mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,053
- 5,427
Kichaka yuko kichakani mpe pole sana!! au yuko Msitu wa MABWEPANDE!! Alimkosakosa Dr Ulimbo ka!!Kutapa ni kawaida kwa anayekufa.
Kichaka yuko kichakani mpe pole sana!! au yuko Msitu wa MABWEPANDE!! Alimkosakosa Dr Ulimbo ka!!Kutapa ni kawaida kwa anayekufa.
Nadhani tufikie mahali watanzania tupiganie sera za kimaendeleo na kuachana na marumbano ya kisiasa,watu wengi uvumilivu umewashinda na kuanza kuandika matusi kwenye hizi forum.utashangaa mtu mwenye akili timamamu anahoji(KAMA CHAMA CHA CONSERVATIVE HAKIPENDWI NA WAINGEREZA NANAI ALIKIWEKA MADARAKANI?? Haya kwa mtazamo wako chama cha mapinduzi hakipendwi na watu nani alikiweka madarakani? Tuache ushabiki wa kisiasa na tufokasi maendeleo,wakati tanzania inaamua kuanzisha mfumo wa vyama vingi ilikuwa na malengo ya kuongeza ushindani wa kuitawala na kuikosoa serikali ilyoko madarakani,tangu miaka yote hiyo hakuna chama ambacho kilipambana bila woga kukosoa maovu ya chama kilichoko madarakani ila sasa chadema imeweza kushika hatamu,tunapaswa kumshukuru mungu na kuunga mkono jitihada hizo.lakini wanachama wa chadame hawatoshi kwa chadema sasa kauli mbovu na chuki za wanachama wa chadema siku zote zinatia hofu wanachama wapya wanaopenda kujiunga na chadema.sidhani kama chama chetu kina dhamira ya kiubaguzi na kubezana miongoni mwa wanachama wa chadema na wale wasiokua wanachama,sasa utaona kila mtu akitoa wazo flani lenye chalenji kwa chadema watu wanajibu ovyo na kumtukana hivi tutafika kweli?tunapaswa kutulia kuwaelimisha walio kosea ili tupate wanachama wapya ndani ya chma chetu kitukufu.CHADEMAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Hii article imeandikwa na semi-illiterate? Harakati za kurudisha watanzania zilianza wakati Tony Blair (Labour Party) akiwa Prime Minister, na Mkapa akiwa rais. Na hii ilikuja baada ya kugundulika kuwa wapo watanzania walioomba ukimbizi (waliojilipua) wakijidai kuwa wao ni wasomali lakini baadae ikagundulika walikuwa watanzania. Pia kuna baadhi wanatoka upande wa Zanzibar na waliomba ukimbizi wakati wa machafuko ya Zanzibar. Pili, hali ya kudorora kwa uchumi (kwa UK) ilianza tangu 2008 wakati wa Labour Party na waziri mkuu wakati huo alikwa Gordon Brown. Conservative wamekuta mdodoro wa uchumi tayari umeshashika kasi. Lakini kama chama cha Conservative kinachukiwa sana na waingereza kama anayotaka huyu mwandhishi tuamini, nani alikiingiza madakarani? Watanzania? Kwa kumalizia, madai ya ushoga na usagaji, kama kweli hao watanzania walioko Uingereza wanaudhika sana na hayo mambo kwa nini wanakaa huko? Kwanini wasirudi nyumbani na kuandokana na 'maudhi'? Lakini ni kweli sera ya ushoga Uingereza ni ya kichama (conservative vs labour etc) au ni kitaifa zaidi? Wakati Sir, Elton John anaingia kwenye 'civil partnership' na David Furnish huko Uingereza mwaka 2005, ni chama gani kilikuwa madarakani? Tabia ya watanzania ya kutopenda kujisomea inatugharimu sana!
Si mnaona alirekebisha mwaka 2007 pale pale Maarifa Tandika. Dada Hongera sana!. Siasa mchezo mchafu.........!.
0247
F
RUKIA S KILEMILE
0
IV
CIV-F HIS-F KIS-C ENG-F
Mkuu Mwita Maranya lazima anayejitahidi tumtie moyo!.Kwahiyo unampongeza kwa kujikongoja na Div. IV points 33, ndivyo mnavyofaulu huko kwenu siku hizi!!
Ndio maana nchi haipati maendeleo kama hawa failures ndio wanaoshikilia madaraka katika ofrisi za umma na nyie wapambe wao mnawapongeza kwamba wamerekebisha!! kha...
ANGALIZO; Hii ni nukushi ya barua pepe ya Bi Rukia Kilemela nimeinukuu www.wavuti.com, si maneno ya Kiganyi wa JF!!
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana kilipata AIBU kubwa hapa jijini London baada ya Watanzania kuzira kuhudhiria mkutano wao uliofanya katika Bar imilikiwayo na Wakenya ya The Thatched House.
Sababu nyingi zilizotajwa ni pamoja na urafiki mkubwa na kukubali kila sera ya Chama Tawala cha Uingereza cha Conservative ambacho kinachukiwa na Waingereza wenyewe kwa sera za kulazimisha zilizoleta hali mbaya ya maisha na umaskini nchini hapa. Aidha ni Chama kilichoilazimisha serikali kuwabagua na kuwafukuza Watanzania wengi waliokuwa wakiishi Uingereza na kuwarudisha Tanzania kwa Aibu kubwa huku wakiacha mali zao nyuma.
Maandalizi ya mkutano wa Chadema pia yaliwachefua Watanzania wengi na kukataa kushiriki kwa kuwa yalichangiwa na kufanywa na baadhi ya watu wenye kudhaniwa kwa muda mrefu kuhusudu tabia za USHOGA na USAGAJI wakati ambapo Watanzania wengi hawajapona kidonda kilichotibiwa kwa mabavu na serikali ya CCM wakati iliposhinikizwa kukumbatia utamaduni wa USHOGA na serikali ya Conservative au isahau misaada ya maendeleo ya kitaifa. Chadema katu haikupinga shinikizo hili la rafiki zao Conservative.
Aidha waandaaji wakuu wa mkutano huo iliwajumuisha wakurugenzi wakuu wa SERENGETI FREIGHT, kampuni inayojishughulisha na usafirishaji wa mizigo kwenda Tanzania na kwingineko. Kampuni ya Serengeti imekuwa ikilaumiwa na kushutumiwa sana siku hizi kwa kutokusema ukweli kwa Watanzania kuhusu muda, gharama za ghafla na uhakika wa usafirishaji wa mizigo ya Watanzania ambao wengi wameishia kulipa gharama kubwa za ziada, ucheleweshwaji au kuamua kuacha mizigo dhidi ya muda uliokubalika. Kuhusika kwa Wakurugenzi hawa kuliongeza uchungu kwenye kidonda kibichi.
Baadhi ya Watanzania waliokuwa wakijiburudisha ndani ya Bar hiyo na kuangalia mashindano ya Olyimpic walimrushia Bw. Lema maswali ya kebehi na kumzomea pia na kusema.... Gwanda linanuka RUSHWA meku....huku wengine wakitoa kadi zao za CCM na kunyanyua juu.
Katika mahudhurio hayo machache, idadi kubwa walikua ni wanaCCM waliohudhuria kwa makusudi na wengine kuchangia kwenye mkutano huo. Baada ya mkutano vicheko vya kebehi vilisikika na kuambatana na kauli kama ...jamaa wanabwabwaja tu hawawezi hata kujenga hoja... wanafikiri hapa ni walipotoka.. ovyoo.
Ikitarajia kufuata nyayo za CCM UK itabidi Chadema waombe miujiza ya aina yake kupata w/chama na si washabiki tu katika maeneo tofauti ya UK ili itoke kwenye sura ya Kijikundi. CCM UK ilifanikiwa kufungua mashina katika miji/majiji kumi hapa UK.
Na Rukia Kilemile
rkilemile@gmail.com
Mwandishi wa kujitegea na mchambuzi wa sera za jinsia na uchumi hapa United Kingdom.
Mwandishi si mwana chama wa chochote cha siasa.
My Take; Nani anamfahamu huyu mwandishi wa Ushabiki??
Source: wavuti - wavuti
Hata kama ameunga unga kwa pass hizo ni kilaza sana IQ yake iko chini mno.Mkuu Mwita Maranya lazima anayejitahidi tumtie moyo!.
Rukia ameweza kubadilisha F ya Kisw kuwa C. Sikumpongeza kwa kufaulu bali kwa kuongeza juhudi, maana hakufaulu aliendelea
na ZERO yake wala sio IV.
Sijui ilikuwaje lakini nadhani aliunga unga na kufikia hapo alipo!. Na ningependa kumuonya kuwa kama kunasehemu alichakachua
vyeti basi ilitosha kumpatia ajira, asiendelee kuchakachua katika kazi yake maana ataharibu!.
Chadema walipata watu kumi.poor organation na kibaya zaidi CV ya mwenyekiti wao chris lukosi ni Utata mtupu.jipangeni upya mmefeli
national examinations council of tanzania
csee 2005 examination results
s0829 maarifa tandika secondary school
div-i = 0 div-ii = 1 div-iii= 14 div-iv = 69 fail= 28
0040
f rukia s kilemile
35 fld civ-f his-f geo-f eli-f kis-f eng-f bio-f bas-f
source: http://www.tanzania.go.tz/NectaResults2005/S0829.HTM
Si mwanzo mbaya kwa wenye uzoefu wa siasa.
Hii article imeandikwa na semi-illiterate?
Harakati za kurudisha watanzania zilianza wakati Tony Blair (Labour Party) akiwa Prime Minister, na Mkapa akiwa rais. Na hii ilikuja baada ya kugundulika kuwa wapo watanzania walioomba ukimbizi (waliojilipua) wakijidai kuwa wao ni wasomali lakini baadae ikagundulika walikuwa watanzania. Pia kuna baadhi wanatoka upande wa Zanzibar na waliomba ukimbizi wakati wa machafuko ya Zanzibar.
Pili, hali ya kudorora kwa uchumi (kwa UK) ilianza tangu 2008 wakati wa Labour Party na waziri mkuu wakati huo alikwa Gordon Brown. Conservative wamekuta mdodoro wa uchumi tayari umeshashika kasi. Lakini kama chama cha Conservative kinachukiwa sana na waingereza kama anayotaka huyu mwandhishi tuamini, nani alikiingiza madakarani? Watanzania?
Kwa kumalizia, madai ya ushoga na usagaji, kama kweli hao watanzania walioko Uingereza wanaudhika sana na hayo mambo kwa nini wanakaa huko? Kwanini wasirudi nyumbani na kuandokana na 'maudhi'? Lakini ni kweli sera ya ushoga Uingereza ni ya kichama (conservative vs labour etc) au ni kitaifa zaidi? Wakati Sir, Elton John anaingia kwenye 'civil partnership' na David Furnish huko Uingereza mwaka 2005, ni chama gani kilikuwa madarakani?
Tabia ya watanzania ya kutopenda kujisomea inatugharimu sana!
Hao ni watoto wa vigogo wa CCM wapo nje kwa gharama za kodi za walala hoi wanaona CDM ikichukua nchi watarudishwa bongo.mwandishi wa kujitegemea hata picha moja ya kutuonesha madhari ya mkutano ulivyokuwa hakuna!!! mwandishi au mwandikiwa?