GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,925
- Thread starter
- #41
Samahan mkuu kwa kukuchafulia uz wako unajua hiki kipunga kikicocochanel jana kilileta mambo ya kiloz
Nimekitafuta toka jana ndo nimekipata hapa
Usijali Mkuu Wewe endelea tu Kutiririka na Kuserereka nae hadi pale wote wawili mtakapoheshimiana. Vipi mna bifu la kubaiolojiana au alitaka umbaioloji ukakataa Mkuu?