ngatungas
New Member
- Sep 16, 2021
- 2
- 12
Utangulizi.
Nadhani sisi sote ni wafuasi wa imani fulani maishani.Either iwe ya kidini ama ya kifikra zaidi(scientific). Na hizi Beliefs system ndizo sana sana zinatuongoza maishani mwetu juu ya kile kipi tunafanya kila siku.
Mada.
Kwa Africa Uislamu-uliletwa na waarabu kipindi cha ukoloni na biashara ya watumwa.
Ukristo- uliletwa na Wamisionari kipindi cha ukoloni pia.
Wakati wanakuja kutuletea imani hizo, sisi tulikua tupo na mila na desturi zetu ambazo zilituongoza katika mambo kadhaa kama ya kijamii, kiafya na tabia nchi.
Mkanganyiko.
sote tunajua kwamba sayansi inasema binadamu wa kwanza alitokana na Nyani/sokwe. Ila vitabu vya imani vinasema binadamu aliumbwa akiwa mkamilifu. Je yupi yu sahihi?!
•Na pia itakua sio sahihi kusema Mlima Kilimanjaro ni Mlima Sayuni?!?
•Maana ndio Mlima pekee uliosimama thabiti bila kufungamana{safu} na milima mengine. [ world highest free standing Mountain].
• sababu ya kuongea haya yote ni sayansi imeonyesha binadamu wa kale zaidi aliishi hapa nchini. Kwanini tusiwe na Maswali juu ya uhalisia wa vitu kama hivi?!
MADHEHEBU.
Mimi ni mkristo toka utoto wangu. Na Nadhani sote tu mashahidi juu ya wimbi kubwa la ongezeko la Madhehebu na kila kiongozi kujiita Mtume,Nabii etc. je ni sahihi?!
Kama si sahihi wahanga wa yote haya ni kina nani?
Naamini kabisa imani ni kitu nyeti sana.na kinachoweza leta watu pamoja. Lakini too much is Harmful.
Kuna baadhi ya viongozi wa kidini hutumia shida za watu kuwahadaa na kuwateka kisaikilojia.
Tunakumbuka habari za ‘kibwetere’ wa Uganda.alivyowachoma waumini kwa kuwaaminisha siku za mwisho zimefika.
Japo hatuwezi kataa kuwa wapo viongozi wa dini wenye nia dhabiti kabisa kuwasaidia waumini wao.
Ila wapo watumiavyo vibaya majukwaa ya kiimani kwa kujijenga kisiasa, kiuchumi na hata kujisafisha kijamii.
BRAINWASHING.
• kila siku tunasikia habari za watu kujitoa mhanga na kuwaua watu wasio na hatia. Kwa kile kwamba watafika Mbinguni moja kwa moja.
Je ni sahihi kuua binadamu mwenzako aliyeumbwa ili ufike mbinguni?!
•Pia tunasikia habari za watu kuhama hama nyumba zao za ibada kwa kile cha kutafuta “Muujiza”.
JE tumekua na desturi ya kumtafuta Mwenyezi Mungu ama kutafuta Muujiza?!
•Tunaabudu watu badala ya kuwa na Imani na kumjua huyu aliyetuumba kwa kuwa ana uwezo zaidi ya vyote hivyo.
Tumekua brainwashed kwa kufata mikumbo pasipo kuwa na misingi thabiti ya kiimani.
Ukweli uko wapi?
NINI KIFANYIKE.
~• somo la “Theology” lingepaswa kuanza fundishwa toka madarasa ya chini. Ili vijana waweze kujua misingi ya imani zao na za majirani.
Religion with Science ni watoto pacha wasioachana daima.
Tunakumbuka hapo kale Mnajimu “Galileo Galilei’ aliwahi fungwa na kanisa huko Italy kwa kupotosha jamii kuwa “Dunia ndiyo inayozunguka jua”.
Ilihali kanisa liliamini Jua ndilo linalozunguka dunia.[Nabii Eliya alisimamisha jua].
Lakini miaka mingi baadae walikuja kuamini maneno ya Mnajimu huyo kuwa ni ukweli.
~•Vitabu vingi va kiimani vinasema Dunia na Ulimwengu kwa ujumla viumbe hai wapo Duniani pekee.
Ila tunajua ya kwamba dunia na sayari zote pamoja na Jua, tupo kwenye sehemu ndogo ya Galaxy yetu.
Na zipo mamia ya Galaxy ulimwenguni zilizojaa sayari na Nyota zake Mamilioni.
Je tutakua selfish kusema “We are Alone”?!?
Maana ulimwengu ni Endless. Nini kipo huko tusipoweza fika?
Ukifatilia Documentaries nyingi utaona kuna kitabu cha “Book of Enoch” ambacho hakikuwekwa kwenye biblia.
Kitabu hiki kinazungumzia mambo yaliyotokea, na yajayo.
Kinaongelea wageni[watchers] walioshuka toka juu hapo zamani sana.na kinasema hao wageni “Annunakis” ndio waliwapa mbinu wamisri kujenga zile pyramids.
mimi na wewe hatuna budi kuujua ukweli. Tusiwe wasindikizaji.
Wanasema Vatican kuna the world biggest Library underground yenye historia za toka uumbaji wa dunia.
~•tusiwe watumwa wa imani zetu na kuanza kubaguana kisa imani.
Tujitambue, tujue chimbuko letu ni lipi.
Mostly mimi na wewe tupo na imani zetu hizi ambazo tuliaminishwa/rithishwa toka kwa wazazi wetu.
Iweje tuanze kubaguana?
Tuwe wadadisi kujua mambo kiundani. Tusiishi kwa Mazoea.
Ahsanteni.
Nadhani sisi sote ni wafuasi wa imani fulani maishani.Either iwe ya kidini ama ya kifikra zaidi(scientific). Na hizi Beliefs system ndizo sana sana zinatuongoza maishani mwetu juu ya kile kipi tunafanya kila siku.
Mada.
Kwa Africa Uislamu-uliletwa na waarabu kipindi cha ukoloni na biashara ya watumwa.
Ukristo- uliletwa na Wamisionari kipindi cha ukoloni pia.
Wakati wanakuja kutuletea imani hizo, sisi tulikua tupo na mila na desturi zetu ambazo zilituongoza katika mambo kadhaa kama ya kijamii, kiafya na tabia nchi.
Mkanganyiko.
sote tunajua kwamba sayansi inasema binadamu wa kwanza alitokana na Nyani/sokwe. Ila vitabu vya imani vinasema binadamu aliumbwa akiwa mkamilifu. Je yupi yu sahihi?!
Maana ni sehemu pekee ulimwenguni ya Crater- penye wanyama wa kila aina na ambapo binadamu huishi na wanyama pori wakali bila kudhuriana.•Tunaambiwa binadamu wa kwanza aliishi Tanzania-Olduvai Gorge. Na vitabu vya kidini vinasema binadamu aliishi katika bustani moja pamoja na wanyama wote. Je itakua sio sahihi kusema Bonde la Hifadhi la Ngorongoro ndiyo Bustani ya Eden?
•Na pia itakua sio sahihi kusema Mlima Kilimanjaro ni Mlima Sayuni?!?
•Maana ndio Mlima pekee uliosimama thabiti bila kufungamana{safu} na milima mengine. [ world highest free standing Mountain].
• sababu ya kuongea haya yote ni sayansi imeonyesha binadamu wa kale zaidi aliishi hapa nchini. Kwanini tusiwe na Maswali juu ya uhalisia wa vitu kama hivi?!
MADHEHEBU.
Mimi ni mkristo toka utoto wangu. Na Nadhani sote tu mashahidi juu ya wimbi kubwa la ongezeko la Madhehebu na kila kiongozi kujiita Mtume,Nabii etc. je ni sahihi?!
Kama si sahihi wahanga wa yote haya ni kina nani?
Naamini kabisa imani ni kitu nyeti sana.na kinachoweza leta watu pamoja. Lakini too much is Harmful.
Kuna baadhi ya viongozi wa kidini hutumia shida za watu kuwahadaa na kuwateka kisaikilojia.
Tunakumbuka habari za ‘kibwetere’ wa Uganda.alivyowachoma waumini kwa kuwaaminisha siku za mwisho zimefika.
Japo hatuwezi kataa kuwa wapo viongozi wa dini wenye nia dhabiti kabisa kuwasaidia waumini wao.
Ila wapo watumiavyo vibaya majukwaa ya kiimani kwa kujijenga kisiasa, kiuchumi na hata kujisafisha kijamii.
BRAINWASHING.
• kila siku tunasikia habari za watu kujitoa mhanga na kuwaua watu wasio na hatia. Kwa kile kwamba watafika Mbinguni moja kwa moja.
Je ni sahihi kuua binadamu mwenzako aliyeumbwa ili ufike mbinguni?!
•Pia tunasikia habari za watu kuhama hama nyumba zao za ibada kwa kile cha kutafuta “Muujiza”.
JE tumekua na desturi ya kumtafuta Mwenyezi Mungu ama kutafuta Muujiza?!
•Tunaabudu watu badala ya kuwa na Imani na kumjua huyu aliyetuumba kwa kuwa ana uwezo zaidi ya vyote hivyo.
Tumekua brainwashed kwa kufata mikumbo pasipo kuwa na misingi thabiti ya kiimani.
Ukweli uko wapi?
NINI KIFANYIKE.
~• somo la “Theology” lingepaswa kuanza fundishwa toka madarasa ya chini. Ili vijana waweze kujua misingi ya imani zao na za majirani.
Religion with Science ni watoto pacha wasioachana daima.
Tunakumbuka hapo kale Mnajimu “Galileo Galilei’ aliwahi fungwa na kanisa huko Italy kwa kupotosha jamii kuwa “Dunia ndiyo inayozunguka jua”.
Ilihali kanisa liliamini Jua ndilo linalozunguka dunia.[Nabii Eliya alisimamisha jua].
Lakini miaka mingi baadae walikuja kuamini maneno ya Mnajimu huyo kuwa ni ukweli.
~•Vitabu vingi va kiimani vinasema Dunia na Ulimwengu kwa ujumla viumbe hai wapo Duniani pekee.
Ila tunajua ya kwamba dunia na sayari zote pamoja na Jua, tupo kwenye sehemu ndogo ya Galaxy yetu.
Na zipo mamia ya Galaxy ulimwenguni zilizojaa sayari na Nyota zake Mamilioni.
Je tutakua selfish kusema “We are Alone”?!?
Maana ulimwengu ni Endless. Nini kipo huko tusipoweza fika?
Ukifatilia Documentaries nyingi utaona kuna kitabu cha “Book of Enoch” ambacho hakikuwekwa kwenye biblia.
Kitabu hiki kinazungumzia mambo yaliyotokea, na yajayo.
Kinaongelea wageni[watchers] walioshuka toka juu hapo zamani sana.na kinasema hao wageni “Annunakis” ndio waliwapa mbinu wamisri kujenga zile pyramids.
mimi na wewe hatuna budi kuujua ukweli. Tusiwe wasindikizaji.
Wanasema Vatican kuna the world biggest Library underground yenye historia za toka uumbaji wa dunia.
~•tusiwe watumwa wa imani zetu na kuanza kubaguana kisa imani.
Tujitambue, tujue chimbuko letu ni lipi.
Mostly mimi na wewe tupo na imani zetu hizi ambazo tuliaminishwa/rithishwa toka kwa wazazi wetu.
Iweje tuanze kubaguana?
Tuwe wadadisi kujua mambo kiundani. Tusiishi kwa Mazoea.
Ahsanteni.