Hii mijamaa ijifanye viziwi tu,ila wanatengeneza moto.Ukishawaka,hao watoto na wajukuu zao utawafikia tu hata kama watatudanganya kwamba wamefia huko Ulaya na Marekani.
Mimi siamini hata kidogo kwamba hili vuguvugu la hapa JF eti litaishia hivihivi,kuna siku kila mtu ataamua kuchukua maamuzi yake binafsi.Hii dhulma na malalamiko ya wananchi yote yanafika kwa Muumba,itafikia hali ya kuchoka na Mungu atupe Fursa,patakuwa hapatoshi.
Inakoelekea ni kule ambako kila mmoja atakata tamaa ya kuishi kutokana na umaskini wa kutupwa,then itakuwa mtu haoni hasara kutangulia kwa sababu hata kama akiendelea kuishi..muda si mrefu njaa,pressure,mtingo wa mawazo etc vitamuondoa tu hapa kwa dunia
Ila kwa kweli kuna watu wana roho mbaya katika ile nchi...they dont even rethink their decisions......,how can one be happy kwa dhulumu maisha ya watu namna hii.
Poa,tutafika tu.Kadri wanavyodhulumu ndivyo akili mpya zatujia vichwani mwetu.