Rushwa ni halali Tanzania? Askari wa barabarani wanachukua rushwa bila kificho wala hofu

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,702
36,132
Habari wanakamati?

Naomba kuuliza kaswali kadogo tu.

Hivi nchi hii ya Tanzania rushwa si kosa tena? Polisi kwenye vituo vyao wako busy kuchukua rushwa bila haya. Barabarani pia wanachukua rushwa kwa bodaboda, watu wa bajaji na daladala kweupe.

Ukitaka kuhakikisha haya panda daladala ujionee. Traffic Police anasimamisha gari na wala halitazami gari alilolisimamisha zaidi ya ku negotiate na dereva au konda.

Kuna center moja hapa Dar traffic wana ratiba maalum. Wanaanza kupiga pesa kwenye daladala, kisha private car, kisha bajaji, halafu bodaboda na kumaliza na magari ya mizigo.
 
Habari wanakamati?

Naomba kuuliza kaswali kadogo tu.

Hivi nchi hii ya Tanzania rushwa si kosa tena? Polisi kwenye vituo vyao wako busy kuchukua rushwa bila haya. Barabarani pia wanachukua rushwa kwa bodaboda, watu wa bajaji na daladala kweupe.

Ukitaka kuhakikisha haya panda daladala ujionee. Traffic Police anasimamisha gari na wala halitazami gari alilolisimamisha zaidi ya ku negotiate na dereva au konda.

Kuna center moja hapa Dar traffic wana ratiba maalum. Wanaanza kupiga pesa kwenye daladala, kisha private car, kisha bajaji, halafu bodaboda na kumaliza na magari ya mizigo.
alafu wanapeleka kwa waliowapanga golini, usipo peleka unarusdishwa kikosi cha fidifosi.
 
Malamba mawili pale gari lina simamishwa, konda anamkimbilia trafic baada ya kuambiwa wa dereva mpe buku 2 abiria tunasubiri arudi safari inaendelea.
 
Habari wanakamati?

Naomba kuuliza kaswali kadogo tu.

Hivi nchi hii ya Tanzania rushwa si kosa tena? Polisi kwenye vituo vyao wako busy kuchukua rushwa bila haya. Barabarani pia wanachukua rushwa kwa bodaboda, watu wa bajaji na daladala kweupe.

Ukitaka kuhakikisha haya panda daladala ujionee. Traffic Police anasimamisha gari na wala halitazami gari alilolisimamisha zaidi ya ku negotiate na dereva au konda.

Kuna center moja hapa Dar traffic wana ratiba maalum. Wanaanza kupiga pesa kwenye daladala, kisha private car, kisha bajaji, halafu bodaboda na kumaliza na magari ya mizigo.

Hii nchi ni ya aina yake. Ndiyo hawa hapa:


Wako ki rasmi zaidi.
 
Habari wanakamati?

Naomba kuuliza kaswali kadogo tu.

Hivi nchi hii ya Tanzania rushwa si kosa tena? Polisi kwenye vituo vyao wako busy kuchukua rushwa bila haya. Barabarani pia wanachukua rushwa kwa bodaboda, watu wa bajaji na daladala kweupe.

Ukitaka kuhakikisha haya panda daladala ujionee. Traffic Police anasimamisha gari na wala halitazami gari alilolisimamisha zaidi ya ku negotiate na dereva au konda.

Kuna center moja hapa Dar traffic wana ratiba maalum. Wanaanza kupiga pesa kwenye daladala, kisha private car, kisha bajaji, halafu bodaboda na kumaliza na magari ya mizigo.
Hiyo haiwezi kuguswa kwa mgao wake unapanda ngazi mpaka juu kabisa. Takukuru walijua wala hujishughulisha nalo
 
Trafiki ni aibu! na sugu!! Kama mnasingiziwa njoni mkanushe hapa kwa wazi! Taja jina lako na kituo chako na picha yako kisha kanusha tuhuma hizi!!
 
Back
Top Bottom