Wakati mzozo wa kugombania visiwa vidogo katika ghuba ya Hormuz ukirindima kati ya mataifa mawili ya Iran na Falme za Kiarabu (UAE), Iran imeshtushwa na kitendo cha mshirika wake mkubwa Russia kuiunga mkono UAE katika mzozo huo.
Iran summons Russia’s envoy again over islands dispute with UAE
This is the second time the Russian envoy to Tehran is being summoned over the same issue.
www.aljazeera.com