Russia and Iran Warn Against Intervention in Syria

Russia and Iran Warn Against Intervention in Syria

Status
Not open for further replies.
Alitakiwa akae kimya kuliko ku-draw red line. Nina imani kule congress majority ya kura zitakuwa NEY.
Kazi anayo
Hajapoteza chochote!

Marekani ana mkono katika mafuta ya Saudi Arabia hivyo amefanikiwa kupandisha bei ya mafuta, wengi wanahofia kuwa vita itasambaa hivyo bei ya mafuta ipo juu sasa.
 
Jamani mna uhakika gani Syria wametumia chemical weapons?US can fabricate a lot of stuffs na wana uwezo wa kuziweka hizo chemical weapons just to implicate Assad.Kama mnakumbuka Russia alisema rebels have been using chemical weapons and where did they get chemical weapons Kama hawajapewa na USA?Putin spoke today he said he wants the US to present the evidence of Assad regime using chemical weapons because he did not see the US Intelligence sources.Please wana jf we need to think out of the box just to figure OUT how the world is being run by the US,Lengo Lao ni moja tu one is to take back the oil business which they claim is theirs and second to sell their weapons (guns) in wars.Lakini tuone Kama atampiga syria,asikwambia mtu Russia anatisha kwa kumsupport syria na inasemekana Leo alimpelekea Assad weapons Za kujiandaa na vita.Hii dunia inaendeshwa kibabe sana inaumiza kweli.Hivi mnafahamu the US has been funding the al-quaeda terrorist just to create an islamic emirate in Syria,?Pia they have bn funding al quaeda in afghanistan?Acheni inauma dunia tuinavyo sivyo ilivyo.
 
 
Last edited by a moderator:
Mpaka leo sijaona mpango kamili wa kivita ndani ya Moscow au Beijing,

Ikiwa hali itakuwa kama walivyoahidi,

Mimi nitakuwa upande wa haki wa Urusi na Uchina,

Uvamizi wa mabeberu hawa wa USA na UK haukubali kabisa, silaha za maangamizi zimetumia na CIA kwa siri sana pale Syria tangu wezi wa sita, leo wanasema ni Serikali ya Syria,

Sasa tusubiri vita kuu ya Tatu ya Dunia,

Russia na China kumbuka walichimba mkwara Iraq, Afghanistan, na majuzi tu kule Libya. Hakukuwa na chochote walichokifanya zaidi ya kelele. Ni wanafiki sana
 
naomba aje atusaidie tumgoe huyu kagame,kwa kweli nina hasira naye acheni tu!!!!
ngriiii.

Hatuhitaji msaada kwa mtu yeyote kumng,oa kagame sisi wenyewe tunaweza tena jeshi kambi ya kagera tu ina mtosha.
 
Obama ana uwezo wa kupiga hata bila ruhusa ya Congress. Kujifanya anataka ruhusa ni dalili ya uwoga uliochanganyika na uwewesekaji.


Sio UOGA, anafuata HUMANITY.... lazima aonyeshe kuwa kweli walitumia silaha za SUMU...

Uoga wa nini wakati sio yeye anayepiga hayo Mabomu???
 
Jamani mna uhakika gani Syria wametumia chemical weapons?US can fabricate a lot of stuffs na wana uwezo wa kuziweka hizo chemical weapons just to implicate Assad

Hiyo ni kweli kabisa. Si unakumbuka hii....

 
Last edited by a moderator:
Lakini Bush alipata congressional approval na John Kerry (remember I voted for it before I voted against it?), Hilary Clinton, Joe Biden, na wengine walipiga kura za ndiyo kwenda Iraq.

Obama alipiga kura HAPANA...
 
Kumbuka the president can order the military action with or without congressional authorization. Clinton did. Reagan did

But OBAMA ni Constitutional LAW Educator; Na yeah Rais anaweza kufanya hivyo lakini YEYE anafuata SHERIA ndani ya KATIBA... Hataki ajiamulie chochote...

Ndio Maana pia alipinga Authorization walipompa BUSH kuvamia IRAQ
 
But OBAMA ni Constitutional LAW Educator; Na yeah Rais anaweza kufanya hivyo lakini YEYE anafuata SHERIA ndani ya KATIBA... Hataki ajiamulie chochote...

Ndio Maana pia alipinga Authorization walipompa BUSH kuvamia IRAQ

Obama alikuwa US Senator wakati Marekani inaenda vitani Iraq?
 
Obama alikuwa US Senator wakati Marekani inaenda vitani Iraq?

Hapana baada ya kuingia SENATE alikuwa anapiga kura kupinga IDHINI zozote za BUSH kutumia UNILATERAL POWER kama alivyotaka kuipiga Mabomu IRAN...

Na alikuwa anaashiria kweli PRES BUSH awe IMPREACHED...
 
Russia na China kumbuka walichimba mkwara Iraq, Afghanistan, na majuzi tu kule Libya. Hakukuwa na chochote walichokifanya zaidi ya kelele. Ni wanafiki sana

>Hawana lolote ni mkwara tu...
 
Nilichofikiri na chenye uhakika fulani, hata Obama mwenyewe akipewa wasaa wa kupiga kura kwenye senati lao, yani kura za siri jamaa atapiga NO.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom