Rufaa ya Babu Seya, tumuombee atoke?


Mjisomee maelezo hayo hapo juu hawa wanatoka kumbe sheria zilipindishwa.
 


Mjisomee maelezo hayo hapo juu hawa wanatoka kumbe sheria zilipindishwa.

Mpwa hiyo ni kwa mujibu wa Wakili wa upande wa Utetezi(Marando),tumsubiri wakili wa Jamhuri naye atakuja na nini...kadiri siku zinavyoenda tutaona na kusikia mengi..
 
Mpwa hiyo ni kwa mujibu wa Wakili wa upande wa Utetezi(Marando),tumsubiri wakili wa Jamhuri naye atakuja na nini...kadiri siku zinavyoenda tutaona na kusikia mengi..

Wakili wa Jamhuri kachemka kabisa si unajua walivyo vilaza mawakili wa serikali yaani kachemka kabisa hebu angalia hapa kashindwa kuzipangua hoja.

Naye wakili wa upande wa Jamuhuri uliokuwa ukiongozwa na Justuce Mlokozi alikili watoto hao kutorekodiwa na pia kutofanyiwa kiapo ambapo alidai kuwa Mahakama iliegemea ushahidi wa Jamuhuri na kwamba hata kama kulikuwa na makosa madogomadogo yanaweza kutibika chini ya sheria namba 388 ya mwenendo wa mashahidi.

Mlokozi alidai kuwa waliamua kuwaleta watoto katika ushahidi huo kutokana na wao ndio walikuwa walengwa zaidi na wakati wakifanyiwa kitendo hicho hakuna watu wengine waliokuwa wakiona.

Aliendelea kudai kuwa kuhusu kutofautiana kwa miezi katika jarada la kesi hiyo alidai kuwa hakukuw ana tarehe maalum ambayo watoto hao wlaifanyiwa vitendo hivyo na kwamba walikuwa wakifanyiwa kwa nyakati tofauti.

Aliongeza kuwa kuhusu kusafiri kwa mshitakiwa wa 2 alidai kuwa hiyo si hoja kuwa hajatenda kosa ambapo alidai kuwa anaweza kuwafanyia kipindi ambacho anakuwa hapa jijini Dar es Salaam na kudai kuwa kuhusu Farida haiwezekani kuwafundisha watoto wote kusema uongo kama inavyodaiwa na utetezi.

 
katika Yote, inawezekanaje watu wazima wanne wakawaingilia watoto wa miaka kati ya sita na nane mbele na nyuma, kisha wakatembea ?
hakika miaka yote yakuhukumiwa babu seya na vijana wake hili ndilo swali ambalo mimi naomba wana sayansi watuweke wazi hapa//
 
Mahakamani hakuna haki bali kuna sheria! Ngoja tuone Bw Marando atakavyo spin hii kesi! Hivi Nyange kwa nini alijitoa? Kwa nini Marando alibadili maelezo ya rufaa ya mwanzo ambayo Nyange aliisubmit mahakama ya rufani?
 
hakika miaka yote yakuhukumiwa babu seya na vijana wake hili ndilo swali ambalo mimi naomba wana sayansi watuweke wazi hapa//

Mkuu soma hapo hoja za Marando nashangaa Mahakama ilikataa kwenda kuwapima washitakiwa inasemekana kuna mtoto alikuwa na gonjwa la zinaa lakini washitakiwa hawakupimwa ili mahakama iweze kujiridhisha. Kuna mambo mengi Marando kayaongea.
 


Kwani unadhani kesi ilianzaje? Si baadhi ya hao watoto walikuwa wanatembea tofauti ndio wazazi/walezi wakashituka!
 
Mungu yupo.......
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=EqnvUKFZueA[/ame]
 
Mkuu soma hapo hoja za Marando nashangaa Mahakama ilikataa kwenda kuwapima washitakiwa inasemekana kuna mtoto alikuwa na gonjwa la zinaa lakini washitakiwa hawakupimwa ili mahakama iweze kujiridhisha. Kuna mambo mengi Marando kayaongea.

Hiyo hoja bado isingekuwa na nguvu. Mtoto kuwa na gono na mtuhumiwa kuwa na gono peke yake haitoshi kuthibitisha kwamba mtuhumiwa ndio amemwabukiza. What if kama kuna mtu mwingine alikuwa pia anavichezea hivyo vitoto?
 
Mkuu soma hapo hoja za Marando nashangaa Mahakama ilikataa kwenda kuwapima washitakiwa inasemekana kuna mtoto alikuwa na gonjwa la zinaa lakini washitakiwa hawakupimwa ili mahakama iweze kujiridhisha. Kuna mambo mengi Marando kayaongea.
Yeah nimesoma Fidel80
Alichoshangaa Marando ambacho hajawahi kukiona miaka 30 ya uwakili wake ni hukumu ya hovyo kama hii,kuna mtoto mmoja alibakwa hadi kutoka damu, lakini kuna taarifa ya daktari inasema alikuwa bado bikira.
sasa kali zaidi ni kua ile report nzima ya daktari wa Mwananyamala serikali kwa kushirikiana na mahakama ya kisutu kwa sababu wanazozijua wao waligoma kuiweka wazi kwa mawakili wa utetezi kina nyange, kisha Lyamuya akatumia ujuzi wake kutoa hukumu.
bado nashangaa kweli mtoto wa miaka sita umuingilie mbele na nyuma anewaje kutembea ?
 
Kwani unadhani kesi ilianzaje? Si baadhi ya hao watoto walikuwa wanatembea tofauti ndio wazazi/walezi wakashituka!
nilibahatika kusoma sehemu ya hukumu hiyo miaka miwili nyuma, mzazi wa kwanza aligundua baada ya kuhisi harufu ya mtoto wake, kwa maana tayari gonjwa la zinaa lilikua limemla, maana yake si tatizo la siku moja, inadaiwa ilikua kama wiki ya nne tangu kufanyika kwa unyama huo.
bado hakua mtoto mmoja, walikua zaidi ya sita, kweli wazazi sita wate walishindwa kugundua hadi wiki ya nne /
bado nashangaa waliwezaje kutembea pamoja nakukandamizwa mbele na nyuma. ?
 
Mmmh sheria ipo tusubiri lolote laweza kutokea
pamoja na yote ipo nafasi ya kujadili na kitu cha kujifunza katika sakata lote...kama usemavyo nataka kuona ninini ambacho mahakama itaamua, ila kipo kitu kinanisisimua
waliwezaje kutembea baada ya kulawitiwa na kunajisiwa ?
 
Mpwa hiyo ni kwa mujibu wa Wakili wa upande wa Utetezi(Marando),tumsubiri wakili wa Jamhuri naye atakuja na nini...kadiri siku zinavyoenda tutaona na kusikia mengi..
Balantanda we uko wapi? mahakama imefunga rufaa hii, hakuna maelezo mengine kutoka kwa utetezi na wala kwa jamuhuri, kinachosubiliwa ni maamuzi ya hakimu tu.
 
Inji hii bwana, mtu anakuweka ndani hivi hivi!!!!! malengo mangapi yamehalibiwa? kama watoto walikuwa wana harufu mbona watuhumiwa hawakupimwa? inauma saaana bwana
 
mambo ya babu seya ndiyo yale yale ya liyumba................kikwete nyuma yao................watajuuuuuta kumjua.........kwani mmesahau tule tustori tunato muhusisha jk na hawa jamaaa mbona mnajifnaya mmesahau sasa hivi..........
 
 
Sasa wale woooote waliokuwa wanamuona Babu seya na wanawe ni wauaji, someni hapa muone jinsi walivyo kandamizwa, Marando kaweka wazi, sio kila aliye selo anastahili kuwa kule bwana,
 
kama kesi hiyohiyo moja mtu kakutwa na hatia.................kesi hiyo hiyo moja mtu anaondolewa hatia.........na hii inatokea kwenye kesi kibao..............PANA SHERIA KWELI HAPO YA KUSUBIRI ICHUKUE MKONDO WAKE?........sheria gani inawaogopa mafisadi?
nawambia hivi '''SIKU ZOTE USAWA HAUPATIKANI KWA MZANI KUWA SAWA....INATEGEMEA NA MPIMAJI MWENYEWE'' maamuzi ya mwisho yapo mikononi mwa watu na sio kwenye vitabu vya sheria.....................................DUNIANI SHERIA....HAKI KWA MUNGU.
Mmmh sheria ipo tusubiri lolote laweza kutokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…