Shisha eeh!Asubh mmeshaanza kuvuta
Hapana sio kisenge ni KitembeHao ni wachaga, wapare wana kisenge
basi sawa.Hapana sio kisenge ni Kitembe
NTOMBE.....jina la msichana SOUTH AFRICA...
Duuh wangalijua tunachomaanisha wabongo.......
Vile vile kuna chuo kikuu Japan kinaitwa jina hilo
IPO KenyaKuna sehemu ipo Ghana kama sikosei Inaitwa Kakuma
Hako kakuma sijui ni kama haka nakokajuaIPO Kenya
ha ha ha ha ha kule kama unaenda tandaleMwananyamala kuna mtaa unaitwa...mkunduge
Wakianzisha timu ya mpira itaitwa Kumamoto fc alafu waje wacheze na Libollo fc.Kumamoto ni mji mkuu wa kisiwa cha Kyushu, nchini Japan. Hapo ndipo ilipo bandari yao kubwa kabisa, Port Kumamoto.
Sio wapare wachagga wa kibosho. Kuna kijiji pia kinaitwa boroWapare wana jina Mboro.
Sio wapare wachagga wa kibosho. Kuna kijiji pia kinaitwa boroWapare wana jina Mboro.
Na wahayawajita, ingawa wasukuma wanasema noko, lakini maana ni hiyo hiyo tu kwamba ni mama, mfano nina, nyoko, maana yake ni mama sio tusi
Kawauchi!!!