Naamini kabisa kwamba hicho ulichoshuhudia ni sehemu ndogo sana ya rushwa inayoendeshwa na polisi barabarani.Hii ni aibu kwa askari wa usalama barabarani!
Kwa nilichokishuhudia leo eneo tajwa ni jambo la hatari!Askari wetu wa usalama barabarani wamegeuza pale ni km kitega uchumi wao.
Kuna dereva mmoja wa kinyaRwandwa tatizo ilikuwa ni kreki tena ndogo tu ya kioo amepigwa 20000!Hii ni hatari!
Kosa la kuelekezwa mtu anadai rushwa tena kwa amri;AIBU!Mgeni yule aliishia kufyonza na kutamka kwamba anamuachia Mungu.
Zaidi ya yote kwa mda wote niliosimamishwa pale tena kwa kosa la kuelekezwa kabisa nilishuhudia maovu mengi!Askari wetu wanachukua rushwa pale tena kwa kufosi na hatmae hupongezana kwa kugongeana 5!
Takukuru hebu tembeleeni eneo lile tena shirikianeni na madereva wale wa masafa marefu hakika mtashuhudia ujinga huu niusemao hapa.
Nanyi askari wetu hata km ni pesa ya kiwi pale mmezidi!
Nimempa trafic karatasi nimeikunja vizur nikamfinyia nikamwambia afande kamata kumi hiyo nawai wala hajakagua' mimi ndio mchezo wangu huo naandaa makaratas mekundu ndio naanza safar wakinipiga mkono nawawai kabla hawajaanza kukagua gari
Traffic wanakuwepo kwenye mzani ili kumuelekeza driver husika kuweka gari sawasawa inavyotakiwa kukaa kupimwa,madereva wengine ni wahuni{hasa hawa wa malori}huwa wanaichezesha gari jinsi wanavyojua wao yule msomaji wa weight mule ndani hawezi kujua kama chombo imechezezwa ama lah...pia mbele kidogo unapotoka ktk kila mzani unakuta kizuizi cha askari nadhani hawa ndiyo wanaozungumziwa hapa,nimesafiri leo kutoka Moshi to Dar nimeona live konda wa kike wa bus nililopanda akimkunjia askari elf10 japo sikuona mistake yoyote iliyofanywa na dereva ila kwanini alimpa?sijui!!Traffic wanahusika vipi na mizani?Labda tuanzie hapo
SawaSiyo kweli!
M/kiti wa CCM ndiye anayemteua IGP, Waziri wa wizara hiyo, Katibu Mkuu n.kEndapo una hoja ithibitishe ni kwa namna ipi hao polisi wanafungamana na CCM.
Ccm ndio chimbuko la rushwa, , na Mh. Mw/kiti wetu amesema tuwape hela ya kubrashia viatu hao askari,Endapo una hoja ithibitishe ni kwa namna ipi hao polisi wanafungamana na CCM.