A
Anonymous
Guest
Ukiniambia hapa hakuna mazingira ya RUSHWA BASI NASTAHILI KUWEKWA HOSPITALI YA AKILI MIREMBE.
Iko hivi:
Niliomba kupatiwa huduma ya umeme mara mbili na kupewa nambali hizi kama rejea ya maombi hayo 1. 2907220637 ambayo mpaka leo haijarejesha majibu na 2. ikawa 2112220335 ambayo nayo hadi sasa haina matokeo yoyote.
Surveyor mwenye namb ya simu 062.....80 aliyetumwa mara zote alitamka kuwa TANESCO INAANDAA MPANGO WA WATEJA WA REA WATACHANGIA AMA NGUZO AU WIRE jambo hili nilimwambia HALIKO KATIKA NCHI HII labda uniambie kitu kingine.
Niliwasiliana na TANESCO wakati ule kwenye ukurasa wa TWITTER na nikaambiwa eti Bado TANESCO haijapata miundo mbinu ya kupeleka umeme mahali ilipo nyumba yangu pamoja na kuwa meter 25 toka ilipo nyumba yangu ipo nguzo inayo-supply umeme kwa jirani.
KAMA maombi haya ni ya kutoka 2021 na hadi sasa hakujapatikana huduma ya umeme kwangu na si kuwa nanyimwa huduma ili nitoe MLUNGULA basi nitakuwa mgonjwa wa Mirembe.
Iko hivi:
Niliomba kupatiwa huduma ya umeme mara mbili na kupewa nambali hizi kama rejea ya maombi hayo 1. 2907220637 ambayo mpaka leo haijarejesha majibu na 2. ikawa 2112220335 ambayo nayo hadi sasa haina matokeo yoyote.
Surveyor mwenye namb ya simu 062.....80 aliyetumwa mara zote alitamka kuwa TANESCO INAANDAA MPANGO WA WATEJA WA REA WATACHANGIA AMA NGUZO AU WIRE jambo hili nilimwambia HALIKO KATIKA NCHI HII labda uniambie kitu kingine.
Niliwasiliana na TANESCO wakati ule kwenye ukurasa wa TWITTER na nikaambiwa eti Bado TANESCO haijapata miundo mbinu ya kupeleka umeme mahali ilipo nyumba yangu pamoja na kuwa meter 25 toka ilipo nyumba yangu ipo nguzo inayo-supply umeme kwa jirani.
KAMA maombi haya ni ya kutoka 2021 na hadi sasa hakujapatikana huduma ya umeme kwangu na si kuwa nanyimwa huduma ili nitoe MLUNGULA basi nitakuwa mgonjwa wa Mirembe.