Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Ridhiwan una umri gani? sababu naona mara nyingi unamwaga pumba tu humu. unadai chadema wamekodi range???No comment.. Mzee Mwanakijiji jibu barua ingine hiyo mkuu chama mambo yameiva Uingereza, mkuu wangu Mkandara tunaomba mawazo yako.
Hebu waulize jamaa zako hapa london hayo magari ni ya nani? Na kwa nini wakodi? kwani hawana hela za kununua? au lazima uwe mtoto wa kigogo ndio uwe na gari kubwa?