Wizara ya ujenzi haijitambui

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,609
8,753
Tatizo la Wizara ya ujenzi imekuwa mapepe sana. Sasa wanataka kubinafishisha reli.

Je, pesa ya ujenzi itarudi vipi, matengenezo. Ni jitihada za kutengeneza mianya ya rushwa. Yaani Watanzania wanatengeneza reli kwa $10B halafu marafiki zao ndiyo wanunue vijibehewa na kuendesha kwa gharama ambazo wao ndiyo wanapanga. Waziri ni mwanasayansi kwanini kajiingiza kwenye biashara? ambazo hazijui?

Waziri kazania reli iishe badala ya kuanza kufikiria tumbo lako kila mara. Uwanja wa KIA walitaka kuleta ujanja janja hivi hivi, bandari mpaka leo mkataba hauoko wazi! ingawa walisema wataweka wazi bila sababu wameficha. Waziri kajaa fikra za rushwa na ujanja janja.

Nashauri huyu waziri ajilite kushughulikia reli ambayo muda wake wa ufunguzi kila siku wamekuwa wakihogwa na wenye mabasi kiasi kwamba hata Morogoro
Treni haiwezi kwenda


View: https://youtu.be/HXGOKwfvuA0?si=DmqwWxzTzO5SM4Cg

 
Tatizo la Wizara ya ujenzi imekuwa mapepe sana. Sasa wanataka kubinafishisha reli.

Je, pesa ya ujenzi itarudi vipi, matengenezo. Ni jitihada za kutengeneza mianya ya rushwa. Yaani Watanzania wanatengeneza reli kwa $10B halafu marafiki zao ndiyo wanunue vijibehewa na kuendesha kwa gharama ambazo wao ndiyo wanapanga. Waziri ni mwanasayansi kwanini kajiingiza kwenye biashara? ambazo hazijui?

Waziri kazania reli iishe badala ya kuanza kufikiria tumbo lako kila mara. Uwanja wa KIA walitaka kuleta ujanja janja hivi hivi, bandari mpaka leo mkataba hauoko wazi! ingawa walisema wataweka wazi bila sababu wameficha. Waziri kajaa fikra za rushwa na ujanja janja.

Nashauri huyu waziri ajilite kushughulikia reli ambayo muda wake wa ufunguzi kila siku wamekuwa wakihogwa na wenye mabasi kiasi kwamba hata Morogoro
Treni haiwezi kwenda

Tatizo la Wizara ya ujenzi imekuwa mapepe sana. Sasa wanataka kubinafishisha reli.

Je, pesa ya ujenzi itarudi vipi, matengenezo. Ni jitihada za kutengeneza mianya ya rushwa. Yaani Watanzania wanatengeneza reli kwa $10B halafu marafiki zao ndiyo wanunue vijibehewa na kuendesha kwa gharama ambazo wao ndiyo wanapanga. Waziri ni mwanasayansi kwanini kajiingiza kwenye biashara? ambazo hazijui?

Waziri kazania reli iishe badala ya kuanza kufikiria tumbo lako kila mara. Uwanja wa KIA walitaka kuleta ujanja janja hivi hivi, bandari mpaka leo mkataba hauoko wazi! ingawa walisema wataweka wazi bila sababu wameficha. Waziri kajaa fikra za rushwa na ujanja janja.

Nashauri huyu waziri ajilite kushughulikia reli ambayo muda wake wa ufunguzi kila siku wamekuwa wakihogwa na wenye mabasi kiasi kwamba hata Morogoro
Treni haiwezi kwenda
Wazanzibarì wameamua kuuza mali za Tanganyika kwa kupitia mlango wa CCM
 
Tatizo la Wizara ya ujenzi imekuwa mapepe sana. Sasa wanataka kubinafishisha reli.

Je, pesa ya ujenzi itarudi vipi, matengenezo. Ni jitihada za kutengeneza mianya ya rushwa. Yaani Watanzania wanatengeneza reli kwa $10B halafu marafiki zao ndiyo wanunue vijibehewa na kuendesha kwa gharama ambazo wao ndiyo wanapanga. Waziri ni mwanasayansi kwanini kajiingiza kwenye biashara? ambazo hazijui?

Waziri kazania reli iishe badala ya kuanza kufikiria tumbo lako kila mara. Uwanja wa KIA walitaka kuleta ujanja janja hivi hivi, bandari mpaka leo mkataba hauoko wazi! ingawa walisema wataweka wazi bila sababu wameficha. Waziri kajaa fikra za rushwa na ujanja janja.

Nashauri huyu waziri ajilite kushughulikia reli ambayo muda wake wa ufunguzi kila siku wamekuwa wakihogwa na wenye mabasi kiasi kwamba hata Morogoro
Treni haiwezi kwenda
Huyu jamaa anahadaa watu na kuzani Watanzania wote ni wajinga, ukiangalia kwenye ile IGA article-2 inasema jamaa wata manage na ku-operate strategic port infrastructure ambayo itakuwa ni hio SGR. Makame Mbarawa ameanza ku-trick watu lakinilengoni kumpa DPW, twende nao taratibu na kwa umakini sana kila kitu kitajulikana tu.
SGR-1.PNG
 
Tatizo la mizara ya ujenzi imekuwa mapepe sana. Sasa wanataka kubinafishisha reli. Je pesa ya ujenzi itarudi vipi, matengenezo. Ni jitihada za kutengeneza mianya ya rushwa. Yaani Watanzania wanatengeneza reli kwa $10B halafu marafiki zao ndiyo wanunue vijibehewa na kuendesha kwa gharama ambazo wao ndiyo wanapanga. Waziri ni mwanasayansi kwanini kajiingiza kwenye biashara? ambazo hazijui? Waziri kazania reli iishe badala ya kuanza kufikiria tumbo lako kila mara. Uwanja wa KIA walitaka kuleta ujanja janja hivi hivi, bandari mpaka leo mkataba hauoko wazi! ingawa walisema wataweka wazi bila sababu wameficha. Waziri kajaa fikra za rushwa na ujanja janja. Nashauri huyu waziri ajilite kushughulikia reli ambayo muda wake wa ufunguzi kila siku wamekuwa wakihogwa na wenye mabasi kiasi kwamba hata Morogoro
Treni haiwezi kwenda
Ubinafisishaji ni njia bora ya kuimarisha huduma, siyo vibaya kabisa kuhusisha sekta binafsi ktk uchumi. Shida unayopaswa kulia nayo ni hao akina ten percent ktk ubinafisishaji. Uzalendo wa viongozi wetu uko midomoni lakini wengi wao wapo kwa akili ya matumbo yao, marafiki zao wanaoweza kula nao, na chama chao ni nyenzo ya kuwaweka pale ili watafune vizuri wao pamoja na familia zao. Maslahi kwa umma ni msamiati wa kutafutia kura za kuwawezesha kula kwa kuwatumia wajinga wanaoitwa machawa.

Jifunze kupitia ufanisi duni wa mashirika au miradi iliyoendeshwa na serikali bila ubia.
 
Back
Top Bottom