Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,627
Ndio maana ukiongea utumbo na mimi nakurudishia utumbo wako! Hivi hata kama Rwanda ingekuwa na madini ya kutosha, mngeaza na hayo ya kwenu yawasaidie kujitoa aibu. Jana kwenye twitter Daudi Balali kapigilia msumali wa mwisho, nnamnukuu:
Tanzania: a sick country, a sick president, a sick economy, a confused society and a very uncertain future. Only God can save you now. Mwisho wa kumnukuu.
Ukiongezea na ubaguzi wa Jmali na ndugu zake wa FDLR; mbona kiama.
Balali wa wapi huyo??