tueur de lion
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 902
- 779
Noma sana!
Kwahio hats SUKUMA ni tusi? Acheni izo..!Ghana ni mji unaitwa Kumasi.
Hahahah lugha gongana mkuu.Mkuu hata maneno ya kiswahili kwenye lugha nyingine ni shida, tuliwahi kufika Harare na demu mmoja wa kibongo anaitwa Tunda, ikabidi tumbadilishe jina tu, maana kila tukitaja hilo jina Washona walikuwa wanacheka sana. Kwasababu Tunda kwao ni mkojo.
Jina hilo liko UchaganiWapare wana jina Mboro.
Kuna Team ya mpira Japan inaitwa Ku.mamoto
Mkuu nmecheka kama mjinga.Hiyo team ya kingese ilinichania mkeka wa mamillion
Mkuu nmecheka kama mjinga.
Afu wanapenda kucheza mpira asubui...
walishanivunjiaga mkeka wangu ,nilibet In play kabisa.....
hawa Ku.mamoto sitawasahau
mm nilisema hawa wajapan watakua wana mmbwembwe za mpira ,kumbe waseng tu!!!Niliizarau kutokana na hilo jina lake aisee. Kumbe ilikuwa ni kummoto kweli.
mm nilisema hawa wajapan watakua wana mmbwembwe za mpira ,kumbe waseng tu!!!
nakumbuka machungu kwa mara ya kwanza natukana Jf...
hawa kumamot ni waseng sana
Kuna pia eneo linaitwa njia ya boro....ni Kibosho kule.Sio wapare wachagga wa kibosho. Kuna kijiji pia kinaitwa boro
Kumbe ndio maana za moto tamu sanaKumamoto ni mji mkuu wa kisiwa cha Kyushu, nchini Japan. Hapo ndipo ilipo bandari yao kubwa kabisa, Port Kumamoto.