....
Pia umoja wetu uko pale pale... maana sisi watanzania hatuna kabila fulani ndiyo matajiri au masiki.... kila kabila kuna maajiri na masikini na watu wa kipato cha kati.... ndiyo maana hatuna class struggle kama ya kenya.... ambayo watu ambao si kikuyu au GEMA wanaapa kujikomboa toka unyonyaji wa wakoloni weusi...
Na kwa Rwanda.... nyie mnaacha kujenga mifumo ya maridhiano na uthabiti wa umoja..... ninyi mnamuabudu Kagame... mimi kila siku nawaambia.....Kagame ana mwisho.... lakini Rwanda haina mwisho.... mkilitambua hilo nchi yenu itakuwa na ustawi wa kweli..... na woga iliyonao sasa.... maana nchi yenu ina hofu sana.... hamishi kwa amani... kila mtu anamshuku mwingine....
 
Mkuu, sio Tanzania tu bali nchi zote za kiafrika. Hili kila mtu anaelewa na ana uchungu na nchi yake atalikubali. Ni wale "watanzani" wachache wenye chuki binafsi wanaotaka kuingilia mlango wa nyuma ndio wataponda weee lakini hawatuumizi kichwa.


Murutongore hapa kuna kitu unakosea. Ukimuuliza mtanzania yoyote kuhusu Kagame, hata anayeorodesha matusi 100 kuhusu kagame, akiwambiwa Tanzania tuwe na Rais kama Kagame anakubali.

Lakini watanzania tulio wengi tunachukia attitude na dharau ya Kagame dhidi yetu na kwa nchi yetu, na kejeli anazotoa kwetu na kwa rais wetu. He may be right in what he says, but he better keep it to himself, just like what others leaders are doing to others.
 
Mkuu, nategemea wewe ulishafika Tanzania. Solidarity tuliyonayo pamoja na hayo yote unayosikia ni kubwa mno.
Kumbuka sisi tumefundwa chini ya mfumo wa kijamaa, yaani kuishi pamoja na kushirikiana. Huu mfumo huwa hauvunjiki ovyo ovyo. Kinachotokea ni mabadiliko madogo madogo ya kijamii na uchumi. Lakini element za kuishi kiujamaa haziishi.
Rwanda ki ukweli mlitakiwa muwe katika good terms na Tanzania.
Lakini sijui ni ujuaji, sijui ni uchonganishi ndo mnaanza hizi friction ndogo ndogo. Sasa sisi tukianza kuona you are a threat nakuambia mkuu hamuwezi kukaa salama hata kidogo.
Sijui kama unaweza kuniambia kosa kubwa la Tanzania tulilolifanya hata Rais kagame akasema ata tu hit?????


eti alifanya kosa gani?? hivi yuko marekani hit imeisha anza,hakuna yeyote atakaye wasaliti watusi atakua na amani,angalia kabila mkubwa,mabutu,miterand,habyarimana,na wengine wengi.
 
Kwa surface to air missiles (SAMs) lakini kwa vifaru hiyo type 63 is not a big deal

Hii tuliyoionesha ni the inferior one.... hatukuonesha vile vitu vya ukweli.... terrestrial and aquatic (real time) missile... and are made insitu... ambazo zimechimbiwa sehemu ..... hazipaswi kuoneshwa hovyo hovyo....
 
Back
Top Bottom