Rwanda bought TL-50 air defense missiles from China

Rwanda bought TL-50 air defense missiles from China

sijaelewa hawa jamaa wanamringishia nani hako kagari ka kivita, wanamringishia tz? tz tunazo hizo kibao tu, hata juzi hivi kikwete kasaini madude kibao ya kiusalama aliyaongelea kwenye hotuba yake akasema hawezi kueleza zaidi kwasababu ya usalama. Tanzania ni china ya africa, piga ua, ukiuziwa silaha na china ni sawa na umeuziwa silaha na tanzania tu tutakujua hadi chumbani unakolala na mkeo na tukitaka kukufanya chochote tutakufanya tu.

Rwanda has nothing to compete with tz in any thing except usafi wa mazingira. ukija kwenye uchumi hawatuwezi, ukija nguvu ya kijeshi yaani hawatuwezi hata robo ndio maana hata kipindi kile kikwete alipotaka kuivamia kwa kuanzisha operation kimbunga ili iwe mwendelezo amchokoze kagame ili akijibu tu tuingie kigali, rafiki yake bleya alikuja mbio kwa kikwete ikulu na kutuliza na kagame akanyamaza kimyaaaa hatawahi kutoa mkia wake tena anaogopa kama ukoma. hivi mnafikiri kagame hana akili? unafikiri haijui tz? unafikiri hajui kuwa tunazo silaha za kutosha, na china walishasema atakayeichokoza tz ameichokoza china. mnajua ni kwanini kagame anajilaumu hadi leo hii kwanini alilipuka kipindi kile kama angelipewa nafasi ya kurudi nyuma asinge react namna ile, na mnajua ni kwanini pamoja na operation kimbunga iliyokuwa mwendelezo wa kuingia kigali (tungefika mpakani tungerusha tu kakombora halafu tunasema rwanda ametochokoza na tunaingia kigali), kwanini kagame amenyamaza kimya kama amemwagiwa maji?....someni nyakati.

Kipindi kile tulikuwa tunasema, Rwanda hapendi na hatopenda kuingia vitani na Tanzania.
Kagame anarumbana na Kikwete ila anajua wakati wa kupigana hatopigana na Kikwete ila na Watanzania.
Hakuna chombo kilichotulia nchi hii kama JWTZ. Ila kipindi kimeonekana dhaifu kutokana na Utawala wa JK lakini ni Jeshi moja makini sana Afrika.
 
Kipindi kile tulikuwa tunasema, Rwanda hapendi na hatopenda kuingia vitani na Tanzania.
Kagame anarumbana na Kikwete ila anajua wakati wa kupigana hatopigana na Kikwete ila na Watanzania.
Hakuna chombo kilichotulia nchi hii kama JWTZ. Ila kipindi kimeonekana dhaifu kutokana na Utawala wa JK lakini ni Jeshi moja makini sana Afrika.

Indeed! It is always about leadership...
 
Ndio maana ukiongea utumbo na mimi nakurudishia utumbo wako! Hivi hata kama Rwanda ingekuwa na madini ya kutosha, mngeaza na hayo ya kwenu yawasaidie kujitoa aibu. Jana kwenye twitter Daudi Balali kapigilia msumali wa mwisho, nnamnukuu:
Tanzania: a sick country, a sick president, a sick economy, a confused society and a very uncertain future. Only God can save you now. Mwisho wa kumnukuu.
Ukiongezea na ubaguzi wa Jmali na ndugu zake wa FDLR; mbona kiama.

Daud Balali ndio nani serikali ya Rwanda? Hamna hoja....hata mnunue makombora gani, msijaribu kufanya mliyofanya Congo DRC mana ndio mwanzo na mwisho wa RPF.
 
Kenya tuna huu mziki hapa, ila manunuzi yanafanyika kwa siri, yaani mataifa ya EAC yapo kwenye arms race kimya kimya, tutashtukiana siku fulani halafu mizingi ipepe hewani, duh! sipendi hivi.


ORD_SAM_SA-11_Buk-M1_Finland_lg.jpg


Kenya Talks • View topic - Kenya buys missile air defence system to counter Museveni SU30MK fighter jets.

What is in the cooking? Maana hii arm race sio ya kawaida.
 
Kwa chuki wanazomwagiwa Warwanda, ni muhimu kujitayarisha kwa chochote wakati wowote na kwa vyovyote vile, a small country but potent. I can't fathom they are now in possession of an equipment not found anywhere else in EA... hongera Kagame.
It must be a nuclear bomb lol!
 
najua china atatupa zaidi ya hiyo coz anajua Rwanda na choko choko zake, lazima china alinde massilahi yake na Tanzania, pili TZ tuna uwezo hata wa kununua zaidi ya hiyo toka USA
 
najua china atatupa zaidi ya hiyo coz anajua Rwanda na choko choko zake, lazima china alinde massilahi yake na Tanzania, pili TZ tuna uwezo hata wa kununua zaidi ya hiyo toka USA

wewe hujui there is no free lunch, afadhali mnunue kushinda mpewe lakini kuwe na vikwazo vinavyoambatana na zawadi
 
Hakuna vita salama. Ndio Tanzania ni military superior in east and central even west lakni sio rahisi tanzania kupigana vita kama unavyofikiri.
Tuachane na mambo ya vita. Haya mambo haya tatui matatizo yetu.

Waafrica tuko nyuma sana kwa maendeleo. Wenzetu wako miaka 1000 mbele yetu.
Piganeni mzungu afaidi ndio tunalojua
 
Very low, i wish hizo pes zingetumika kujenga shule au hospitali
 
Wanaosema Rwanda ka nchi kadogo mmeifikiria Denmark, Norway, Sweden na nyinginezo.

Anachotafuta Rwanda ni kulinda anga yake hapo. Swala ni je nchi za EA kama yetu tunazo ndege za kivita (fighter jets) kupenya anga ya Rwanda bila kutunguliwa?
 
Wanaosema Rwanda ka nchi kadogo mmeifikiria Denmark, Norway, Sweden na nyinginezo.

Anachotafuta Rwanda ni kulinda anga yake hapo. Swala ni je nchi za EA kama yetu tunazo ndege za kivita (fighter jets) kupenya anga ya Rwanda bila kutunguliwa?

Mkuu mawazo kama haya ni ya miaka ya 60 au 70. Kudanganya watu kuwa hi ni sphisticate air defence ni kujidanganya. Jaruibu kuangalia nani East Africa anapenda ujunga wa kuanza kusmabulia wengine kwa ndege. Ujinga huu ulitokea wakati tukipokuwa tunapambana na nduli amini, ever since hakuna tena.

by the way huna haja ya kutumia ndege katyusha zinatosha sana, you just sit near the border and fire 2000 Katyushas (oldest simple missile)
 
Wanaosema Rwanda ka nchi kadogo mmeifikiria Denmark, Norway, Sweden na nyinginezo.

Anachotafuta Rwanda ni kulinda anga yake hapo. Swala ni je nchi za EA kama yetu tunazo ndege za kivita (fighter jets) kupenya anga ya Rwanda bila kutunguliwa?
hakuna
 
Ni matope kufikiria fightjet kushambulia Rwanda. Wakati unaweza kupiga popote Rwanda kwa Missile.

Na Rwanda kiusalama inunua anti missiles system.
 
najua china atatupa zaidi ya hiyo coz anajua Rwanda na choko choko zake, lazima china alinde massilahi yake na Tanzania, pili TZ tuna uwezo hata wa kununua zaidi ya hiyo toka USA

Unaposema atatupa una maana gani? Kwamba Tanzania twende China kuomba msaada wa MDS!? Peleka upuuzi wako huko, sisi kama nchi tunao uwezo wa kununua MDS kutoka nchi yoyote iwe China, Urusi, UK nk tukiwa na mahitaji hayo. Huu umatonya anaofanya Kikwete haujafikia level ya kuomba hadi vitu muhimu kwa ulinzi wetu
 
Kwenu wapi ndugu yangu,umepewa hifadhi tu

Ahahahhahha, yaani nyie fikra zenu mnawazia wale wahutu mliowadhulumu tu. Mtaisoma namba. Ka nchi kadogo mnataka kutuniana kifua na kilanja wa Afrika mashariki na kati? Na bado.
Wazee wa jenosaidi, sasa hizo kombora ndo za kuwapiga wale jamaa waliopo congo? au? Kagame anaakili ndogo kama mwili wake.
 
Ndio maana ukiongea utumbo na mimi nakurudishia utumbo wako! Hivi hata kama Rwanda ingekuwa na madini ya kutosha, mngeaza na hayo ya kwenu yawasaidie kujitoa aibu. Jana kwenye twitter Daudi Balali kapigilia msumali wa mwisho, nnamnukuu:
Tanzania: a sick country, a sick president, a sick economy, a confused society and a very uncertain future. Only God can save you now. Mwisho wa kumnukuu.
Ukiongezea na ubaguzi wa Jmali na ndugu zake wa FDLR; mbona kiama.

Mkuu, nategemea wewe ulishafika Tanzania. Solidarity tuliyonayo pamoja na hayo yote unayosikia ni kubwa mno.
Kumbuka sisi tumefundwa chini ya mfumo wa kijamaa, yaani kuishi pamoja na kushirikiana. Huu mfumo huwa hauvunjiki ovyo ovyo. Kinachotokea ni mabadiliko madogo madogo ya kijamii na uchumi. Lakini element za kuishi kiujamaa haziishi.
Rwanda ki ukweli mlitakiwa muwe katika good terms na Tanzania.
Lakini sijui ni ujuaji, sijui ni uchonganishi ndo mnaanza hizi friction ndogo ndogo. Sasa sisi tukianza kuona you are a threat nakuambia mkuu hamuwezi kukaa salama hata kidogo.
Sijui kama unaweza kuniambia kosa kubwa la Tanzania tulilolifanya hata Rais kagame akasema ata tu hit?????
 
Ndio maana ukiongea utumbo na mimi nakurudishia utumbo wako! Hivi hata kama Rwanda ingekuwa na madini ya kutosha, mngeaza na hayo ya kwenu yawasaidie kujitoa aibu. Jana kwenye twitter Daudi Balali kapigilia msumali wa mwisho, nnamnukuu:
Tanzania: a sick country, a sick president, a sick economy, a confused society and a very uncertain future. Only God can save you now. Mwisho wa kumnukuu.
Ukiongezea na ubaguzi wa Jmali na ndugu zake wa FDLR; mbona kiama.

daudi balali yupi unayemzungumzia kiongozi?marehemu au daudi balali fake mnayemtumia kuvuruga akili za watanzania?kama rwanda ina amani kuna haja gani ya kununua hivyo vifaa vya kijeshi.je ni ufahari?be blessed!
 
najua china atatupa zaidi ya hiyo coz anajua Rwanda na choko choko zake, lazima china alinde massilahi yake na Tanzania, pili TZ tuna uwezo hata wa kununua zaidi ya hiyo toka USA

Mkuu, mchina ni rafiki yetu wa muda mrefu sana. Tangu enzi za mao. Ukiona kawapa hao jamaa hiyo ndude husiogope kabisa. Anajua haiwezi kuwa tatizo kwetu. Alishasema hawezi kuona tunaingia vitani akaacha kutusaidia
 
Back
Top Bottom