Rushwa kushinikiza Bandari ya Bagamoyo: Nani anatoa Pesa?

Mimi Sina exposure?
Yes maana hujui hata majeshi siku hizi yanakuwa outsourced kwa makampuni binafsi.

Hujui kwamba kitu kama bandari kuendeshwa na private sector Serikali haitakuwa na information yoyote as if itaenda kulala na kuacha mambo yajiendee.

Ndugu zangu, eleweni kwamba hivyi vyombo vyote vinavyo endeshwa na serikali, kama vingeendeshwa na private sector vina uwezo wa kuzalisha zaidi ya mara mbili ya vinavyo zalisha sasa. Serikali ina urasimu na ni ngumu kuendesha kitu chochote kile kibiashara.

Ndo maana wenzetu walio endelea waliyaona haya mapema wakaamua private sector ndo iwe engine ya uchumi.

Najua wanasiasa wengi hawapendi hizi shughuli ziendeshwe na private sector kwa sababu ya masilahi yao. Watakuwa wajumbe wa board, watakuwa wajumbe wa kamati, watatembelea hayo mashirika na kujipatia mpunga. Private sector ikichukua hawatapata hizo nafasi.
 
Yes maana hujui hata majeshi siku hizi yanakuwa outsourced kwa makampuni binafsi.

Hujui kwamba kitu kama bandari kuendeshwa na private sector Serikali haitakuwa na information yoyote as if itaenda kulala na kuacha mambo yajiendee.

Ndugu zangu, eleweni kwamba hivyi vyombo vyote vinavyo endeshwa na serikali, kama vingeendeshwa na private sector vina uwezo wa kuzalisha zaidi ya mara mbili ya vinavyo zalisha sasa. Serikali ina urasimu na ni ngumu kuendesha kitu chochote kile kibiashara.

Ndo maana wenzetu walio endelea waliyaona haya mapema wakaamua private sector ndo iwe engine ya uchumi.

Najua wanasiasa wengi hawapendi hizi shughuli ziendeshwe na private sector kwa sababu ya masilahi yao. Watakuwa wajumbe wa board, watakuwa wajumbe wa kamati, watatembelea hayo mashirika na kujipatia mpunga. Private sector ikichukua hawatapata hizo nafasi.
Jeshi la nchi gani hiyo limekuwa outsourced?
 
Kifupi roho ya uchiy wa nchi ibinafishwe?, hopeless kabisa!
Marekani kule mashirika ya reli, bandari nyingi zaidi ukiachana na naval bases za kijeshi, mabenki yote ukiondoa Federal Reserve, mashirika yote ya ndege, makampuni yote ya kufua na kusambaza umeme, televisheni zote na redio na mambo mengine mengi yanamilikiwa na sekta binafsi.

Serikali yao inafanya kuwa na authority kama Federal Communications Commission, Food and Drug Administration, etc. Hata nchi nyingi zilizoendelea zinafanya hivi. Kama tunafurahia umasikini tuirudishie pia serikali mamlaka ya kuuza sukari kama kipindi cha Nyerere
 
Unaona ajabu ni kwa sababu ya mazoea. Nani amekwambia ikiwa private ownes haitaleta mapato? Haitajenga uchumi? May be inaweza kuwa faida zaidi kuliko sasa hivi. US karibia ports zote zinaendeshwa na makapuni binafsi tena mengine kutoka china na singapore.
Security strategies na tactics za nchi ni rahisi sana kuwa compromised endapo msingi mkuu wa kiuchumi na kisusalama wa nchi unapokuwa unamilikiwa na wabia kwa kiasi fulani. Hivi mnadhani Russia walikuwa wajinga kuwakubalia raia wa Crimea kujiunga nao!? Strategic location ni muhimu sana kwa nchi, hii ikiwa ni pamoja na maeneo ya bandari ama kavu ama mbichi/water bodies.
 
Tatizo sio private sector, tatizo ni aina ya sehemu ya kuwekeza. Kuna sehemu ni nyeti. Mfano; Bandari, TRA, Bank kuu sehemu Kama hizo huwezi kuachia private sector.
Pia kwa nchi zetu za kiafrica bado Sana kuweza kupataa mapato vizuri sehemu Kama hizo hata ukitumia private sectors, mfano Reli tuliwapa hao private sector lakini najua unajua kilichotokea
Mkuu kote huko Inawezekana. Kuna nchi nyingi tu benk kuu haimilikiwi na serikali. Hizo nchi ndio zenye uchumi wa juu. Inategemea tu una manage vipi. Hata huko bandari mwekezaji hawezi Kuja na vyombo vyake vya ulinzi, kwa hiyo kama ni usalama atategemea nchi.

Hivi nchi kama US ilivyo sensitive na usalama wake ulishawahi kusikia bandari yake inamilikiwa na serikali kuu....!!?
 
Je hakuna sehemu ambako mpango huu umefanya vizuri? Nadhani mfumo si tatizo, tatizo lipo kwenye terms. Mikata ya PPP yaweza kuwa ya aina tofauti..Build Operate Transfer, Build and Own etc.
Mtu akishaaweka pesa yake ya maana lazima umfanyie garantee ya kueleweka kwenye return. Yake hawezi kukuacha hivi hiiv

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Marekani kule mashirika ya reli, bandari nyingi zaidi ukiachana na naval bases za kijeshi, mabenki yote ukiondoa Federal Reserve, mashirika yote ya ndege, makampuni yote ya kufua na kusambaza umeme, televisheni zote na redio na mambo mengine mengi yanamilikiwa na sekta binafsi.
Texas wanategemea zaidi umeme wa nguvu ya upepo. Mwezi February kulikuwa na baridi kali sana, turbines zika-freeze, umeme ukawa wa mgao, lakini kutokana na regulations zao, hata baadhi walioupata bei ilikuwa juu sana kutokana na high demand. Ilikuwa kilio kwa wengi.

Nitakuwa mtu wa mwisho kushabikia sekta muhimu kama ya uzalishaji na ugawaji umeme au maji kupewa makampuni binafsi.
 
Texas wanategemea zaidi umeme wa nguvu ya upepo. Mwezi February kulikuwa na baridi kali sana, turbines zika-freeze, umeme ukawa wa mgao, lakini kutokana na regulations zao, hata baadhi walioupata bei ilikuwa juu sana kutokana na high demand. Ilikuwa kilio kwa wengi.

Nitakuwa mtu wa mwisho kushabikia sekta muhimu kama ya uzalishaji na ugawaji umeme au maji kupewa makampuni binafsi.
Kwahiyo kama umeme ungekuwa wa serikali freezing isingetokea ama unataka kusemaje.
 
Huyu mama kuna vitu anavikurupukia vibaya sana. Kama hana ufahamu mpana juu ya Jambo ni vyema akafuatilia kiundani yeye binafsi bila kushirikisha 'Wapambe' wenye kulenga maslahi yao binafsi. Tumuombee
Not sure if she even knows what her mission is.
 
Kuna watu ni wajinga Sana.
Private sector sio shida, Ila si kila sehemu unaweza kuiachia private sector iendeshe. Nu sawa na leo useme TRA nayo tuwaachie private sector, Benki kuu na jeshi nayo tuwaachie private sector
Kuna strategic investments for security considerations huwezi kuwaachia private sector especially kwa nchi kama yetu!! Ni ujinga usio kifani kufananisha what takes place in developed countries na sisi hapa kwetu!!!
 
Bei ya umeme ingekuwa ileile waliyokuwa wanalipia kabla ya janga kutokea.
Kama serikali ndio ingekuwa inaendesha mifumo ya kiuchumi isingeweza kuleta hata umeme huo wa gharama kubwa. Marekani ingekuwa maskini labda kuliko hata Mexico majirani zake wengine.

Majiji kama California yalikuwa kwa nguvu za watu, serikali ilikuja kwenda badae uko. Reli, bandari, usafiri, kilimo, usafirishaji vililetwa na wachimbaji binafsi wa dhahabu na havikuletwa na Federal government, wala state government haikuanzisha.
 
Serikali isifanye Biashara yenyewe ichukue kodi zake na matozo yake na magawio yake iyaingize kwenye kutoa huduma za jamii ya Watanzania

Wapigaji watapungua na Serikali itapata faida zake
 
Kwa hakika muda si mrefu tutajuta Sana daah Mungu tujalie uvumilivu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wacha wajenge mkuu, halafu aje atokee kichaa mmoja kama JPM (kasoro mambo kadhaa), afanye mambo yake kama ya Barrick.
Huyo 'kichaa' Mzalendo nitampa heshima yake.

Kikwete na haya magenge yake naona kapania kwelikweli kutuvuruga.
 
Huu ujamaa sijui utatutoka lini... Yaani mawazo yetu ni kuwa kila mali lazima imilikiwe na serikali. Tubadilike!!

Private sector ikimiliki tatizo liko wapi. Cha muhimu ni Kuja na sheria na Taratibu nzuri za kupata kipato cheti.... Hata wakimiliki kwa miaka 100 ni sawa tu. Nchi kama RSA au USA utaikuta mpaka barabara zinaxomilikiwa na kampeni binafsi... Na mambo bado yanaendelea kama kawaida. Kitu kama hiki ni unthinkable Tanzania.
Wewe hujui chochote kuhusu ujamaa wala ubepari, unajiimbia tu hapa kama kasuku!

Hiyo mifano ya nchi ulizoweka hapo ukiulizwa ueleze muundo wao wa mashirika hujui kitu, lakini unakuja hapa na kujifanya wewe ni mjuaji wa mambo yanayofanyika kwenye nchi hizo.

Kwa hiyo, na wewe unataka kuifanya Tanzania iwe USA..., kwa njia zipi?
 
Je hakuna sehemu ambako mpango huu umefanya vizuri? Nadhani mfumo si tatizo, tatizo lipo kwenye terms. Mikata ya PPP yaweza kuwa ya aina tofauti..Build Operate Transfer, Build and Own etc.
Key word, TERMS. Nadhani mengine yote ni ngonjera tu, kazi ya serikali iwe ni kukusanya kodi tu.
Ila makampuni ya Kichina huja na tricks nyingi pia huwa na backup ya serikali yao ambayo iko katika kutafuta kuwa influence sehemu mbali mbali duniani hivyo ni bora kuangalia makampuni yasiyo ya Kichina na wala yasiwe na connection na China.
 
Back
Top Bottom