Russia and Iran Warn Against Intervention in Syria

Russia and Iran Warn Against Intervention in Syria

Status
Not open for further replies.
Hivi wewe MaxShimba na Nonda mna nini??? kila mkikutana ktk thread mnaleta mambo yenu ya kushindania dini??
Mnafikiri dini ndio inayomuokoa mtu kwenda peponi?? Hii thread ni ya mgogoro wa Syria, anzisheni thread yenu ya kidini muiite Yesu Vs Mtume Mohammed

Jina lako limeshena Mkuu God-Listen, nategemea unaelewa na unamsikiliza mwenye haki ya hilo jina.

Kijana Nonda huwa yupo shuleni, nakaribia Kumbatiza, walahi, nikisha Mbatiza, huta niona hapa nikijibizana naye, maana yeye atakuwa Upande wa Yesu Mungu. Kwahiyo, tupeane Subira, yanakaribia kuisha.

Ngoja nijibu kwenye red bold. Yesu Kristo Ndie Njia ya kweli na Uzima, hivyo basi dini si mali kitu, lakini kwa Waislam wao wanafuata dini isiyo na hata uhai ndani yake. Kisa, eti ni mfumo wa Maisha, cha ajabu hata Allah wao ni Muislam, sasa NGOJA NIMUULIZE
Nonda, Hivi Allah anafuata Mfumo wa Maisha gani na kwanini Afuate mfumo wa maisha. Kumbuka Allah ni Muislam kama wewe Nonda, anaswali, anatawaza kama unavyo fanya wewe.


 
Wataalamu wa kuweka vizuizi wamefanya International forum ipotee. Hawataki hoja mbadala? Inawezekanaje majukwaa mingine yaepuke vizuizi na yafunguke isipokuwa Jukwaa la Kimataifa? Mods mnapiga usingizi au ni hujuma tu?


Nonda huyo, hivi dini si mambo ya International? Kwani Allah anaishi hapa duniani au anakwake ambako ndio More International zaidi ya Uarabuni?
 
.....
Nonda, Hivi Allah anafuata Mfumo wa Maisha gani na kwanini Afuate mfumo wa maisha. Kumbuka Allah ni Muislam kama wewe Nonda, anaswali, anatawaza kama unavyo fanya wewe.



Yesu myahudi "ni Mungu" wa Max anaswali:But Jesus often withdrew to lonely places and prayed.Luke 5:16 .'I am ascending (....), to my God and your God.'"John 20:17 "I can do nothing on my own authority; as I hear, I judge; and my judgment is just, because I seek not my own will but the will of him who sent me.John 5:30 . Pata usingizi hapa Who is the only true God? Is He the Father or the Triune God? . Max unaelewa maana ya uislamu?, muislamu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom