GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,389
- 108,457
Kesho Jumanne tarehe 14 November 2017 kuanzia asubuhi ya Saa 12 hadi Saa 4 Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group Ruge Mutahaba anategemewa kuzungumza na Watanzania na Wadau wa Radio yake hiyo juu ya mambo mbalimbali.
Je Wewe Mdau wa JamiiForums unadhani moja ya jambo ambalo atalizungumzia ni lipi? Na unadhani kumetokea nini labda mpaka Kesho Bosi Ruge aamue kuzungumza na Wadau ndani ya Kipindi pendwa cha asubuhi cha 360 Clouds tv?
Nimepenyezewa za chini chini ( japo sina uhakika nazo 100% ) kwamba ukiachia mbali Kesho Yeye kuzungumzia Grande Finale Fiesta ya Dar es Salaam itakayofanyika tarehe 25 November 2017 kuna uwezekano mkubwa sana akaliamsha dude juu ya Kile Kilio chake kilichorekodiwa na mengineyo ya kumuhusu Mtangazaji fulani aliyegeuka Kero kwa Watazamaji kwa sasa.
Kesho Kazi ipo 360 Clouds tv na namsubiri kwa hamu zote nimuone Mtani wangu akitiririka na kuserereka.
Nawasilisha.
Je Wewe Mdau wa JamiiForums unadhani moja ya jambo ambalo atalizungumzia ni lipi? Na unadhani kumetokea nini labda mpaka Kesho Bosi Ruge aamue kuzungumza na Wadau ndani ya Kipindi pendwa cha asubuhi cha 360 Clouds tv?
Nimepenyezewa za chini chini ( japo sina uhakika nazo 100% ) kwamba ukiachia mbali Kesho Yeye kuzungumzia Grande Finale Fiesta ya Dar es Salaam itakayofanyika tarehe 25 November 2017 kuna uwezekano mkubwa sana akaliamsha dude juu ya Kile Kilio chake kilichorekodiwa na mengineyo ya kumuhusu Mtangazaji fulani aliyegeuka Kero kwa Watazamaji kwa sasa.
Kesho Kazi ipo 360 Clouds tv na namsubiri kwa hamu zote nimuone Mtani wangu akitiririka na kuserereka.
Nawasilisha.