Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,505
- 51,108
Vitu ambavyo ni roho ya Taifa vinapaswa viendelee kumilikiwa na Serikali. Serikali inaweza kuuza hisa chache tu kwenye vitu hivyo ili kuchota uzoefu wa Private sector na kugawa keki ya Taifa lakini vitu kama.
1. Miundo mbinu ya Maji
2. Umeme
3. Reli
4. Bandari
5. Benki kuu
Hivi inapaswa viendelee kumilikiwa na serikali kwa asilimia kubwa za hisa.
Hata hivyo kuhusu bandari ya Bagamoyo, Sote tunakubaliana ni bandari muhimu sana ila tunaweza kutofautiana namna ya Kuifund.
Nikija kwenye clip ya Mama Samia, bila shaka anazungumzia upanuzi wa bandari ya Dar es salaam, Maana hawezi kuzungumza upanuzi wa bandari ambayo haijaexist bado. Mama anataka badala ya kupanua kipande kimoja kimoja cha Bandari ya Dar, Basi tutafute fedha tuipanue kwa mpigo.
Tatizo ninaloliona kuna watu wamejipa kazi ya kufanya misinformation juu ya kazi za mama, wengine ni wafuasi wa Hayati Magufuli wanaodhani Legacy ya Magufuli itaonekana vizuri mama akifeli!
Kwa mizigo ipi? Acheni mambo ya hovyo. Mnasahau bandari za beila Na Mombasa. Unadhani tutawakosha ulajii? Tukipanua nao watapanuaMama hajashinikiza kujengwa kwa bandari ya bagamoyo. Kwanza clip unayo isema alikuwa anaongelea bandari ya Dar es Salaam. Hoja yake ilikuwa kwa nini tunaipanua kwa vipande vipande? Yeye anaona ni bora aipanue yote hata kama itabidi atumie fedha za wawekezaji.
Msingi wa hoja ya Rais uko kwenye kitu kinanacho itwa opportunity cost. Hoja ya mama iko hivi, kwa mfano sasa tunavyo jenga vipande vipande itatuchukua miaka 30 kumaliza. Je katika kipindi hiki cha miaka 30 tutakuwa tumepoteza kiasi gani. Je kwa mfano tukichukua mwekezaji akaweka hela sasa hivi...bandari ikapanuliwa yote..je tutakuwa tumepata faida kiasi gani au hasara kiasi gani baada ya miaka 30. Kupata jibu ni mpaka ufanye analysis nanuwe na data.
Tatizo kubwa ambalo naliona vichwani mwa watu wengi ni kuto elewa uchumi wa nchi unavyo endeshwa. Na pia mazoea ya kwamba bandari, reli ni lazima zijengwe na serikali ndo nchi itapata faida.
Nawahakikishia..tunaweza tuka binafisisha reli zote, barabara zote, bandari zote n.k na nchi ikawa na mapato ya kutosha zaidi na ika imarika zaidi.
Kazi ya serikali siyo ku run hizo tediuos processes...kazi ya serikali ni kukusanya kodi na kuzitumia katika huduma za jamii.
Tumewapa Airport hivyoHuu ujamaa sijui utatutoka lini... Yaani mawazo yetu ni kuwa kila mali lazima imilikiwe na serikali. Tubadilike!!
Private sector ikimiliki tatizo liko wapi. Cha muhimu ni Kuja na sheria na Taratibu nzuri za kupata kipato cheti.... Hata wakimiliki kwa miaka 100 ni sawa tu. Nchi kama RSA au USA utaikuta mpaka barabara zinaxomilikiwa na kampeni binafsi... Na mambo bado yanaendelea kama kawaida. Kitu kama hiki ni unthinkable Tanzania.
Watukopeshe hizo Hela zao tuwalipe Kwa faida watakayoipata. Patachimbika Magufuli ametuambia tunaibiwa. Air Tanzania Private Sector ikawa Chali, Reli Chali, Tanesco Chali, Dawasa Chali, Magufuli kafufua leo mnakuja Na Bandari. Tunasema Bandari ndio Jicho, watapitisha Siraha zitatumaliza kabisa.Mnayemuongelea ni mtu amefanya kazi mpaka mashirika ya kimataifa ukiacha kwamba amekuwa Waziri wa serikali yetu kwa muda plus Makamu wa Rais.
Ukiongelea hizi ishu za uwekezaji ana exposure kubwa kushinda wote humu mnaojinasibu kama wataalamu sana.
Nadhani yupo sahihi sana acheni wawekezaji waje, terms tutazinegotiate vizuri sababu mifano tumeshaona. Tusiwe na mawazo mgando
MamBandari ya Dar ni kama roho ya uchumi wa nchi, tukichomeka muwekezaji humo tunaweza kuja kujuta siku za usoni, tumeona madhara ya uwekezaji kwenye madini na viwanda tulivyo vibinafisha.
Tungejikita kujitegemeza wenyewe kwenye baadhi ya mambo hii ingetujengea kujiamini zaidi, hakuna kitu kibaya kama kujihisi hauwezi. Wantanzania tulishaanza kujiamini kwamba tunaweza, ila taratibu naona imani inaanza kutupungua.
Hakuna PP bandarini la sivyo CCM inaondoka Madarakani.Mama hajashinikiza kujengwa kwa bandari ya bagamoyo. Kwanza clip unayo isema alikuwa anaongelea bandari ya Dar es Salaam. Hoja yake ilikuwa kwa nini tunaipanua kwa vipande vipande? Yeye anaona ni bora aipanue yote hata kama itabidi atumie fedha za wawekezaji.
Msingi wa hoja ya Rais uko kwenye kitu kinanacho itwa opportunity cost. Hoja ya mama iko hivi, kwa mfano sasa tunavyo jenga vipande vipande itatuchukua miaka 30 kumaliza. Je katika kipindi hiki cha miaka 30 tutakuwa tumepoteza kiasi gani. Je kwa mfano tukichukua mwekezaji akaweka hela sasa hivi...bandari ikapanuliwa yote..je tutakuwa tumepata faida kiasi gani au hasara kiasi gani baada ya miaka 30. Kupata jibu ni mpaka ufanye analysis nanuwe na data.
Tatizo kubwa ambalo naliona vichwani mwa watu wengi ni kuto elewa uchumi wa nchi unavyo endeshwa. Na pia mazoea ya kwamba bandari, reli ni lazima zijengwe na serikali ndo nchi itapata faida.
Nawahakikishia..tunaweza tuka binafisisha reli zote, barabara zote, bandari zote n.k na nchi ikawa na mapato ya kutosha zaidi na ika imarika zaidi.
Kazi ya serikali siyo ku run hizo tediuos processes...kazi ya serikali ni kukusanya kodi na kuzitumia katika huduma za jamii.
Ndo maana yake au hizotea na Benki Kuu zisiwepo hamna wanachofanya ni maigizo tuKuna watu ni wajinga Sana.
Private sector sio shida, Ila si kila sehemu unaweza kuiachia private sector iendeshe. Nu sawa na leo useme TRA nayo tuwaachie private sector, Benki kuu na jeshi nayo tuwaachie private sector
Nyie ndio wale mnaosema hamkopi mnakomaa na maisha mpaka unazeeka hujakamilisha nyumba uliyoianza. Dunia imebadilika lazima twende na kasiKuna clip inaonyesha mama akipiga chapuo kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo Kwa PP.
Naomba kuuliza wanajamvi yafuatayo:
1. Kwanini njia pekee ya kujenga bandari ya Bagamoyo iwe ni Kwa ubia pekee? Kwanini tusijenge Kwa mtindo wa reli ya SGR?
2. Je, Kenya nayo ikapunua bandari na msumbiji? Na Congo Kwa njia ya Ubia Kwa huyu mtu huyu huyu akashindwa kupata Hela zake akakalia bandari Kwa miaka mingi Zaidi.
3. Inamaana hatujifunzi ya Kenya baada ya kuingia mkataba wa PP hawarusiwi kueneleza reli yoyote.
4. Haraka ya Serikalini ya awamu ya Sita Ni nini?
5. Tanzania haijawahi kunufaika Na mkataba wowote wa ubia toka NBCbank Reli, Maji, Umeme, Viwanda kila sehemu
Ndio shida yenu MATAGA, unakuwa hujui kitu , watu wenye uelewa wa jambo wana kuelewesha, hutaki kwakuwa umeshatafuna tango poli!!iko hivi hiyo bandari itajengwa kama hutaki kurishuhudia hilo likitokea mfuate Mwendazake!!si afadhari hata hii ya bagamoyo, kuna watu walipewa hata maelezo ya awali wa nini kinaenda kufanyika, kuna mradi wowote wa kwake ambao kuna mtu anajua, tangu tenda, hadi ujenzi wake na manufaa yake?Hizi fix zako umezitoa wapi?