Russia hawaiwezi america tu peke yake then ukombaini na ulaya ,are you insane you people?vita kuu yapili ya dunia ujerumani peke yake iliichimbisha iwe ulaya yote?
Russia na marekani kuwa kwenye direct military confrotational maana yake ndo mwisho wa dunia.kuna kitu wanaita MAD(Mutual Assured Destruction),hiki google ila kwa ufupi ni kuwa endapo wanapambana kijeshi hakuna kitu kitabaki salama kati yao,ndo maana wanaepuka kabisa hali hiyo na kutumia proxy.
Russia wako na balistic missile ambazo zina warhead kama 10 pamoja na decoy juu makombora kama SATAN ICBM ambazo airdefence ya amerika kama Patriot PAC-3,THAAD,AEGIES etc haziwezi zuia.
America nao wako na fifth generation warplane kama F22 JOINTSTRIKE ,B1-steathbomber,pamoja na makombora ya MINUTEMAN,ambayo si mchezo ingawa mrussia anatambia airdefence system zake kama S-300,S-400.
Pia hizi nchi ziko na advantage ya secondstrike,kwamaana kwamba iwapo mfano russia au marekani ikateketezwa na kuharibia uwezo wa kucounter attack,basi ziko submarine za mrussia karibu na pwani ya marekani zikiwa ni nuclear sub zenye uwezo wa kulaunch makombora kupiga ndani ya amerika(SLBM)na hivyohivyo marekani wako na sub karibu na russia kwa tukio kama hilo.
America wao wako na advantage ya uwezo mkubwa wa logistic,kwamaana uwezo wao wa kuproject force ni mkubwa sababu ina aircraftcarrier 11,wakati russia wanayo moja,but who need many aircraft carrier when it come to a military showdown between america and russia while Intercontinental ballistic missile with nuclear warhead can do the job.