kaazi kweli kweli...January Makamba anahusika kwa kuwa yeye ndio aliasisi utaratibu wa kuiingilia Wizara ya Madini na Nishati iliyokuwa chini ya Mhe Wiliama Ngeleja pamoja na menejimenti ya Tanesco na madudu haya yamefanyika wakati wa kipindi chake. Ikizingatiwa kuwa Mhando ni homeboy wa Makamba ililazimika Zitto ambaye ni rafiki yake January Makamba kimaslahi kubebeshwa zigo la kumtetea Mhando blindly. kama kweli Bunge limataka kujisafisha ni lazima uchunguzi huo umhusishe Janaury Makamba. Inafahamika kuwa wote wawili walikuwa katika mradi wa kutafuta fedha kwa ajili ya harakati za kugombea urais katika vyama vyao
vetting wapi?bongo?tena hata kusaidia haitasaidia,kwasababu pesa aliyoipata huko ndo imemsaidia kupata cheo kingine cha juu,kama wanavyosema,wengine wanakusanya kwa madaraka ya juu zaidi,wengine urais nk,tegemea na level yako.Ndo bongo hiyo yenye kuendeshwa kisanii,yani mabaya ya ubepari yakitekelezwa bila wasiwasi huku kwenye makaratasi ni ujamaa.Halafu ngoma inaenda tu kama kawa na watu wanajadili.Kuendelea kujadili haya mambo sometimes ni kumwunga mkono chizi na kucheza naye kwenye matope ukitegemea utaweza kumwondoa kwenye hilo tope kwa njia hiyo.Dawa ni kuanza upya,sioni kabisa ni kivipi tutaondoka kwenye haya matatizo kwa njia hizi.2015 is a most important year yet on our nation's calender.Mwenyekiti wa hii kamati ni Seleman Zedi, miongoni mwa wajumbe wa hii kamati ni Sara Msafiri (mbunge Viti maalum UVCCM) Munde Tambwe (viti maalum CCM), Chirstopher ole Sendeka, John Mnyika (CDM). Hii kamati ilikuwa inaongozwa na Naibu waziri wa sayansi na Technolojia Januari Makamba kabla ya reshufle ndogo iliyofanywa na JK Mwanzoni mwa mwezi June
Selemani Zeddy atawajibika kisiasa kwa sababu yeye ndie Mwenyekiti wa hii kamati, Wanaodaiwa kuivuruga TANESCO ni Zitto Kabwe na January Makamba, wakishirikiana na Munde Tambwe na Sara Msafiri. Sina nia ya Kumsafisha Zeddy but jamaa ni Clean, namfahamu since akiwa ZAIN. Haya madudu aliyoyasema Prof. Mulongo yalifanyika January Makamba akiwa ni Mwenyekiti.
Munde ni fisadi mkubwa aliwahi kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi na Manispaa ya Tabora kwa ubadhirifu wa Shs 987,214,000/= akiwa ni karani idara ya uhasibu manispaa ya Tabora.
Nashauri ni vizuri kamati ya uongozi ya bunge uwe unawafanyia wajumbe wa kamati vetting kabla ya uteuzi
Nafikiri January aanze kujiudhuru huo unaibu ili achunguzwe hili la kamati aliyoiacha na mauchafu. Inaonekana yeye ndio aliyaacha haya yote
Game not over!
usemacho ni kweli,lakini nini nafasi ya January kwa sasa,ambapo mengi yametokea yeye akiwa mwenyekiti,,,,nishati na madini ni JINAMIZI:A S-baby:mkuu nina hofu sana na vitisho ambavyo amekuwa akipata hata leo humu bungeni jamani prof ni kichwa aisee hata simba chawene na mwenzie wako vizuri hofu wasije tu waka mfanya kama mwakyembe walivyo mfanya.
kweli?????????????????me siamin,mi naamini sababu ni UROHO,KUMBUKA URANIUM MAFUTA NA GAS VIPO NJIANIKwa wenye akili,maneno yako ni kweli. Kama alivyosema mkuu Mkandara hii ni vita baina ya makundi hasimu kuimiliki wizara hii,sababu kubwa ikiwa ni uchaguzi wa 2015.
MWAK' NAE ALIFANYA HIVO:loco:Prof Muhongo na timu yake wamefanya kazi nzuri sana kwa niaba wa Watanzania wote.
chadema kweli hammpendi Zitto, tatizo ni nini uenyeketi ama urais?