Hapa nakuunga mkono ndugu Mimi kwetu ni busokelo pale kandete ,huyo fala anaposema hatuna shida namshangaa sana ,sijui ndio hao wanaohongwa elfu mbili kipindi cha uchaguz hata sielew,busokelo tuna matatizo kibao sema kwa majuha hawawez kujua matatizo maana wao wakishiba ugali na lyanyungu basi hakuna shida ,mfano barabara katumba to mwakalel ingeboreshwa nauli ilitakiwa iwe 2000,alafu usafir ni shida sana watu mnapangwa kwenye vinoa kama ndiz ,pia watumishi kufuata mshahara hadi rwangwa au tukuyu mjini ASA unasemeje kule hamna shida?wakulima wanalima SNA viazi ila shida Barbara zikiwa mbovu wanalazimika kuuza gunia had elfu kumi alafu fala mmoja unasema hatuna shida
Sent using
Jamii Forums mobile app