Kiwi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 1,054
- 990
Wakuu,
Ninafuatilia kuapishwa kwa Rais wa nne wa Kenya Uhuru Kenyatta.
Cha ajabu nimemsikia Makamu wa Rais William Ruto akisema ya kuwa mtu wa kwanza kuishi duniani aliishi Kenya.
Nimejiuliza, mwalimu wangu wa historia alinifundisha ya kuwa Olduvai Gorge (Bonde la Olduvai) liko Tanzania.
Ama historia imeandikwa upya?
Chonde chonde, Ziwa Nyasa tumeshanyang'anywa na Malawi, Mlima Kilimanjaro karibu sana tutasikia pia uko Kenya.
Nimeshawahi kuona tangazo wakinadi ya kuwa njoo Kenya upande Mlima kilimanjaro, na lingine linasema Mlima Kilimanjaro uko
Tanzania, lakini ukitaka kuuona vizuri, njoo Kenya!
Ama ndiyo fastjet kashawauzia wakenya kila kitu?
http://www.pbs.org/wgbh/aso/databank/entries/do59le.html
Ninafuatilia kuapishwa kwa Rais wa nne wa Kenya Uhuru Kenyatta.
Cha ajabu nimemsikia Makamu wa Rais William Ruto akisema ya kuwa mtu wa kwanza kuishi duniani aliishi Kenya.
Nimejiuliza, mwalimu wangu wa historia alinifundisha ya kuwa Olduvai Gorge (Bonde la Olduvai) liko Tanzania.
Ama historia imeandikwa upya?
Chonde chonde, Ziwa Nyasa tumeshanyang'anywa na Malawi, Mlima Kilimanjaro karibu sana tutasikia pia uko Kenya.
Nimeshawahi kuona tangazo wakinadi ya kuwa njoo Kenya upande Mlima kilimanjaro, na lingine linasema Mlima Kilimanjaro uko
Tanzania, lakini ukitaka kuuona vizuri, njoo Kenya!
Ama ndiyo fastjet kashawauzia wakenya kila kitu?
http://www.pbs.org/wgbh/aso/databank/entries/do59le.html