Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Baba wa kambo na mama mzazi wanashikiliwa na polisi Ruvuma kwa tuhuma za kumuua na kumfukia kwenye shimo la takataka mtoto wao wa miaka 6 aitwaye Paul Haule huku sababu zikiwa ni imani za kishirikina ambapo wamesema wamefanya mauaji hayo wakiwa na nia ya kupata utajiri.
Tukio limetokea katika Kijiji cha Peramiho A kata ya Peramiho wilaya ya Songea mkoani Ruvuma.
Tukio limetokea katika Kijiji cha Peramiho A kata ya Peramiho wilaya ya Songea mkoani Ruvuma.