Hapo patam maana na wababe wenzake wapo tayar
Na akihutubia muda mfupi uliopita:
1. He is comfortable taking military action without UN authorisation
2. He is aware that most people in American prefer not to take military action, but he says that, it is impossible to resolve Syria's crisis without military action
3. He believes that he has authority to take military action without Congress approval, but let debate on it
Kazi ipo
Breaking news source : BBC
Obama anasema ameaisha aamua kushambulia serikali ya Syria kuiadhibu kwa kitendo cha kuua zaidi ya watu 1000 kwa silaha za sumu. anasema yupo confortable kupiga bila with or without support ya UN. Anasubiri congress.
Hawa jamaa mimi huwa nawakubali sana,kauli zao huwa hazipiti bure!Haya kumekucha! Naona jaluo katoka kutoa tamko kuwa US is going to take action in Syria.
Kama una ndugu au marafiki kule Syria waambie wafunge virago
hotuba yake nimeiskiliza imejaa woga,huenda wakashndwa kuivamia.hapa ndo namkubali Mh.bushi
BUSH aliishambulia IRAQ bila uhakika wowote wa kuwa na SILAHA za SUMU; Na Angalia DUNIA ilivyo sasa..
OBAMA anajua KATIBA ya MAREKANI lazima aifuate...
MABOMU sio suluhisho la AMANI ndio OBAMA anavyosema... BIG UP TO OBAMA...
HAPANA... No Strike na Anasubiri CONGRESS APPROVAL, Congress wanarudi Sept 9th 2013; Halafu wanatakiwa kujadili na CONGRESS na SENATE wapige kura kukubali au kukataa strike...
BUSH aliishambulia IRAQ bila uhakika wowote wa kuwa na SILAHA za SUMU; Na Angalia DUNIA ilivyo sasa..
OBAMA anajua KATIBA ya MAREKANI lazima aifuate...
MABOMU sio suluhisho la AMANI ndio OBAMA anavyosema... BIG UP TO OBAMA...
HAPANA... No Strike na Anasubiri CONGRESS APPROVAL, Congress wanarudi Sept 9th 2013; Halafu wanatakiwa kujadili na CONGRESS na SENATE wapige kura kukubali au kukataa strike...
Kwahiyo sio lazima WATAIPIGA MABOMU SYRIA...
KWAHIYO anasubiri Uhakiki toka kwa Wananchi wa Marekani...
Huyu Obama naye kapoteza dira
Nearly 80 percent of Americans believe President Barack Obama should receive congressional approval before using force in Syria, but the nation is divided over the scope of any potential strike, a new NBC News poll shows.
Fifty percent of Americans believe the U.S. should not intervene in the wake of suspected chemical weapons attacks by Syrian President Bashar al-Assad, according to the poll. But the public is more supportive of military action when it's limited to launching cruise missiles from U.S. naval ships - 50 percent favor that kind of intervention, while 44 percent oppose it.
Obama ana uwezo wa
kupiga hata bila ruhusa ya Congress. Kujifanya anataka ruhusa ni dalili
ya uwoga uliochanganyika na uwewesekaji.
Sidhani kama Congress watampa authorization ya kuvamia Syria hasa ukitilia maanani jinsi Congress ilivyomkwamisha katika agenda zake nyingi za awamu ya kwanza na ya pili pia. On top of that less than 30% of Americans support O's intentions. Tusubiri tuone.
Kwanini mkuu,Asad lazima avune alichopanda!Huyu Obama naye kapoteza dira
Huyu Obama naye kapoteza dira