Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 11,239
- 23,664
Mkuu umehoji kama shabiki wa mpira anayehoji Guede anafanya nini pale Yanga. Unaongelea wizara ya ulinzi ya Urusi.Mtu kama Shoigu anafanya nn pale Wizara ya Ulinzi??
Mkuu umehoji kama shabiki wa mpira anayehoji Guede anafanya nini pale Yanga. Unaongelea wizara ya ulinzi ya Urusi.Mtu kama Shoigu anafanya nn pale Wizara ya Ulinzi??
Hata wewe ukitaka kuwa platinum Member unalipia JF, wala siyo dili.
Mjinga yoyote pia anaweza kuwa platinum member.
Anapima tu upepo.Putin wenu nae muhuni tu! Maneno meeeengi kama mtoto wa kike. Mwanaume haongeagi sana ni vitendo tu.
Ndio maana Mimi nawakubaliga wayahudi hawaongei mara mbili😎
Hivi akili zenu huwa mnaziweka wapi?Anayo. Maajabu yake ni kwamba bado anazo zile akili za mwaka 47 na bado anajaribu kuzi-apply leo 2024. Hajiulizi imekuwaje hadi njemba zimepenya, zimeingia hadi kwenye ukumbi wa starehe, wakaweza kufanya walichofanya na kutoroka, ila tu ni kwa bahati mbaya katika hatua za mwisho walikamatwa baadhi na sio wote.
Hali ya ukrein sasa hivi unajua?Putin wenu nae muhuni tu! Maneno meeeengi kama mtoto wa kike. Mwanaume haongeagi sana ni vitendo tu.
Ndio maana Mimi nawakubaliga wayahudi hawaongei mara mbili😎
Hamna kituu...Nilishangaa kuona ila sasa Nina amini Mungu alisema nami 15 years back. Yakwamba vita kubwa ya Dunia inakuja na leo nashuhudia jambo Hilo.
Siandiki sana ila tusali jambo zito sana laweza ikumba Dunia na kuleta maafa makubwa kwa binadam. Ambayo hayajawahi tokea.
Wanausalama wamagharibi wanaimani jamaa atapotelea usingizini hivyo wanarefusha vita wakisubiri muda.
Jamaa anajuwa atazima na hana chakupoteza ameshakula maisha ila hataki kwenda pekeyake anatamani aondoke nakila anaye muhitaji ama kwahakika tusali.
Kuna mnyukano mkali waki intelligence kiasi Dunia muda wowote itasimama....😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤐🤐🤐🤐🤐
Wewe upo Ukraine au ndio wale wale wa kusimuliwa?Hali ya ukrein sasa hivi unajua?
Huko hakufai msidanganywe na propaganda za magharibi.
Wenzenu wapo jehanam
Kusimuliwa na nani?Wewe upo Ukraine au ndio wale wale wa kusimuliwa?
Mwaka wa ngapi huu Toka vita ianze??? Operation ya wiki Moja alisema lkn sasa ni mwaka wa 3 unaenda wa 4Hali ya ukrein sasa hivi unajua?
Huko hakufai msidanganywe na propaganda za magharibi.
Wenzenu wapo jehanam
Alisema wapi na lini kuwa ni operation ya wiki moja?Mwaka wa ngapi huu Toka vita ianze??? Operation ya wiki Moja alisema lkn sasa ni mwaka wa 3 unaenda wa 4
Source yake ni msikitiniNaomba source ya taarifa zako zinandikwa kimkakati sana propaganda nyingi