Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,430
- 271,920
Ni aibu sana Rungwe kuchagua mbunge duni kama Sauli Pataya , tena kumtangaza kwa njia ya mauaji !
Huyu primary school leaver ni janga la wana Rungwe.Ni aibu sana Rungwe kuchagua mbunge duni kama Sauli Pataya , tena kumtangaza kwa njia ya mauaji !
Umetembea halmashauri ngapi kijana? Busokelo ipo mbali Sana ukilinganisha na halmashauri zingine kule watu hawana shida ya maji wala umeme na huduma za afya pia.Kufika tu kwenu ni kama kupanda punda wa msimu.
Ujionee aibu ukiwa pale Katumba, mnabanana kama viroboto.
Labda huko kwenu lakini kwetu busokelo mambo safi tunakunywa tunalala tunaamka tunachuma chai, tunauza maziwa kwa asas tunapata pesa wewe ulitaka tununue ndege?
Kufika tu kwenu ni kama kupanda punda wa msimu.
Ujionee aibu ukiwa pale Katumba, mnabanana kama viroboto.
Kwanza jifunze kuwa mstaarabu neno fala linakupunguzia credit! Hiyo barabara ipo miaka mingi kabla ya atupele tena kipindi hicho busokelo inazalisha kahawa atupele ana miaka mingapi bungeni? Waliopita akina Mwandosya tena waziri mwandamizi hakuiona hiyo barabara? Kwenda na noah umependa mwenyewe kuna bodaboda nyingi tu.Pia elewa ile ni rough road huwezi kuifananisha na lami lazima nauli iwe juu! Huduma muhimu Kama afya maji na elimu busokelo haipo nyuma nakushauri nenda Isange angalia kituo cha afya kinachojengwa halafu leta mrejeshoHapa nakuunga mkono ndugu Mimi kwetu ni busokelo pale kandete ,huyo fala anaposema hatuna shida namshangaa sana ,sijui ndio hao wanaohongwa elfu mbili kipindi cha uchaguz hata sielew,busokelo tuna matatizo kibao sema kwa majuha hawawez kujua matatizo maana wao wakishiba ugali na lyanyungu basi hakuna shida ,mfano barabara katumba to mwakalel ingeboreshwa nauli ilitakiwa iwe 2000,alafu usafir ni shida sana watu mnapangwa kwenye vinoa kama ndiz ,pia watumishi kufuata mshahara hadi rwangwa au tukuyu mjini ASA unasemeje kule hamna shida?wakulima wanalima SNA viazi ila shida Barbara zikiwa mbovu wanalazimika kuuza gunia had elfu kumi alafu fala mmoja unasema hatuna shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi Rungwe ni kwetu kabisaa na nimezaliwa huko. Ila kwa siku za hivi karibuni sijaona kama kuna mwanasiasa wa kuja kufanya jambo la maana. Watu sahihi na makini katika mkoa wa Mbeya kamwe hawapo na hawajawahi kuwepo katika siasa, wapo nje kabisa ya siasa.Nimekaa kwa ufupi Mbeya, siasa zake ni ngumu sana na zinabadilika kama kinyonga. Juzi nimekaa na wazee fulani wanyakyusa wanasema kwamba Tulia hapa mjini hapiti kwasababu Wasafwa wamekataa kuwa na mnyakyusa mwingine huku mjini. Nikasema Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..................
Sasa watu kama wewe, masopakyindi ,Red Giant kwanini msiende kufanya mambo huko kiongozi ?? Kama leo hii Wanyakyusa mkiamua kurudi kejenga kwenu, Rungwe itafika mbali mno maana kama kusoma wengi wenu mmesoma sana.Mimi Rungwe ni kwetu kabisaa na nimezaliwa huko. Ila kwa siku za hivi karibuni sijaona kama kuna mwanasiasa wa kuja kufanua jambo la maana. Watu sahihi na makini katika mkoa wa Mbeya kamwe hawapo na hawajawahi kuwepo katika siasa, wapo nje kabisa ya siasa.
Mtu kama Prof. Mwandosa pamoja na kuhudumu serikalini kwa muda mrefu lakini hakuwemo kwenye siasa za vyama. Akiwa nje ya mfumo wa siasa akaamua kuandika Proposal na kutafuta support ya kupeleka maendeleo huko kwao akianza na swala la umeme.
Wazee wa kule ndiyo walio simama na kumuimba awe mbunge wao lakini aka kataa meisho wakaamua kumlazimisha kwa kutumia hoja ya kuwa wao ndiyo wazee na ni kukosa adabu kumkatalia, ndipo alipokubali.
Lakini kwa hali ya hivi sasa sidhani kama watu wa Rungwe na mkoa wa Mbeya ujumla kama wana uwezo wa kuona watu nje ya mfumo wa siasa za vyama.
Mkuu amini nakwambia lazima nichukue fomu 2020 nimtoe mmoja wapo. Rungwe inapotea. Ngoja vijana wa kazi turudi kutumikia wananchi.Wasipoamka toka usingizi wa pono, tutapiga kampeni kuwatokomezea mbali.
Unajua mkuu, kabla ya kujitokeza kuwaongoza watu kuna kazi kubwa ya kufanya. Kazi hiyo si tu kujinadi ili kuwashawishi watu wakuchague bali ni kuwa shape aina ya watu ambao ningependa kuwaongoza.Sasa watu kama wewe, @msopakyindi ,Red Giant kwanini msiende kufanya mambo huko kiongozi ?? Kama leo hii Wanyakyusa mkiamua kurudi kejenga kwenu, Rungwe itafika mbali mno maana kama kusoma wengi wenu mmesoma sana.
Mkuu umeambiwa mnabanana kama viroboto kwenda kwenu kwa vile hamna miundombinu ya maana.Umetembea halmashauri ngapi kijana? Busokelo ipo mbali Sana ukilinganisha na halmashauri zingine kule watu hawana shida ya maji wala umeme na huduma za afya pia.
Wa Busokelo forma Rungwe Mashariki anaitwa Atupele Mwakibete kama sijakosea. Huyu ashukuru tu Mzee Mwandosya alimuandalia Mapito.Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya inadorora kimaendeleo.
Kwa zaidi ya miaka 35 wilaya hii haina mradi mkubwa wa maendeleo, HATA MMOJA. Wananchi wanaishi kwa kudra tu za Mwenyezi Mungu.
Kibaya zaidi nimetoka huko vijijini kwetu, watu wana hisia mbaya kuwa uongozi uliopo unawachukia. Sababu hazijulikani!
Mbaya zaidi wilaya ina wabunge ambao hawana weledi wala umahiri wa kuongelea matatizo ya wananchi katika hadhiri za kitaifa.
Mbunge wa Rungwe Mashariki(ambaye hata jina silikumbuki) na Mbunge wa Rungwe Magharibi, maarufu kama SH Amon, sijawahi kuwasikia wakipiga makelele yasiyo ya kawaida katika kuomba miradi toka serikalini, iwe viwanda, utalii au barabara.
Hawa wabunge ni mabubu kisiasa.
Nimekaa kwa ufupi Mbeya, siasa zake ni ngumu sana na zinabadilika kama kinyonga. Juzi nimekaa na wazee fulani wanyakyusa wanasema kwamba Tulia hapa mjini hapiti kwasababu Wasafwa wamekataa kuwa na mnyakyusa mwingine huku mjini. Nikasema Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..................
Mie ni CCM lakini hawa wabunge ni jiwe la shingoni, linazamisha maendeleo ya Rungwe.
Mimi ninawachallenge, katika muhula wao wananchi wamepata nafuu gani katika kuwepo kwao?
Umasikini mkubwa zaidi ulionao ni uwezo mdogo wa kufikiri.Umetembea halmashauri ngapi kijana? Busokelo ipo mbali Sana ukilinganisha na halmashauri zingine kule watu hawana shida ya maji wala umeme na huduma za afya pia.
Hilo unalolisema ni la kudhania tu.Na nyie mpunguze uchawi, mnauwana sasa ndo maana watu wakitoka huko Rungwe hawarudi ninajamaa zangu tangu walivyomaliza F6 hawajawahi kurudi, Maeneo mengi ya vijiji imejaa migomba na mahame familia zilizosoma zinaogopa kukaa nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo unalolisema ni la kudhania tu.
Uchawi unaosema ni tatizo la kijamii la waafrika waliokosa maendeleo.
Unachoshindwa kuelewa ni kwamba HAKUNA shughuli ya kiuchumi ukiacha kilimo,ya kuwaweka vijana vijijini.
Tunarudi kule kule, wabunge wetu wanakosa ubunifu wa namna ya kuleta maendeleo Rungwe.