Russia and Iran Warn Against Intervention in Syria

Russia and Iran Warn Against Intervention in Syria

Status
Not open for further replies.
Naamini sasa umejua kuwa hakuwa amechanganyikiwa
Mara nyingi watu wanaosema kweli huonekana hivyo
Sijui kuna uhusiano gani kati ya ukichaa na ukweli
Huenda tunaowaona ni vichaa wakawa sio
Au sisi tunajiogopa!!!!

nadhani huwa tunaogopa ukweli.binadamu we are always afraid of what will happen in future;Ila mimi lile neno nililihifadhi moyoni japo sikulipenda lakini now linanifanya nijue dunia inakokwenda and face it with confidence.
 
MIMI HATA SIELEWI. NI NANI ANAMUONEA MWENZIWE? HAKUNA JUSTIFICATION YA NCHI ZA MAGHARIBI KUINGILIA SYRIA,LAKINI PIA NI VIBAYA KWA WATAWALA KUWAUA WATU WAO. WAKATI AMBAPO UN IMEKUWA KIMYA NA HAKUNA INDEPENDENT SOURCE INAYOELEZA SUMU IMETUMIKA IMETOKA WAPI, PIA NI RAHISI KUONA HURUMA NA KUDHANI ASAAD ANAONEWA. PENGINE DAWA YA VITA SI VITA, LAKINI DAWA YA MGOGORO SI KUUA WATU (WALA SI KUTUMIA SUMU KANA KWAMBA UNAUA NZI AU PANYA. TETEA YOTE, BUT FOR SURE, VITA HIVI VYA KIRAIA SYRIA VINACHEFUA. =MpangoA;7190178]Tatizo unalinganisha nchi moja na kundi la nchi mbalimbali. Russia ni nchi moja, hao western unaosema ni UK, USA na France; sasa unamuingiza na Israel. Naamini Russia akiungana na Iran na China tu, hao Western lazima waamshe mikono juu. Hakuna vita Marekani anapigana peke yake hata kama ni ka nchi kadogo. Ebu angalia Libya, walienda wote kwa mpigo, USA, France na UK.

Ebu tuwape support Russia ili wamalize huu uonevu duniani. Yaani Marekani au Uingereza asipompenda kiongozi fulani basi wanafadhili wapinzani ili kupindua serikali yake. Kwa nini?[/QUOTE]
 
As has been expected since President Putin on 17 May ordered Russian military forces to “immediately move” from Local War to Regional War operational status and to be “fully prepared” to expand to Large-Scale War should either the US or EU enter into the Syrian Civil War, the Ministry of Foreign Affairs (MFA) is reporting today that thousands of Russian troops have been deployed in “full war mode” and that Israel is now a “major likely target” too.
According to this report, the “surprise alert exercise” Defense Minister Sergei Shoigu ordered last Thursday (24 May) for the Southern Military District involving four regiments of S-300 air defense systems troops combining 8,700 personnel, 185 warplanes and 240 armored vehicles are now positioned to enter into the Syrian War Zone “within hours” to begin offensive and defensive operations.
Even worse, this report continues, Foreign Intelligence Service (SVR) troops have likewise been ordered into the Syrian War Zone, including the much feared Zaslon Special Forces units, in order to prepare for the widening of this conflict into what could turn into World War III.
According to all global military experts, this report says, Russia’s Zaslon Special Forces are “so shadowy they make ninjas look like amateurs” and their introduction into this conflict has shifted the balance of power to the point where the European Union (EU) lifted their long standing arms embargo for the radical Islamic rebels (who just hours ago pleaded with the West for immediate weapons shipments) and US President Obama ordered his military commanders to quickly give him a no-fly plan for Syria.
rsz3.jpg

Even though Russia slammed the EU’s plan to arm these Islamic rebels, it also stated that it will not cancel plans to deliver its advanced S-300 air-defence system to Syria despite Western opposition, thus enraging Israel which earlier today threatened an attack on Russian forces attempting to move them into the conflict zone.
To how truly grim the situation has become for the Sunni-Western backed Islamic rebels attempting to overthrow the Assad regime was noted earlier today by a senior Israeli officer interviewed by the Debka File Intelligence News Service who put all these forebodings into words when he said: “A military and strategic catastrophe for the West and Israel is in full flight in Syria, and no one in Washington or Jerusalem is lifting a finger. Israel’s government and military heads never imagined that the Syrian war would take this turn. But we had better wake up at this eleventh hour – before it is too late.”
As we had previously reported about this conflict, the true intentions of this war are being kept from the Western peoples who mistakenly believe it is about “freedom and democracy,” but is, instead, a strategic plan to capture Syria, destroy its Shiite leadership, and then use its territory to build a massive natural gas pipeline from the Gulf States to the EU thus destroying Russia’s stranglehold on European energy supplies.
Qatar, which has the world’s biggest gasfield, has been working since 2009 to build their proposed pipeline through Syria to Turkey and has, in fact, turned the Syrian War into its own conflict, and as we can, in part, read as reported by the Financial Times News Service:
“In the shell-blasted areas of rebel-held Syria, few appear to be aware of the vast sums that Qatar has contributed – estimated by rebel and diplomatic sources to be about $1bn, but put by people close to the Qatar government at as much as $3bn.
However, a perception is taking root among growing numbers of Syrians that Qatar is using its financial muscle to develop networks of loyalty among rebels and set the stage for influence in a post-Assad era. “Qatar has a lot of money and buys everything with money, and it can put its fingerprints on it,” says a rebel officer from the northern province of Idlib interviewed by the FT.”
Also being kept from the Western peoples about this conflict are Russia’s true intentions and aims, and which were recently articulated by Fiona Hill who is senior fellow at the Brookings Institution and who said:
“…this is a prism that [Putin] brought to looking at most conflicts like the conflict in Syria that threaten the sanctity of a state. Mr. Putin actually came in to the presidency, if you can recall, back in ’99-2000 in Russia, just as the second war in Chechnya was starting off. And he saw that as his biggest challenge of keeping the Russian state together, so it didn’t fall down the same path as the Soviet Union into collapse. And Putin was really brutal in pursuing the war in Chechnya. Hundreds of thousands of people were killed in the whole course of the conflict, including many civilians.
The capital city of Grozny in Chechnya was reduced completely to rubble, and Putin thought this was worthwhile because it kept the state together. And over the course of the conflict in Chechnya it morphed in the same way that we’ve actually seen in the war in Syria. It went from a conflict that was mostly focused on political secession from, Chechnya from the Russian Federation, and over time, really took on more of an extremist element, more of Sunni extremist groups who moved in to exploit the conflict and also many people who came from outside, including from Syria, to fight in Chechnya.
And Putin is now pretty much concerned that we’re going to see a repetition, the collapse of the state in Syria, knock-on effect for conflicts at home for him as well as more broadly across the whole of the Middle East. And yet again, another collapse of the state, that is something that he would like to see avoided at all costs.
…these all add to Mr. Putin’s interest in Syria itself, but his overwhelming fear is of the collapse of the state. In addition, in fact, to the two elements that you’ve mentioned in terms of weapon sales and also access to this naval facility at Tartus, there’s also a quite sizeable Russian population, 30,000 people roughly, people who are married to Syrians. There’s also a Russian Orthodox Church interest in the Christian communities inside of Syria. And also, Assad did help Putin in the case of Chechnya.
He prevented a number of groups who were supporting the Chechens, including from a broader ethnic group in Syria that originated in the Russian North Caucasus from collecting money and sending recruits there. But overall, the biggest concern for Putin, having seen what happened in Libya with the fall of Gadhafi and the chaos that’s originated there, as he looks across the rest of the Middle East, he looks at Iraq, he looks at the prospects of Afghanistan after the U.S. withdrawal, he looks at what’s happening in Egypt and across North Africa now, Putin thinks this is just going to be yet another state collapse that’s going to have very negative knock-on effects for Russia, that has also, from his point of view, been battling with extremism now for several decades.
…it seems that their biggest concern is of the chemical weapons falling into the hands of the opposition, not that they would be actually used by Assad himself. Of course at this particular point, given what seems to be the inevitable collapse of the state structures, this has ratcheted to the top of our agenda, and I think we should be really pushing the Russians on what then they determine to do if there is evidence – there’s already been speculation about the use of chemical weapons, but if there is evidence there that chemical weapons have been used by either side.”
As Russia has moved its naval fleets into the Mediterranean to warn the West and Israel not to intervene in Syria’s bloody civil war, and as it prepares to send its most advanced S-300 missiles to protect the Assad regime from “hotheads” intent on intervention, there appears to be no letup in Western capitols as the push for all-out war from these bankster elites continues unabated.

Good article, but you will be disappointed in that Russia will never intervene on behlf of Syria. Whoever has followed Russia's attitude towards his friends in time of need, will soon discover that Russia cannot be trusted when it comes to fend off Western attacks. Syria can never be closer to Russia that Serbia, and is not as rich as Libya, both of which Russia had betrayed.
Syria's best friends and who will stand with her to the bitter end are Iran and Hizbollah. Russia has not even dared to deliver s-300 PMT to Syria and Iran because of fear of the West, though these are purely defensive weapons.
 
Cameron live on CNN stating his case for voting now
 
ACHA UONGO wewe, utakuwa kijana wa siku za hivi karibuni. Umelishwa Propaganda hadi hujielewi.

Hadi leo, bunduki pekee iliyouwa watu wengi duniani ni AK-47 - MRUSI. Hata NATO walii-copy.

Submarine ya kwanza inayotumia Atomic Energy ilikuwa ya USA, ila kwa leo hii mwenye dude kubwa ni Russia. Inavyokuja kwenye Missiles, Mrusi yupo mbali sana.

Ningelikubaliana na wewe ungelisema, USA wanashinda kwenye silaha nyingi ila siyo zote.

Wakati USA ana Bomu liitwalo "Mother of all Bombs -GBU-43/B Massive Ordnance Air Blast", Mrusi yeye analo la kwake linaitwa "Father of all Bombs - Aviation Thermobaric Bomb of Increased Power ". Vipi kuhusu TSAR Bomb?

Ila ukweli ni huu kwamba, RUSSIA na USA hawawezi kupigana. Ni MJINGA tu anaweza kufikiri hawa jamaa watapigana. Kwa miaka mingi wamekuwa wakigawana Pande mbili na kuwapa silaha ili wajaribie waone zinavyofanya kazi. Vita baridi ya dunia, hawa jamaa walikuwa wakishirikiana kwa nyanja nyingi sana. Imeshasemwa wazi kuwa hata APOLLO wakati inakwenda mwezini, Warusi walisaidia kuitengeneza.

Mrusi aliweka Space Station yake peke yake angani (MIR) na USA akashindwa. Walipotaka kuweka ya Kimataifa, ilibidi wamuombe Mrusi awasaidie kwa kuwa ndiyo mtu pekee alikuwa na uzoefu huo. Hata kukitokea Vita kati ya USA vs sijui nani, Mrusi atashika upande wa USA, na hivyo hivyo kwa Russia. Ni Mabest sana hawa jamaa na msifuate wanavyozuga kwenye TV. Hata kabla ya uchaguzi, Microphone ilimnasa Obama akimwambia Kigogo wa Russia "Mwambie President, uchaguzi ukiisha, nitakuja tutete..."
siku zote silaha za russia huwa zinashindwa kwa silaha za marekeni na magaribi. hicho ni kitu ambacho huwa kinaikera sana russia, hivyo wala msihangaike, russia haiwezi kushindana na west hata siku moja. especially hapo ulipogusa kuhusiana na israel.
 
ulicho andika nilikisikia kutoka kwa mchungaji mmoja ivi mwaka 2000 nikadhani amechanganyikiwa hasa aliposema nchi zote za kiarabu zinazopinga marekani zitaangushwa moja baada ya nyingine;nikajua that will never happen BUT after Iraq,Afghanistan,libya,Egypty-ambazo wanatudanganya ni nguvu ya umma ilo la Syria na Iran its just a matter of time

Kwa wale wayajuayo maandiko ya Mungu wanaelewa vizuri Haya yanayotokea sasa duniani! Bado Irani! Na pia niseme Haya mambo tuwe tunayaangalia kwa sura mbili, Katika maandiko ya Mungu na kisiasa! Hapo ndipo tutajua ukweli!
 
Russia isije ikajiaibisha kwa nchi za magharibi,ilishindwa siku zile ikiwa kwenye umoja wa kisoviet itaweza sasahivi? Silaha zake hazijawahi kufanya vizuri kwenye vita mf. Iraq,Libya na Afghanistan.Ngoja uone taifa teule la mungu Israel litakacho kifanya likishirikiana na washirika wake.
 
Syria ya Assad LAZIMA WAPEWE KIBANO


"ALLAH IS NOT GOD." -Aswad Band
"Allah is the only true God",- Jesus

Yesu Kristo ni Mungu - MaxShimba

Here it is: Jesus is Allah according to the Koran
Jesus of Nazareth was a man accredited by God to you by miracles, wonders and signs, which God did among you through him, as you yourselves know.Acts 2:22 Bofya hapa Surat 'Ali `Imran [3:49] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

Link Surat 'Ali `Imran [3:47] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'John 20:17
Indeed, Allah is my Lord and your Lord, so worship Him. That is the straight path." Quran 3:51
Link Surat 'Ali `Imran [3:51] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.John 17:3


British MPs vote against possible military action against Syria to deter the use of chemical weapons
link BBC News - David Cameron loses Syria vote in Commons
 
"ALLAH IS NOT GOD." -Aswad Band
"Allah is the only true God",- Jesus

Yesu Kristo ni Mungu - MaxShimba


Jesus of Nazareth was a man accredited by God to you by miracles, wonders and signs, which God did among you through him, as you yourselves know.Acts 2:22 Bofya hapa Surat 'Ali `Imran [3:49] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

Link Surat 'Ali `Imran [3:47] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'John 20:17
Indeed, Allah is my Lord and your Lord, so worship Him. That is the straight path." Quran 3:51
Link Surat 'Ali `Imran [3:51] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.John 17:3


British MPs vote against possible military action against Syria to deter the use of chemical weapons
link BBC News - David Cameron loses Syria vote in Commons

Unaleta Ushaidi wa Koran ILIYO SHINDWA kutupa tarehe ya kuzaliwa Isa Bin Maryam?!! Nonda, what is happening man?

Hivi Allah alisha kujibu kuhusu hii issue ya tarehe ya kuzaliwa Isa wa Islam?
 
Safi sana Bunge la Uingereza limekataa majeshi yake kuivamia Syria! Kazi kwako Mpenda vita US!
 
The French president has said a vote by UK MPs against involvement in military strikes on Syria has not changed France's resolve to take firm action.

Francois Hollande said all options were being considered, and that a strike within days was not ruled out.

His comments came after US Defence Secretary Chuck Hagel said Washington would continue to seek a coalition for possible military action
BBC News - France's Hollande backs US on Syria action
 
Unajua kuna vitu vinaandikwa hapa vinauzunisha kweli. Kwa hiyo wewe unaona ni sawa kwa Assad kutumia gesi dhidi ya wananchi wake? Na unataka Russia aendelee kumtetea huyu mtu. Fikiria, kama ingekuwa ndio ndugu zako wale, would you still support Assad? Chuki zetu dhidi ya Marekani zisitufanye tushindwe kuona uovu.

Ndugu una uhakika gani kuwa ni majeshi ya serikali ya Syria yaliyoshambulia kwa gesi? Je unafahamu kuwa mchunguzi Carla de Ponte wa Umoja wa Mataifa (UN) alichunguza na kutoa taarifa UN aligundua kuwa waasi waliwahi kutumia silaha za sumu mwezi wa nne (April) mwaka huu? Mbona hawajachukuliwa hatua mpaka sasa? Na je kwanini wasiwe haohao waasi waliozoea kuzitumia? Usiwe unakubali tu kila kinachosemwa na nchi za Magharibi.

Mbona maghafibi walifadhili waasi huko Libya, na walipoona rais Gaddafi anawachapa vitani wakamvamia wenyewe, kumpindua na kumuua.

Na Syria pattern ni hiyohiyo. Wamewapa waasi silaha za magharibi ambazo zinanunuliwa na nchi zisizo na demokrasia (za kifalme) za ghuba. Nchi za magharibi wanakunja pesa na kutoa silaha zinazopenyezwa Syria kupitia mpaka na Uturuki.
Sasa wanaona kuwa waasi hawawezi kuipindua serikali ya Syria kwa kutumia nguvu ndio maana wanatafuta kisingizio cha kuivamia.
 
ACHA UONGO wewe, utakuwa kijana wa siku za hivi karibuni. Umelishwa Propaganda hadi hujielewi.

Hadi leo, bunduki pekee iliyouwa watu wengi duniani ni AK-47 - MRUSI. Hata NATO walii-copy.

Submarine ya kwanza inayotumia Atomic Energy ilikuwa ya USA, ila kwa leo hii mwenye dude kubwa ni Russia. Inavyokuja kwenye Missiles, Mrusi yupo mbali sana.

Ningelikubaliana na wewe ungelisema, USA wanashinda kwenye silaha nyingi ila siyo zote.

Wakati USA ana Bomu liitwalo "Mother of all Bombs -GBU-43/B Massive Ordnance Air Blast", Mrusi yeye analo la kwake linaitwa "Father of all Bombs - Aviation Thermobaric Bomb of Increased Power ". Vipi kuhusu TSAR Bomb?

Ila ukweli ni huu kwamba, RUSSIA na USA hawawezi kupigana. Ni MJINGA tu anaweza kufikiri hawa jamaa watapigana. Kwa miaka mingi wamekuwa wakigawana Pande mbili na kuwapa silaha ili wajaribie waone zinavyofanya kazi. Vita baridi ya dunia, hawa jamaa walikuwa wakishirikiana kwa nyanja nyingi sana. Imeshasemwa wazi kuwa hata APOLLO wakati inakwenda mwezini, Warusi walisaidia kuitengeneza.

Mrusi aliweka Space Station yake peke yake angani (MIR) na USA akashindwa. Walipotaka kuweka ya Kimataifa, ilibidi wamuombe Mrusi awasaidie kwa kuwa ndiyo mtu pekee alikuwa na uzoefu huo. Hata kukitokea Vita kati ya USA vs sijui nani, Mrusi atashika upande wa USA, na hivyo hivyo kwa Russia. Ni Mabest sana hawa jamaa na msifuate wanavyozuga kwenye TV. Hata kabla ya uchaguzi, Microphone ilimnasa Obama akimwambia Kigogo wa Russia "Mwambie President, uchaguzi ukiisha, nitakuja tutete..."


Una ushahidi gani wa haya usemayo?

Hebu ulete hapa huo ushahidi kama unao!!!
 
[h=3]U.N. inspectors start leaving Syria; Obama meets with security team[/h](CNN) -- U.N. inspectors began leaving Syria on Friday as U.S. President Barack Obama met with his national security team ahead of the expected release of an intelligence report that blames Syria's government for last week's chemical weapons attack. The coinciding developments came amid continuing U.S. signals of a possible military attack on Syria in response to last week's suspected poison gassing that reportedly killed hundreds of people in suburban Damascus.
Both friends and foes of the United States are demanding proof that the regime of Syrian President Bashar al-Assad gassed its own people, and the intelligence report, as well as the U.N. inspectors, were expected to provide more details as Washington tries to build an international coalition for a military response.
However, diplomatic and political developments this week raised the chances of the United States going it alone.

Source
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom