Russia and Iran Warn Against Intervention in Syria

Russia and Iran Warn Against Intervention in Syria

Status
Not open for further replies.
Aisee najisikia niko uchi kabisa kwa kuwa kutokuwa na nguvu yeyote duniani. Yaani hawa jamaa wameifanya nchi ya wenzao kiwanja chao cha vita!!!!
 
Syria goes hot,mambo yanazidi kucottonfire baada ya puttin kuagiza mashambulizi dhidi ya saud iwapo syria itashambuliwa.
Farsnews
 
Hivi kule Iraq zie sirahah za maangamizi zilionekana?[/QUO
Waliziona Bush na Tony Brea na yule aliekua mhariri wa BBC aliejiua baada ya kuona bunge la uingereza linataka kumuweka kiti moto! Wanafiki wakubwa Hawa na Obama na yeye hafai kabisa! Ndo maana anahubiri ushoga duniani!
 
Mkuu nakubaliana na wewe kuwa mchina amebadilika na kwasasa yupo kimaslahi zaidi.Lakini kamwe usitegemee China anaweza kumgeuka Mrusi na kujiunga na westerners wakati mpaka sasa asilimia kubwa ya technolojia ya silaha za kivita anategemea toka kwa mrusi na kama isitoshe vikosi vya jeshi vya china na urusi mara kwa mara wanafanya joint military training. Mpaka sasa ninapoongea chochote asemacho Mrusi mchina daima hufuata na China akisema chochote kuiambia Dunia Mrusi anaunga mkono mara moja. Kusema Mchina ajiunge na westerners katika suala la Syria ni sawa na kusema U.K ajitenge na U.S.A


Mkuu naungana na wewe, China pamoja na kua kimaslahi zaidi siku hizi lakini ilia awe super power wa dunia ni mpaka marekani aanguke, adui yake mkubwa ni US. Katika mgogoro kama huo hawezi kua upande wa mtu unaetaka aanguke.
 
Hizi zote ni shere!
kila nchi inaangalia maslahi yake.Kama mrusi aliruhusu Iraq na Libya zikapigwa then hana jipya,coz mwisho wa siku THEY ALL DONT HAVE PERMANENT FRIEND/ENEMY
 
Hizi zote ni shere!
kila nchi inaangalia maslahi yake.Kama mrusi aliruhusu Iraq na Libya zikapigwa then hana jipya,coz mwisho wa siku THEY ALL DONT HAVE PERMANENT FRIEND/ENEMY

Hata Yugoslavia iliyokuwa na teknlogia ya kirusi na ambayo iko jirani zaidi na Russia ilipigwa kwa zaidi ya siku 78 mrusi akiwa anabweka tu kama mbwa asiyeweza kumsaidia mwanawe
 
Putin tunahitaji vitendo na
Si maneno tu! Kama umeamua kuisaidia Syria isaidie kwa vitendo!
Tunaitaji usawa duniani na Si mataifa mengine kuingilia uhuru na kuzitoa
madarakani tawara halali za nchi nyingine! Marekani na Ulaya ni
wanyonyaji na wakandamizaji wakubwa!

kwa taarifa ya bbc ya leo mchana nikuwa tayari mrusi amepeleka nyambizi 2 za kivita.
 
[h=2]Pike's Letter to Mazzini[/h] It is a commonly believed fallacy that for a short time, the Pike letter to Mazzini was on display in the British Museum Library in London, and it was copied by William Guy Carr, former Intelligence Officer in the Royal Canadian Navy. The British Library has confirmed in writing to me that such a document has never been in their possession. Furthermore, in Carr's book, Satan, Prince of this World, Carr includes the following footnote:
"The Keeper of Manuscripts recently informed the author that this letter is NOT catalogued in the British Museum Library. It seems strange that a man of Cardinal Rodriguez's knowledge should have said that it WAS in 1925".
It appears that Carr learned about this letter from Cardinal Caro y Rodriguez of Santiago, Chile, who wrote The Mystery of Freemasonry Unveiled.
To date, no conclusive proof exists to show that this letter was ever written. Nevertheless, the letter is widely quoted and the topic of much discussion.
Following are apparently extracts of the letter, showing how Three World Wars have been planned for many generations.
"The First World War must be brought about in order to permit the Illuminati to overthrow the power of the Czars in Russia and of making that country a fortress of atheistic Communism. The divergences caused by the "agentur" (agents) of the Illuminati between the British and Germanic Empires will be used to foment this war. At the end of the war, Communism will be built and used in order to destroy the other governments and in order to weaken the religions." [SUP]2[/SUP]
Students of history will recognize that the political alliances of England on one side and Germany on the other, forged between 1871 and 1898 by Otto von Bismarck, co-conspirator of Albert Pike, were instrumental in bringing about the First World War.
"The Second World War must be fomented by taking advantage of the differences between the Fascists and the political Zionists. This war must be brought about so that Nazism is destroyed and that the political Zionism be strong enough to institute a sovereign state of Israel in Palestine. During the Second World War, International Communism must become strong enough in order to balance Christendom, which would be then restrained and held in check until the time when we would need it for the final social cataclysm." [SUP]3[/SUP]
After this Second World War, Communism was made strong enough to begin taking over weaker governments. In 1945, at the Potsdam Conference between Truman, Churchill, and Stalin, a large portion of Europe was simply handed over to Russia, and on the other side of the world, the aftermath of the war with Japan helped to sweep the tide of Communism into China.
(Readers who argue that the terms Nazism and Zionism were not known in 1871 should remember that the Illuminati invented both these movements. In addition, Communism as an ideology, and as a coined phrase, originates in France during the Revolution. In 1785, Restif coined the phrase four years before revolution broke out. Restif and Babeuf, in turn, were influenced by Rousseau - as was the most famous conspirator of them all, Adam Weishaupt.)
"The Third World War must be fomented by taking advantage of the differences caused by the "agentur" of the "Illuminati" between the political Zionists and the leaders of Islamic World. The war must be conducted in such a way that Islam (the Moslem Arabic World) and political Zionism (the State of Israel) mutually destroy each other. Meanwhile the other nations, once more divided on this issue will be constrained to fight to the point of complete physical, moral, spiritual and economical exhaustion…We shall unleash the Nihilists and the atheists, and we shall provoke a formidable social cataclysm which in all its horror will show clearly to the nations the effect of absolute atheism, origin of savagery and of the most bloody turmoil. Then everywhere, the citizens, obliged to defend themselves against the world minority of revolutionaries, will exterminate those destroyers of civilization, and the multitude, disillusioned with Christianity, whose deistic spirits will from that moment be without compass or direction, anxious for an ideal, but without knowing where to render its adoration, will receive the true light through the universal manifestation of the pure doctrine of Lucifer, brought finally out in the public view. This manifestation will result from the general reactionary movement which will follow the destruction of Christianity and atheism, both conquered and exterminated at the same time." [SUP]4[/SUP]
Since the terrorist attacks of Sept 11, 2001, world events, and in particular in the Middle East, show a growing unrest and instability between Modern Zionism and the Arabic World. This is completely in line with the call for a Third World War to be fought between the two, and their allies on both sides. This Third World War is still to come, and recent events show us that it is not far off.
 
Hata Yugoslavia iliyokuwa na teknlogia ya kirusi na ambayo iko jirani zaidi na Russia ilipigwa kwa zaidi ya siku 78 mrusi akiwa anabweka tu kama mbwa asiyeweza kumsaidia mwanawe

kweli kabisa mkuu;Tatizo tunasahau dunia ya sasa imebadilika,Urusi alikua mtetezi wa wanyonge(sociolist)karne ya 20 na sio sasa.bottom line is no country can save the destiny of other nation.mwisho wa siku tumeshuhudi izo nchi zikibaki zenyewe japo zilikua na marafiki lukuki kama Iraq,Libya,yugoslavia etc
 
Pike's Letter to Mazzini

It is a commonly believed fallacy that for a short time, the Pike letter to Mazzini was on display in the British Museum Library in London, and it was copied by William Guy Carr, former Intelligence Officer in the Royal Canadian Navy. The British Library has confirmed in writing to me that such a document has never been in their possession. Furthermore, in Carr's book, Satan, Prince of this World, Carr includes the following footnote:
"The Keeper of Manuscripts recently informed the author that this letter is NOT catalogued in the British Museum Library. It seems strange that a man of Cardinal Rodriguez's knowledge should have said that it WAS in 1925".
It appears that Carr learned about this letter from Cardinal Caro y Rodriguez of Santiago, Chile, who wrote The Mystery of Freemasonry Unveiled.
To date, no conclusive proof exists to show that this letter was ever written. Nevertheless, the letter is widely quoted and the topic of much discussion.
Following are apparently extracts of the letter, showing how Three World Wars have been planned for many generations.
"The First World War must be brought about in order to permit the Illuminati to overthrow the power of the Czars in Russia and of making that country a fortress of atheistic Communism. The divergences caused by the "agentur" (agents) of the Illuminati between the British and Germanic Empires will be used to foment this war. At the end of the war, Communism will be built and used in order to destroy the other governments and in order to weaken the religions." [SUP]2[/SUP]
Students of history will recognize that the political alliances of England on one side and Germany on the other, forged between 1871 and 1898 by Otto von Bismarck, co-conspirator of Albert Pike, were instrumental in bringing about the First World War.
"The Second World War must be fomented by taking advantage of the differences between the Fascists and the political Zionists. This war must be brought about so that Nazism is destroyed and that the political Zionism be strong enough to institute a sovereign state of Israel in Palestine. During the Second World War, International Communism must become strong enough in order to balance Christendom, which would be then restrained and held in check until the time when we would need it for the final social cataclysm." [SUP]3[/SUP]
After this Second World War, Communism was made strong enough to begin taking over weaker governments. In 1945, at the Potsdam Conference between Truman, Churchill, and Stalin, a large portion of Europe was simply handed over to Russia, and on the other side of the world, the aftermath of the war with Japan helped to sweep the tide of Communism into China.
(Readers who argue that the terms Nazism and Zionism were not known in 1871 should remember that the Illuminati invented both these movements. In addition, Communism as an ideology, and as a coined phrase, originates in France during the Revolution. In 1785, Restif coined the phrase four years before revolution broke out. Restif and Babeuf, in turn, were influenced by Rousseau - as was the most famous conspirator of them all, Adam Weishaupt.)
"The Third World War must be fomented by taking advantage of the differences caused by the "agentur" of the "Illuminati" between the political Zionists and the leaders of Islamic World. The war must be conducted in such a way that Islam (the Moslem Arabic World) and political Zionism (the State of Israel) mutually destroy each other. Meanwhile the other nations, once more divided on this issue will be constrained to fight to the point of complete physical, moral, spiritual and economical exhaustion…We shall unleash the Nihilists and the atheists, and we shall provoke a formidable social cataclysm which in all its horror will show clearly to the nations the effect of absolute atheism, origin of savagery and of the most bloody turmoil. Then everywhere, the citizens, obliged to defend themselves against the world minority of revolutionaries, will exterminate those destroyers of civilization, and the multitude, disillusioned with Christianity, whose deistic spirits will from that moment be without compass or direction, anxious for an ideal, but without knowing where to render its adoration, will receive the true light through the universal manifestation of the pure doctrine of Lucifer, brought finally out in the public view. This manifestation will result from the general reactionary movement which will follow the destruction of Christianity and atheism, both conquered and exterminated at the same time." [SUP]4[/SUP]
Since the terrorist attacks of Sept 11, 2001, world events, and in particular in the Middle East, show a growing unrest and instability between Modern Zionism and the Arabic World. This is completely in line with the call for a Third World War to be fought between the two, and their allies on both sides. This Third World War is still to come, and recent events show us that it is not far off.

ulicho andika nilikisikia kutoka kwa mchungaji mmoja ivi mwaka 2000 nikadhani amechanganyikiwa hasa aliposema nchi zote za kiarabu zinazopinga marekani zitaangushwa moja baada ya nyingine;nikajua that will never happen BUT after Iraq,Afghanistan,libya,Egypty-ambazo wanatudanganya ni nguvu ya umma ilo la Syria na Iran its just a matter of time
 
kweli kabisa mkuu;Tatizo tunasahau dunia ya sasa imebadilika,Urusi alikua mtetezi wa wanyonge(sociolist)karne ya 20 na sio sasa.bottom line is no country can save the destiny of other nation.mwisho wa siku tumeshuhudi izo nchi zikibaki zenyewe japo zilikua na marafiki lukuki kama Iraq,Libya,yugoslavia etc

Mkuu umeongea kweli kabisa. Yugolavia ni ndugu wa karibu wa mrusi na mpaka lugha wanafanana. Lakini alikung'utwa huku mrusi anamuangalia. Sembuse Syria mtu wa mbaaali kabisa.
Hawa watu achana nao. Kuna kanchi kanaitwa Georgia kalimchokoza mrusi halafu kakajipendekeza kwa mmarekani ili akakingie kifua, Mrusi alikashughulikia wakati mmarekani anaangalia kama amejisahau.
 
ulicho andika nilikisikia kutoka kwa mchungaji mmoja ivi mwaka 2000 nikadhani amechanganyikiwa hasa aliposema nchi zote za kiarabu zinazopinga marekani zitaangushwa moja baada ya nyingine;nikajua that will never happen BUT after Iraq,Afghanistan,libya,Egypty-ambazo wanatudanganya ni nguvu ya umma ilo la Syria na Iran its just a matter of time

Naamini sasa umejua kuwa hakuwa amechanganyikiwa
Mara nyingi watu wanaosema kweli huonekana hivyo
Sijui kuna uhusiano gani kati ya ukichaa na ukweli
Huenda tunaowaona ni vichaa wakawa sio
Au sisi tunajiogopa!!!!
 
Mkuu umeongea kweli kabisa. Yugolavia ni ndugu wa karibu wa mrusi na mpaka lugha wanafanana. Lakini alikung'utwa huku mrusi anamuangalia. Sembuse Syria mtu wa mbaaali kabisa.
Hawa watu achana nao. Kuna kanchi kanaitwa Georgia kalimchokoza mrusi halafu kakajipendekeza kwa mmarekani ili akakingie kifua, Mrusi alikashughulikia wakati mmarekani anaangalia kama amejisahau.

na huo ndo ukweli;Russia na America kamwe hawawezi kuwa in direct confrotation.itabaki kuwa vita ya maneno na propaganda tuu ili kutupumbaza.Assad atapewa siraha na Mrusi lakini kamwe hawezi jiingiza vitani.Now Mrusi yuko bize kujenga uchumi wake baada ya kugundua kuwa na jeshi imara pekee hakumsaidii
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom