Nimekuita hivyo maana una akili mfu sana ,kwahiyo kama hiyo Barabara ni rough road tokea enzi za mkoloni iendelee tu kuwa rough road haya nitajie main road ya kukufikisha kandete unapotokea katumba,pia unataka nipande pikipiki toka katumba had mwakalel km 33 kweli upo serious na je unaijua bei ya pikipik katumba to mwakalel labda nikwambie tu nauli kwa piki pik ni elfu kumi na hiyo ni km 33 tu ,je ni wangapi wanaweza kumudu hiyo gharama?.Siku zote maendeleo ni miundombinu kwanza mengine yanajiset yenyew,haiwezekan kila cku wabebe gesi ya kyejo miaka nenda rudi washindwe kutujengea barabara ya maana hata kama sio ya rami ila wangetujengea hata ile ya makapi ya rami angalau tungeona unafuu.pia unadai maendeleo ni umeme na maji sawa sikatai lakin hivyo vitu vinawafaidisha kivipi watu wa busokelo bila kuwa na miundo mbinu iliyo mizur?Busokelo ipi unayosema ina maendeleo tuache kujidanganya kuwa tuna maendeleo ni kwel tunajitahid kwa swala la elimu maana wazaz wa kule waliowengi wanajituma kusomesha ila sasa watoto wakishasoma wanaenda kuendeleza mikoa mingine wanasahau kwao kabisa ,yaan MTU anaweza kuwa na mansion dar ila nenda kwao hadi aibu ,wanyakyusa tubadirike tuwe kama wachage tukumbuke kujenga kwetu na kuendeleza mji wetu hasa jimbo la busokelo ni hayo tu hujaelewa kaa pembeni ,.
Sent using
Jamii Forums mobile app