magwanda acheni kupotosha umma RUKIA KILEMILE aliyepata ZERO yuko Tandika, si ambaye yuko LONDON, huyo wa tandika ni mtoto wa mzee Suleiman KILEMILE mmiliki wa shule ya maarifa. Huyo mwngne ndo yuko london, wote nawajua vzuri, poleni kwa kupata data fake za mtu ambaye siye, sasa mrudi kujibu hoja za Rukia Kilemile wa LONDON na si RUKIA kilemile wa TANDIKA
Wewe utafanya watu wacheke. ebu thibitisha kwamba huyo aliyeko LONDON si huyu aliyepiga Four years Fighting For Food, kwa kutoa na wewe matokeo ya ukweli ya huyo aliyeko LONDON. kwasababu huyu ni Rukia Kilemile, na Huyo unayemtaja ni Rukia Kilemile, na ilikuwaje uliwafahamu wote wenye jina moja, NAULIZA TU, USICHUKIE.