Rungwe tuna wabunge bubu!

Rungwe tuna wabunge bubu!

Nimekuita hivyo maana una akili mfu sana ,kwahiyo kama hiyo Barabara ni rough road tokea enzi za mkoloni iendelee tu kuwa rough road haya nitajie main road ya kukufikisha kandete unapotokea katumba,pia unataka nipande pikipiki toka katumba had mwakalel km 33 kweli upo serious na je unaijua bei ya pikipik katumba to mwakalel labda nikwambie tu nauli kwa piki pik ni elfu kumi na hiyo ni km 33 tu ,je ni wangapi wanaweza kumudu hiyo gharama?.Siku zote maendeleo ni miundombinu kwanza mengine yanajiset yenyew,haiwezekan kila cku wabebe gesi ya kyejo miaka nenda rudi washindwe kutujengea barabara ya maana hata kama sio ya rami ila wangetujengea hata ile ya makapi ya rami angalau tungeona unafuu.pia unadai maendeleo ni umeme na maji sawa sikatai lakin hivyo vitu vinawafaidisha kivipi watu wa busokelo bila kuwa na miundo mbinu iliyo mizur?Busokelo ipi unayosema ina maendeleo tuache kujidanganya kuwa tuna maendeleo ni kwel tunajitahid kwa swala la elimu maana wazaz wa kule waliowengi wanajituma kusomesha ila sasa watoto wakishasoma wanaenda kuendeleza mikoa mingine wanasahau kwao kabisa ,yaan MTU anaweza kuwa na mansion dar ila nenda kwao hadi aibu ,wanyakyusa tubadirike tuwe kama wachage tukumbuke kujenga kwetu na kuendeleza mji wetu hasa jimbo la busokelo ni hayo tu hujaelewa kaa pembeni ,.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaandika kimihemko Sana halmashauri yenyewe changa unaijua Barabara ya mpemba to itumba ileje? Ndo kwanza inajengwa sasa hivi sasa Kati ya ile na ya kwenu ipi ni muhimu? Kila kitu kinaenda in gradual process huwezi fanya kila kitu at the same time. Na sijakataa miundombinu ni muhimu ndiyo maana niliuliza unaifananisha busokelo na halmashauri gani? Kwa ukongwe na kimaendeleo kuna halmashauri huo umeme tu na maji wanausikia kwenye kampeni sasa kwa nini wasipate hao kwanza huduma hizo? Na ndo maana wanyakyusa tunaandamwa kwa ubinafsi
 
Unaandika kimihemko Sana halmashauri yenyewe changa unaijua Barabara ya mpemba to itumba ileje? Ndo kwanza inajengwa sasa hivi sasa Kati ya ile na ya kwenu ipi ni muhimu? Kila kitu kinaenda in gradual process huwezi fanya kila kitu at the same time. Na sijakataa miundombinu ni muhimu ndiyo maana niliuliza unaifananisha busokelo na halmashauri gani? Kwa ukongwe na kimaendeleo kuna halmashauri huo umeme tu na maji wanausikia kwenye kampeni sasa kwa nini wasipate hao kwanza huduma hizo? Na ndo maana wanyakyusa tunaandamwa kwa ubinafsi
Wakuu huyu jamaa sijui yuko dunia gani!
Off point and off topic, kwa wapambe kama hawa kwa wabunge wetu, maendeleo hayatawezekana.
 
Kuna sehemu inaitwa RUNGWE kweli ama umekosea ni yule mgombea uraisi mwenye madevu aitwate hashim rungwe?
 
Mihemuko gani ndio maana nimekuita ww ni fala maana hujui hata unachokiongelea ,labda nikwambie tu kwa jimbo la busokelo kukosa barabara ya uhakika naweza sema ni uzembe wa viongoz wetu tunaowachagua kwa kuhadaiwa na mifuko ya sukar,Yale mapato ya gesi ya kyejo yalitosha sana kujenga kipande cha barabara hata ya makapi ya lami kutoka katumba to mwakalel ambapo hata kiwanda chetu cha chai kingesimama imara kwa muda wote,ivi unajua kinachosababisa kile kiwanda kinazarisha kwa msimu?tatizo ni ubovu wa barabara maana bara bara ingekuwa nzuri chai ya kuchakatwa ingetoka hata ushirika na kuja mwakalel ili kukipunguzia kazi kile cha katumba ,sasa ww na ujuha wako eti na wengine wakapate barabara at the same time unadai busokelo hatuna shida ,.punguani wa head wewe
Unaandika kimihemko Sana halmashauri yenyewe changa unaijua Barabara ya mpemba to itumba ileje? Ndo kwanza inajengwa sasa hivi sasa Kati ya ile na ya kwenu ipi ni muhimu? Kila kitu kinaenda in gradual process huwezi fanya kila kitu at the same time. Na sijakataa miundombinu ni muhimu ndiyo maana niliuliza unaifananisha busokelo na halmashauri gani? Kwa ukongwe na kimaendeleo kuna halmashauri huo umeme tu na maji wanausikia kwenye kampeni sasa kwa nini wasipate hao kwanza huduma hizo? Na ndo maana wanyakyusa tunaandamwa kwa ubinafsi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mihemuko gani ndio maana nimekuita ww ni fala maana hujui hata unachokiongelea ,labda nikwambie tu kwa jimbo la busokelo kukosa barabara ya uhakika naweza sema ni uzembe wa viongoz wetu tunaowachagua kwa kuhadaiwa na mifuko ya sukar,Yale mapato ya gesi ya kyejo yalitosha sana kujenga kipande cha barabara hata ya makapi ya lami kutoka katumba to mwakalel ambapo hata kiwanda chetu cha chai kingesimama imara kwa muda wote,ivi unajua kinachosababisa kile kiwanda kinazarisha kwa msimu?tatizo ni ubovu wa barabara maana bara bara ingekuwa nzuri chai ya kuchakatwa ingetoka hata ushirika na kuja mwakalel ili kukipunguzia kazi kile cha katumba ,sasa ww na ujuha wako eti na wengine wakapate barabara at the same time unadai busokelo hatuna shida ,.punguani wa head wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu msamehe bure huyo juha.
Sisi kilio chetu kiwe barabara, barabara, barabara!
 
Mihemuko gani ndio maana nimekuita ww ni fala maana hujui hata unachokiongelea ,labda nikwambie tu kwa jimbo la busokelo kukosa barabara ya uhakika naweza sema ni uzembe wa viongoz wetu tunaowachagua kwa kuhadaiwa na mifuko ya sukar,Yale mapato ya gesi ya kyejo yalitosha sana kujenga kipande cha barabara hata ya makapi ya lami kutoka katumba to mwakalel ambapo hata kiwanda chetu cha chai kingesimama imara kwa muda wote,ivi unajua kinachosababisa kile kiwanda kinazarisha kwa msimu?tatizo ni ubovu wa barabara maana bara bara ingekuwa nzuri chai ya kuchakatwa ingetoka hata ushirika na kuja mwakalel ili kukipunguzia kazi kile cha katumba ,sasa ww na ujuha wako eti na wengine wakapate barabara at the same time unadai busokelo hatuna shida ,.punguani wa head wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Jf imekosa weledi wa kubishana kwa hoja siku hizi usiniite punguani wa head mtu hujui hata matumizi ya L na r. Njoo na analysis hiyo gesi uchwara inaingiza sh ngapi kwa mwaka na ni kiasi gani kinabaki halmashauri .
Kiwanda chenu cha chai kimekuwa misalocated tu kuna kipindi chai inakauka mpaka wanakifunga maana hakuna chai ya kutosha kuhudumiwa na viwanda viwili mwaka mzima.
Kwanza nitajie mradi hata mmoja ulioanzishwa kule kwa ufanisi wa 100% bila kuingiliwa na migogoro ya wenyeji.
Tatizo ni nyinyi wenyewe kama wewe unakaa kuponda viongozi wakati hujafanya jitihada yoyote kukomboa jimbo lako
Atupele ni rafiki yangu Sana The guy is smart but watu Aina ya wewe mnaojificha humu na ID fake ndo mazuzu to the maximum.basi nakushauri gombea 2020 chukua Jimbo uuze Mali zako ujenge wewe ile barabara
 
Jf imekosa weledi wa kubishana kwa hoja siku hizi usiniite punguani wa head mtu hujui hata matumizi ya L na r. Njoo na analysis hiyo gesi uchwara inaingiza sh ngapi kwa mwaka na ni kiasi gani kinabaki halmashauri .
Kiwanda chenu cha chai kimekuwa misalocated tu kuna kipindi chai inakauka mpaka wanakifunga maana hakuna chai ya kutosha kuhudumiwa na viwanda viwili mwaka mzima.
Kwanza nitajie mradi hata mmoja ulioanzishwa kule kwa ufanisi wa 100% bila kuingiliwa na migogoro ya wenyeji.
Tatizo ni nyinyi wenyewe kama wewe unakaa kuponda viongozi wakati hujafanya jitihada yoyote kukomboa jimbo lako
Atupele ni rafiki yangu Sana The guy is smart but watu Aina ya wewe mnaojificha humu na ID fake ndo mazuzu to the maximum.basi nakushauri gombea 2020 chukua Jimbo uuze Mali zako ujenge wewe ile barabara
Hahaha tokea mwanzo unajikanya oohooo sisi watu wa busokelo hatuna matatizo kumbe hata sio mzaliwa wa huko ila ni kibaraka wa mwakibete na nikwambie tu 2020 huyo jamaa ako unayemwita smart umshaur asirud busokelo coz kati ya wabunge dhaifu na wasio na mchango wowote kwa jimbo letu ni huyo rafiki ako mchumia tumbo ,then una mawazo ya kiwaki sana yaan unataka analysis ya mapato nikuwekee hapa kweli ww ni jua pia hujui majukumu ya mbunge ,mbunge kazi yake ni kuwa na lugha ya kushawishi awapo bungeni na kuomba miradi ielekezwe jimboni kwake ,sasa huyo rafiki yako anakijua nini zaidi ya ndiooooo na kisain posho? Karne hii sio ya wajinga tena na matatizo ya wanabusokelo tunayajua sisi wanabusokelo sio nyie wabeba makoti ya atupele ndio maana mnajifanya kuhadaa watu eti busokelo hakuna matatizo.Tena mwambie rafiki yako asijaribu kuchukua form safar hii vijana tumekataa kabisa kuongozwa na mbunge bubu yaan hata kama tuko mbali na nyumbani 2020 tumejiapiza tutashuka huko busokelo kulipigania jimbo letu na 2015 mliwahadaa wazee wakawapa kula sasa safar hii wazee watakaa pemben tutasimama vijana tuu .Na hili liweke kichwani sisi tunataka MTU smart na sio goigoi na bahati nzuri sisi hatutaangalia katoka chama gan iwe ccm au chadem au act kikubwa awe smart na kama ccm watampitisha tena atupele kwenye kura za maoni basi huo ndio utakuwa mwisho wa ccm kuongoza jimbo la busokelo,liweke akili hilo na mfikishie taarifa huyo smart goi goi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are insane lonely pathetic baboon! Wewe Nani mpaka uongee eti asithubutu kuchukua form na unajuaje kama mimi siyo mzawa wa mwakaleli? Nachojua mimi ukoo wako wote watampigia tena Mr. Mwakibete
Ungekaa uwaelimishe mabazaz wenzako waache kugombania tuvyeo twa miradi inayoishia njiani hawana.Kwanza hamjui kuishi na watumishi wageni wengi wanakimbia
 
Ur uncircumcised baboon ,bitch stay away from me ,kumbe nabishana na kima!!!
You are insane lonely pathetic baboon! Wewe Nani mpaka uongee eti asithubutu kuchukua form na unajuaje kama mimi siyo mzawa wa mwakaleli? Nachojua mimi ukoo wako wote watampigia tena Mr. Mwakibete
Ungekaa uwaelimishe mabazaz wenzako waache kugombania tuvyeo twa miradi inayoishia njiani hawana.Kwanza hamjui kuishi na watumishi wageni wengi wanakimbia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are insane lonely pathetic baboon! Wewe Nani mpaka uongee eti asithubutu kuchukua form na unajuaje kama mimi siyo mzawa wa mwakaleli? Nachojua mimi ukoo wako wote watampigia tena Mr. Mwakibete
Ungekaa uwaelimishe mabazaz wenzako waache kugombania tuvyeo twa miradi inayoishia njiani hawana.Kwanza hamjui kuishi na watumishi wageni wengi wanakimbia
Mkuu jitahidi kumwambia huyo mbunge wa Busokelo, na hata SH Amon kuwa kukaa kwao kama mabubu kunaathiri maendeleo ya Rungwe.

Wakitaka kuchaguliwa tena tusikie basi kelele za kuomba barabara toka Katumba hadi Mwakaleli na michepuko yake ya Luangwa, Mbambo, Masoko hadi Tukuyu.
Mpaka sasa hivi wamefanya kazi sifuri, nimekaa sana sehemu hizo.

Kupelekwa Mwakaleli kama mfanyakazi wa serikali, ni adhabu kubwa sana.
 
Asante mkuu bora umwambie ukweli huyo kibaraka yaan anakuja anatuhadaa hapa eti busokelo kuna maendeleo hakuna shida kumbe anatetea kibarua chake cha kuwa mpambe wa Atupele, ukweli ni mchungu Atupele na Sauli wa Rungwe ni mizigo sana maana wawapo bungeni wanakuwa mabubu zaidi wanajua kuitikia ndioooooo!! Shenzi kabisa hawa wadudu
Mkuu jitahidi kumwambia huyo mbunge wa Busokelo, na hata SH Amon kuwa kukaa kwao kama mabubu kunaathiri maendeleo ya Rungwe.

Wakitaka kuchaguliwa tena tusikie basi kelele za kuomba barabara toka Katumba hadi Mwakaleli na michepuko yake ya Luangwa, Mbambo, Masoko hadi Tukuyu.
Mpaka sasa hivi wamefanya kazi sifuri, nimekaa sana sehemu hizo.

Kupelekwa Mwakaleli kama mfanyakazi wa serikali, ni adhabu kubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu hili swala la barabara ya katumba to mwakaleli litampeleka na maji akigombea tena maana wana nchi wa busokelo wana hasira naye sana coz kuna kipindi aliwahi sema akiwa bungeni kuwa barabara ile haina tatizo ni utelezi Mdogo tu hapo ndipo alipowauzi watu wa busokelo na wana hasira nae sana kuhusu hilo tukio ,ila ngoja nikae kimya muda utaongea kila kitu.
Mkuu jitahidi kumwambia huyo mbunge wa Busokelo, na hata SH Amon kuwa kukaa kwao kama mabubu kunaathiri maendeleo ya Rungwe.

Wakitaka kuchaguliwa tena tusikie basi kelele za kuomba barabara toka Katumba hadi Mwakaleli na michepuko yake ya Luangwa, Mbambo, Masoko hadi Tukuyu.
Mpaka sasa hivi wamefanya kazi sifuri, nimekaa sana sehemu hizo.

Kupelekwa Mwakaleli kama mfanyakazi wa serikali, ni adhabu kubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu hili swala la barabara ya katumba to mwakaleli litampeleka na maji akigombea tena maana wana nchi wa busokelo wana hasira naye sana coz kuna kipindi aliwahi sema akiwa bungeni kuwa barabara ile haina tatizo ni utelezi Mdogo tu hapo ndipo alipowauzi watu wa busokelo na wana hasira nae sana kuhusu hilo tukio ,ila ngoja nikae kimya muda utaongea kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli kama mbunge wa Busokelo alisema, ati barabara ya Katumba Mwakaleli Busokelo ina "utelezi kidogo", huo ni unafiki wa hali ya juu sana.

Mtu huyu ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya Rungwe na hajui yuko Bungeni kufanya nini.
 
Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya inadorora kimaendeleo.

Kwa zaidi ya miaka 35 wilaya hii haina mradi mkubwa wa maendeleo, HATA MMOJA. Wananchi wanaishi kwa kudra tu za Mwenyezi Mungu.

Kibaya zaidi nimetoka huko vijijini kwetu, watu wana hisia mbaya kuwa uongozi uliopo unawachukia. Sababu hazijulikani!

Mbaya zaidi wilaya ina wabunge ambao hawana weledi wala umahiri wa kuongelea matatizo ya wananchi katika hadhiri za kitaifa.

Mbunge wa Rungwe Mashariki(ambaye hata jina silikumbuki) na Mbunge wa Rungwe Magharibi, maarufu kama SH Amon, sijawahi kuwasikia wakipiga makelele yasiyo ya kawaida katika kuomba miradi toka serikalini, iwe viwanda, utalii au barabara.

Hawa wabunge ni mabubu kisiasa.
SH AMON KAGEUKA KUWA MUUZA VIPODOZI MKUU UBUNGE ANAONA NI KAMA ANAPOTEZA MUDA TUU.
 
Nimekaa kwa ufupi Mbeya, siasa zake ni ngumu sana na zinabadilika kama kinyonga. Juzi nimekaa na wazee fulani wanyakyusa wanasema kwamba Tulia hapa mjini hapiti kwasababu Wasafwa wamekataa kuwa na mnyakyusa mwingine huku mjini. Nikasema Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..................
HILI TANGO PORI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom